the truther
Member
- Sep 28, 2024
- 19
- 33
- Thread starter
- #21
Hapa nipo kwenye mfungo wa siku 21,bangi umenipa wewe..?Usivute bangi kabla ya kula, ni ushauri tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa nipo kwenye mfungo wa siku 21,bangi umenipa wewe..?Usivute bangi kabla ya kula, ni ushauri tu.
Mkuu hv unajua KUOKOKA KWELI?? mungu ATUSAIDIE,,,, na kama KUOKOKA ndo hiviiiiiii mm
Nimeoka na ni mwalimu wa Neno,na pia natabiriMkuu hv unajua KUOKOKA KWELI?? mungu ATUSAIDIE,,,, na kama KUOKOKA ndo hiviiiiiii mmmmhhh
Ohh ...please give me a break..nahitaji ushauri positiveEndelea kuosha rungu
Endelea kuomba tobaOhh ...please give me a break..nahitaji ushauri positive
Mimi ni men.. usinichokoze mtu wa MUNGUHuku huwez pata bwan,, tangazo limekaa ki mwaka 2025
Sio mie jama i mbona mnanisingozia."Nina umbo dogo ,Sasa sijui ndio sababu..hata mabinti wadogo wanaona wanaweza nimudu for funny..inanipa stress sana nifanyeje...?"
Hiyo kauli ni kama ya mzabzab
#Kibamia 🤣🤣
nimeelewa wewe ni me,,nasisi ke hatuji pm kutaka kujua nini kinawavutia hao wa kansani kwenu.Mimi ni men.. usinichokoze mtu wa MUNGU
It's ok..nothing personalnimeelewa wewe ni me,,nasisi ke hatuji pm kutaka kujua nini kinawavutia hao wa kansani kwenu.
Sahivi uko wapi?Habari wadau..mi ni mgeni humu naomba nipokelewe..
Mi ni kijana wa makamo,Nina tatizo Moja kubwa na linanitesa sana..
Kwenye mahusiano natokea kupendwa sana na mabinti,lakini wanataka sex TU, nikitaka mahusiano ya kudumu hawataki.
Inanichanganya sana, na wengine wanakuchana live,kwamba hawaitaji commitment. Mind you haya yananitokea ,sana sana kanisani na mtaani Kwa uchache.
Mimi nimeokoka na umri umesogea kidogo,nataka kuoa nifanyeje nipate mtu sirious...?
Nina umbo dogo ,Sasa sijui ndio sababu..hata mabinti wadogo wanaona wanaweza nimudu for funny..inanipa stress sana nifanyeje...?
Nipo bongoSahivi uko wapi?
Nakupigia basi muda si mrefuNipo bongo