Usimpige risasi mkuu, agiza 🍕 tuFikilia mwanamke unapimiwa samaki ambae kaisha haribika sawa hukuona sababu uko bize unachezea simu yako sasa tuseme hata harufu ya kuoza huisikii kweli.
Aisee mwenzenu leo usiku nalala njaa sa ntafanyaje?
Na kubandika kucha za efu2, na kuvaa yale mayebo yenye mikanda minene sjui wanayaitajeSiku hizi wanajua kufuga kucha na kuchezea simu janja tu......!!