Mabinti wahitimu wa vyuo Amkeni

Nipe namba za hao mabinti...
 
Nakazia ujumbe wako mkuu
 
Wangejua wenzao kwa miaka mitatu/minne chuo walishaolewa nakuachika mara 3 + michepuko juu hata wasingesema.

Hao ni wanandoa wastaafu. Ni akina Shusho Jr.

Kwa tabia ninazoziona vyuoni, nitakuwa wa mwisho kushawishika kuoa graduate, japo wapo wachache sana waliotulia.
 
Nyie mna added advantage ya " kupeleka mbususu sokoni" ndo maana unaongea "Lazima kila mtu awe na kipato cha kulipwa au kujilipa!"
 
Waoaji ndio ninyi mna ajira za kuwapa sio? What a joke!!
Wewe binti kiziwi ni mwanaharakati au? Unaishi mitaa hipi? Piga hesabu ya kawaida ya kuchukua nyumba 20 hapa mtaani kwako na angalia chanzo chao cha kipato kwa asilimia kubwa kinatoka kwa mama au baba! Don't underestimate wanaume! Still probability kubwa ya mwanamke kuishi na kupata angalau kwa uchache mahitaji yake ya msingi LAZIMA awe connected na mwanaume; ama kwa njia ya ndoa, mchepuko, au "social engineering". "Social engineering" nikiwa na maana njia za kiulaghai na kitapelitapeli kujipatia kipato kutoka kwa mwanaume
 
Wadogo zangu wa kike jitahidini kutembea tembea mama zenu wanataka muolewe mtazeekea ndani.
Tatizo sio lao tatizo ni hao Wazazi hawajajua tatizo nini tatizo ndio tatizo ambacho ni chanzo cha tatizo lao wao
 
Kama kuna mwenye GPA kuanzia 4 atoke nimuoe
Niliwahi kuleta andiko hapa nikasema: watu wanakalili kuwa ukisoma mpaka chuo ukapata degree ndo utatoboa kirahisi! SIO HIVYO nyie vijana! Hawa wanasiasa wamewadanganya mkaingia kingi. Kama uwezo wako wa akili haukupi uhakika wa kupata GPA ya kuanzia 4.2 mpaka 5.0 usiende Chuo. Unapoteza muda, umri na rasilimali za wazazi maana ukimaliza ajira hakuna. Pia angalia unaenda chuo kusomea course hipi? Kuna course za "kindezi" <kwa lugha ya vijana> Hizo course za kindezi hata ukipata GPA kali msoto ni palepale sembuse GPA za "pass &lower second"?
 
Sikumbuki hii discussion ilianzia wapi, lakini may be I was just being sarcastic. Lakini pia sifurahii mabinti kuambiwa watafute ndoa kabla ya kujitafuta angalau sio kwa viwango hivyo.... hata tu kwa kuanzia.

Kuna usemi siku hizi tunawauliza, usipoolewa... plan B yako ni ipi!??

Yes mimi ni mwanaharakati, lakini haimaanishi nawadogosha wanaume, usinilishe maneno bwana! Tena kati ya vitu wanaume wametuzidi, ni nguvu za mwili, ushapu na ujanja.... mwanaume na mwanamke mkifanya biashara moja au mkafanya kazi yenye mshahara mmoja atakuzidi kipato na maendeleo mwisho wa siku....

Maana yangu umeielewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…