Mabinti wa siku hizi ni hatari kwa afya, wengi watapinga

Tamthilia na mitandao imewapumbaza maigizo na kiki za watu maarufu wanataka kuapply kwenye maisha halisi ya mtaanj
 
The more you chase a woman, the more you lose your respect as a man.
 
Kuna asasi za kiraia pia ni changamoto kubwa sana, especially hizi zinazojinasibu kwamba zinalinda haki ya mwanamke, wanamjaza ujinga mtoto wa kike na wanamlinda nanhuo ujinga wake. Mzazi au mkubwa ukiwa mkali utashambuliwa balaa.

Wakati nipo olevel ilikua binti anaesoma akitiwa mimba anafukuzwa myumbani aende kwa aliempa iyo mimba hii ilisaidia kuwa warning sign mabinti wengine, sasa hivi mzazi ukifanya ivyo utaandamwa balaa matokeo yake watoto wa kike wamekua na uhuru wa kufanya chocjote bila kuwa accountable kwenye familia wala jamii.

HIzi taasisi zinazodai zinamtetea haki za wanawake inabidi zifanyiwe review kuangalia kama zinamsaidia mwanamke au zinazidi kudhoofisha nafasi na utu wa mwanamke
 
Umesema sahihi Mkuu, ila pamoja na uwepo wa hizo Taasisi, tujitahidi kama Wazazi kuwalea watoto wetu kwenye misingi imara ya tabia na mwenendo.

Tujiulize mbona miaka ya zamani msichana alikuwa achelewa kuingia Kwenye mahusiano ya kingono tofauti na sasa.

Wengi walikuwa wanaolewa wakiwa hawawajui Wanaume(Hawajawahi kuingiliwa) tofauti na sasa.

Hata watoto wakiume ilikuwa hivyo, unakuwa na rafiki wa kike lakini huwezi kumwingilia hadi uwe na commitment ya kumwoa.
 
Kugeza umagharibi kunatuponza.
 
Kugeza umagharibi kunatuponza.
Ndiyo maana maadili yanashuka Kila Leo

Mwanamke aliyewahi Kulala na Wanaume 15 hata akiolewa hawezi kutulia, kwani Kuna matendo atakuwa alifanyiwa ambapo Mume atakaye kuwa amemwoa anaweza asiwe anafanyia
 
Bila aibu wanaambiana tafuta mume mwenye pesa!
Impliedly maana yake wanataka mwanaume mtu mzima tena mwenye familia.

Kijana under 30 bado anajitafuta hatokuwa na hizo pesa!
 
Sahihi sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…