Suhendra
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 1,625
- 3,307
Kwnin usijitabirie mwenyewe mpaka uanzishe Uzi humu.Nimeoka na ni mwalimu wa Neno,na pia natabiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwnin usijitabirie mwenyewe mpaka uanzishe Uzi humu.Nimeoka na ni mwalimu wa Neno,na pia natabiri
Kwani kuanzisha Uzi ni kosa..tusipangiane maishaKwnin usijitabirie mwenyewe mpaka uanzishe Uzi humu.
Fafanua umbo dogo. Una kiba100?Habari wadau..mi ni mgeni humu naomba nipokelewe..
Mi ni kijana wa makamo,Nina tatizo Moja kubwa na linanitesa sana..
Kwenye mahusiano natokea kupendwa sana na mabinti,lakini wanataka sex TU, nikitaka mahusiano ya kudumu hawataki.
Inanichanganya sana, na wengine wanakuchana live,kwamba hawaitaji commitment. Mind you haya yananitokea ,sana sana kanisani na mtaani Kwa uchache.
Mimi nimeokoka na umri umesogea kidogo,nataka kuoa nifanyeje nipate mtu sirious...?
Nina umbo dogo ,Sasa sijui ndio sababu..hata mabinti wadogo wanaona wanaweza nimudu for funny..inanipa stress sana nifanyeje...?
Watu wapo obsessed na kibamia..umbo dogo Nina maana ya mwili mdogo..Fafanua umbo dogo. Una kiba100?
Am too old for that shit..plus ukisex na mtu anakuachia mikosi..nataka nituliesawa kijana maaana wanaume wanapungua kwa kasi sana kubali kuwa sex toy tu kijana