the truther
Member
- Sep 28, 2024
- 19
- 33
Habari wadau..mi ni mgeni humu naomba nipokelewe..
Mi ni kijana wa makamo,Nina tatizo Moja kubwa na linanitesa sana..
Kwenye mahusiano natokea kupendwa sana na mabinti,lakini wanataka sex TU, nikitaka mahusiano ya kudumu hawataki.
Inanichanganya sana, na wengine wanakuchana live,kwamba hawaitaji commitment. Mind you haya yananitokea ,sana sana kanisani na mtaani Kwa uchache.
Mimi nimeokoka na umri umesogea kidogo,nataka kuoa nifanyeje nipate mtu sirious...?
Nina umbo dogo ,Sasa sijui ndio sababu..hata mabinti wadogo wanaona wanaweza nimudu for funny..inanipa stress sana nifanyeje...?
Mi ni kijana wa makamo,Nina tatizo Moja kubwa na linanitesa sana..
Kwenye mahusiano natokea kupendwa sana na mabinti,lakini wanataka sex TU, nikitaka mahusiano ya kudumu hawataki.
Inanichanganya sana, na wengine wanakuchana live,kwamba hawaitaji commitment. Mind you haya yananitokea ,sana sana kanisani na mtaani Kwa uchache.
Mimi nimeokoka na umri umesogea kidogo,nataka kuoa nifanyeje nipate mtu sirious...?
Nina umbo dogo ,Sasa sijui ndio sababu..hata mabinti wadogo wanaona wanaweza nimudu for funny..inanipa stress sana nifanyeje...?