Mdada akiwa ana elimu halafu hana kazi atakuwa ana- interact na bodaboda tu, hivyo kuna possibility kubwa ya yeye kuolewa na bodboda.Hapa ni kusubiri kuolewa tu. Wakiringa eti mpaka waajiriwe ndio waolewe umri hautawasubiri watazeekea nyumbani bila hata kuwa na mtoto mmoja
Kabisa mkuu ni stress tuNi stress na depression, wanatengwa na ambao hawajasoma, wanazomewa eti kiko wapi so kubalance maumivu wanajikalia tu ndani maana elimu yao imewageuka haijawapa matokeo
Ni balaa mkuu cio mchezo.Mwanaume uwez sema ntaolewa.Imagine kwa Wanaume ambao wamehitimu lakin bado ramani haijakaa sawa na amesoma BA.ED na kozi zingine za kindezi.
Ni shida unakuwa una kitu utaoaaje sasa.Wakati namaliza chuo nilikuwa na booking za kutosha kila manzi anataka nimuoe hili nalo kwa vijana tunaomaliza chuo ni changamoto
kuna walimu wa kike walipangiwa kazi kijijini wakakosa wanaume wa status yao wakaishia kuolewa na wakulima na wavuvi kijijiniMdada akiwa ana elimu halafu hana kazi atakuwa ana- interact na bodaboda tu, hivyo kuna possibility kubwa ya yeye kuolewa na bodboda.
Hapo bidada anakuwa amerudi nyuma hatua mia.
Sasa amna jinsi apo mwenye status n mtendaji/mwenyekit wa Kijiji.kuna walimu wa kike walipangiwa kazi kijijini wakakosa wanaume wa status yao wakaishia kuolewa na wakulima na wavuvi kijijini
Halafu wanajua maana huwa tunamaliza pamoja ko hali halisi wanaijua wanakuwa wanajizima data tu kila uliodate nae anakung'ang'ania umuoeNi shida unakuwa una kitu utaoaaje sasa.
mbaya zaidi utakuta hao viongozi wa kijiji wana wake lakini wanasandia walimuSasa amna jinsi apo mwenye status n mtendaji/mwenyekit wa Kijiji.
Kumbe ndoa inapatikana kirahisi hivyoUshauri murua. Kwa kuwa wamehitimu vyuo na wanadoda nyumbani bora wachangamkie fursa ya kuolewa chapchapu wapate watoto huku wakiendelea kutafuta ajira tayari wakiwa ndani ya ndoa, watakuwa wamepunguza stress upande mmoja huku wakijishughulisha na ujasiriamali/kilimo. Ila waolewe na wanaume ambao wataheshimu taaluma zao na watawapenda kwa dhati
Walishindwa kuchangamka na kuolewa na walimu wenzao?kuna walimu wa kike walipangiwa kazi kijijini wakakosa wanaume wa status yao wakaishia kuolewa na wakulima na wavuvi kijijini
[emoji16][emoji16][emoji16]Watoto wa siku hizi hata ''skrapa'' hawaokoti , miaka ya nyuma watoto wanatafuta pesa tangu shule ya msingi ila ilikuwa mbaya wananogewa sana mpaka wamnaacha shule ...Sasa hivi hata kesi za child labour hakuna kama zamani ndio inafanya watu wabweteke mpawa wawe wakubwa.
Makadirio wanaomaliza chuo ni miaka 22 na kuendelea hapa hawana mbinu yoyote ya kupata pesa, akifikiria maisha ya chuo then aanzie chini basi anaona jau sana.
Yaani mtu mwenye elimu akiolewa na boda boda karudi kivipi fafanua mkuuMdada akiwa ana elimu halafu hana kazi atakuwa ana- interact na bodaboda tu, hivyo kuna possibility kubwa ya yeye kuolewa na bodboda.
Hapo bidada anakuwa amerudi nyuma hatua mia.
Bodoboda ni kazi ya laana....by G. Lema.Yaani mtu mwenye elimu akiolewa na boda boda karudi kivipi fafanua mkuu
Karibu njoo tule Fenesi.Kuna muda huwa nadhani majibu yako unayatoa ChatGTP. Una tatizo la msingi la kuchanganya mtazamo wako binafsi na experience za watu wengine. Na je mbona haujibu maswali niliyokuuliza.
Your long a** paragraph sioni inahusiana vipi na ulichoniqoute. Na hapo nilipobold pananihusu mimi? Na je panaihusu comment yangu ya mwanzo?
Sio wewe ndiye uliyesema mwanamke kitu cha kwanza kupigania kiwe mahusiano imara na ndoa? Nikakujibu usipopata ndoa basi angalau uwe na kipato cha kujipa chakula, malazi, na movement, ni wapi nimesema usipoolewa unakuwa umekata ticket ya kupata kila kitu ambaye wa ndoani atakikosa....I'm afraid unatumia experience za wengine kunijibu mimi.
