Wow! Unaishi kwenye jamii gani ambayo wanaume wote wameshajipata na wako tayari kuoa na kubeba majukumu ya kifamilia kikamilifu?? Sio hii jamii ambayo wanaume pia wanastruggle kujitafuta kwa zaidi ya 15 years?
Unaamini kila anayepigania kuolewa basi atafanikiwa kuolewa? Bahati isipokuwa yake akawa hajaolewa je??
Ukiolewa ni guarantee ya kutimiziwa mahitaji yako yote? Have you ever heard women who are single mothers although they are married???
Come on, una binti? Wadogo wa kike je? You can do better with them, ndoa inaweza isiwe destiny, lakini as long as huyu binti yuko hai atatakiwa kumove around, kula, kuwa na makazi etc....... na hayo yanapatikanaje? Lazima kila mtu awe na kipato cha kulipwa au kujilipa!