Again, uliskip topic ya comprehension/kusoma kwa ufahamu? Nilipozungumzia single mothers ndani ya ndoa nilimaanisha mwanamke aliyeolewa na ikatokea kwa bahati mbaya au kwa makusudi mumewe akashindwa kuhudumia familia kiasi kwamba ikamlazimu mwanamke kusimamia majukumu yote kifamilia, Sasa huyu mwanamke atawezaje kusimamia majukumu ya kifamilia ikiwa hana kipato (kazi/biashara). Haya maelezo ndiyo foundation ya mimi kusema wale wamama badala ya kuwahamasisha mabinti zao wafanye hata biashara ndogo ndogo wao wanawahamasisha waolewe...... I hope unakumbuka ulivyoniqoute uliandika nini.... nini kilikuwa tatizo kwa ile conment.
Bottom line, mtu akisoma hiyo comment yako ndefu hataweza kufahamu unashauri mabinti wafanye nini....
Mwanaume anaoa akiwa na uwezo wa kuhudumia mke, makazi ya kuweka familia na utimamu wa akili umri ukiruhusu.Bodoboda ni kazi ya laana....by G. Lema.
Sasa msomi akiolewa na mtu mwenye kazi ya laana, si ni laana hiyo?
ππππππAcha madem zetu walale, waamke waende wapi?
ππππππMambo ya watu hayatakusaidia chochote!
Mkuu uko smart sana upstairs, nafatilia comments zako nyuzi mbali mbali,... Hii comment yako nimeielewa sana, Ila atakuja kujitetea hapa kutokana na ego tuuSasa kama unajua maisha ni ya kustruggle why unasumbua kichwa chako kuamini mwanaume unayetakiwa kuolewa nae anatakiwa kuwa na mafanikio ambayo baba yako miaka yote amekulea hadi sasa ana miaka 60 hajawahi kuyafikia? [emoji848]
Wanaume wapo tayari kubeba majuku ila sio majukumu yankushtukizwa, kupangiwa, kupelekeshwa, kuforce, na kadhalika. Majority wanaume wanashindwa kuishi na wanawake sababu wanawake wanaokutana nao wana mambo mengi sana na wapo speed na tamaa za maisha. Hawana utulivu wa akili na upole wa nafsi ili mwanaume aweze tulia kufanya yake.
Unakuta mwanaume anataka kufocus afanye biashara fulani halafu ikue ili afungue nyingine kwa faida ile ya kwanza wewe mwanamke kazi yako ni kuharibu huo mpango na kuharibu focus yake. Ukiona tu mnabadilisha chakula ushabeba ujauzito bila hata kumshirikisha, ukiuliza unasema kwan yeye hajui kuwa tunafanya mapenzi tupate watoto, wewe hujui siku zako uzicontrol ili mkubaliane lini mtapata watoto?
Mara ulete shida zako binafsi kwenye biashara mara umpe shida za familia yako wakati yeye binafsi unakuta amewalia buyu hata familia yake.
Kwann upiganie kuolewa? [emoji848] Ndoa au kuolewa sio kitu cha kupigania, ukiona unapigania then jua haupo tayari kama mwanamke. Ndoa huwa inakuja yenyewe na mwanaume atakufuata na kukushika mkono akitaka umfuate. Wanaume huwa na ufahari sana akimpata mwanamke aliyemvutia na akamkubali kwa wakati sio kuleta usumbufu na mapozi as if kuna mwanaume anapenda kuchezewa akili na mwanamke m'moja na wakati kuna wanawake zaidi ya milioni.
Nikuulize na wewe usipoolewa ni guarantee ya kupata kila unachokosa ukiwa umeolewa? [emoji848] Ukiishi maisha kwa formula ya kutaka kila unachotaka then utajikuta unafocus kufuta 20% ya hasara huku ukiacha kukinga mikono kupokea 80% ya faida. Take a second think about that.
Unaolewaje halafu uwe single mother, hivi umeelewa hata ulichosema. Ni sawa na useme mtu ambaye hakuwahi kusoma darasani akalia chuo kumtengenezea cheti feki useme ni msomi, alisomea nini na hakukaa darasani? Sasa mtu single mother aliolewaje, au haujui matumizi ya neno Single kwenye mahusiano?
Tufanye kuolewa ni Bahati. Bahati ni matokeo ya maandalizi yanapokutana na fursa. Wewe kama mtoto wa kike na hizi mentality za kuona ndoa ni bora liende umejiandaa fursa ikikutokea mwenzi huu au ndio hadi uanze kublock watu huko WhatsApp, ufunge status kwa baadhi ya watu wasione post zako na mtu mpya, mara uweke yale ma WhatsApp ya hovyo sijui WhatsApp FM , GB.
So wanawake miaka ya nyuma hawakuwa na ajira kama wasasa, waliishi na kula kwa namna gani? [emoji848] Nadhani hapa unamiss the point kuwa maisha ya sasa yanawatoa wanawake kwenye uhalisia wao taratibu bila wao kujijua. Wanawake wachache sana wanaplay role yakuwa mwanamke kwenye jamii ila wengi sana wanaplay roles za kiume of which inawagharimu sana.