Mabishano kati ya medical professionals yanayolenga interests za mgonjwa ni jambo la kawaida na ni ethical

Mabishano kati ya medical professionals yanayolenga interests za mgonjwa ni jambo la kawaida na ni ethical

Dr Akili

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
5,119
Reaction score
4,569
Mabishano kati ya medical professionals yanayolenga kupata huduma sahihi na safi kwa wagonjwa wao ni kitu cha kawaida na cha kila siku. Mabishano au mijadala ya namna hiyo kuna wakati mwingine inakuwaga mikali sana (heated). Mijadala hii hufanyika aidha kati ya mtu mmoja mmoja au kivikundi. Mabishano kama hayo ni very medically ethical kwani yanalenga kutoa huduma bora kwa mteja/ mgonjwa. Cha muhimu tu ni kwamba mabishano kama hayo hayapaswi kufanyika mbele ya mteja/ mgonjwa.

Mabishano yaliyotokea kati ya muuguzi na mmaabara huko Tabora yalikuwa ya aina hiyo. Muuguzi alikuwa anataka mteja wake mwenye mimba afanyiwe kipimo cha malaria ya MRDT ambacho mmaabara alikuwa amekataa kwa sababu kipimo hicho hakitatoa majibu sahihi kwa kuwa diagnostic kits alizokuwanazo za kipimo hiko zilikuwa zime expire. Muuguzi hakukubaliana na sababu hizo na alitaka mmaabara afanye tu kipimo hicho hata kama expirely date ya kits hizo ilishavukwa. Mteja hakuwepo eneo la mabishano.

Tatizo liko kwa yule aliyeamua kuwarekodi wawili hao walipokuwa wanabishana na kuyarusha mabishano hayo kwenye mitandao ya kijamii kwa manufaa anayeyajua mwenyewe. Kama mtu huyu naye ni medical professional, basi atakuwa na kesi kubwa ya ki medical ethics ya kujibu.

Tatizo suala hili limechukuliwa kisiasa baada ya video hiyo kuonekana na wanasiasa. Wale innocent persons wametimuliwa kazi. Yule culpit aliye record na kusambaza hizo picha anapeta. Eti anaitwa whistle blower. Ana blower kitu gani ambacho hakiko sahihi ki medical?
 
Mabishano kati ya medical professionals yanayolenga kupata huduma sahihi na safi kwa wagonjwa wao ni kitu cha kawaida na cha kila siku. Mabishano au mijadala ya namna hiyo kuna wakati mwingine inakuwaga mikali sana (heated). Mijadala hii hufanyika aidha kati ya mtu mmoja mmoja au kivikundi. Mabishano kama hayo ni very medically ethical kwani yanalenga kutoa huduma bora kwa mteja/ mgonjwa. Cha muhimu tu ni kwamba mabishano kama hayo hayapaswi kufanyika mbele ya mteja/ mgonjwa.

Mabishano yaliyotokea kati ya muuguzi na mmaabara huko Tabora yalikuwa ya aina hiyo. Muuguzi alikuwa anataka mteja wake mwenye mimba afanyiwe kipimo cha malaria ya MRDT ambacho mmaabara alikuwa amekataa kwa sababu kipimo hicho hakitatoa majibu sahihi kwa kuwa diagnostic kits alizokuwanazo za kipimo hiko zilikuwa zime expire. Muuguzi hakukubaliana na sababu hizo na alitaka mmaabara afanye tu kipimo hicho hata kama expirely date ya kits hizo ilishavukwa. Mteja hakuwepo eneo la mabishano.

Tatizo liko kwa yule aliyeamua kuwarekodi wawili hao walipokuwa wanabishana na kuyarusha mabishano hayo kwenye mitandao ya kijamii kwa manufaa anayeyajua mwenyewe. Kama mtu huyu naye ni medical professional, basi atakuwa na kesi kubwa ya ki medical ethics ya kujibu.

Tatizo suala hili limechukuliwa kisiasa baada ya video hiyo kuonekana na wanasiasa. Wale innocent persons wametimuliwa kazi. Yule culpit aliye record na kusambaza hizo picha anapeta. Eti anaitwa whistle blower. Ana blower kitu gani ambacho hakiko sahihi ki medical?
Kwa kawaida siyo mabishano kama wewe unavyoyaita, hayo yanayohusu maswala ya kiutibabu. Ni majadiliano kitaaluma, na siyo mambo ya mitaani, au kutafuta sifa.

Katika swala hilo hapo la mMaabara na nesi, nesi hakuwa na sababu yoyote ya kujadili jambo asilokuwa nalo ufahamu juu yake.

Hayo kweli yalikuwa ni Mabishano, kwa sababu nesi hakuwa na msingi wowote wa kuhoji kazi ya mMaabara. Huyo nesi hajui mipaka ya kazi yake.
 
Kwenye sekta ya afya serikalini ndio sehem pekee iliyojaa wajuaji , academic arrogance na limited vision ya hali ya juu mno....

hela zenyewe kiduchu unamchomea mwenzako Mambo ya kuzungumza kwenye vikao....
 
Kwenye sekta ya afya serikalini ndio sehem pekee iliyojaa wajuaji , academic arrogance na limited vision ya hali ya juu mno....

hela zenyewe kiduchu unamchomea mwenzako Mambo ya kuzungumza kwenye vikao....
Binafsi nitakwambia kuwa huwa ninachoshwa sana nikienda benki, kuweka au kuchukua pesa ambayo ni pesa yangu mwenyewe, lakini ninakutana na mtu mwenye 'attitude', anayejifanya kana kwamba ananifanyia fadhila kunihudumia!

Nina hakika hiyo ni sehemu moja tu, zipo sehemu nyingi sana zisizotoa huduma ipasavyo.
 
atakuwa na kesi
Afutiwe leseni ili wengine waokolewe pia ama wajifunze.

Huwa inakuwaje unaenda hizi laboratory za mtaani ukipima majibu yanakuwa tofauti hata huna ugonjwa unaambiwa kuwa unao ama Ni sawa na fizikia daktari kuwa no free surface is frictionless or no machine which is 100% efficiency ili tumeze kabisa Kama tulivyolimeza la fizikia Hilo nalo liangaliwe mkuu ama tusubirie maagizo yako
 
Mabishano kati ya medical professionals yanayolenga kupata huduma sahihi na safi kwa wagonjwa wao ni kitu cha kawaida na cha kila siku. Mabishano au mijadala ya namna hiyo kuna wakati mwingine inakuwaga mikali sana (heated). Mijadala hii hufanyika aidha kati ya mtu mmoja mmoja au kivikundi. Mabishano kama hayo ni very medically ethical kwani yanalenga kutoa huduma bora kwa mteja/ mgonjwa. Cha muhimu tu ni kwamba mabishano kama hayo hayapaswi kufanyika mbele ya mteja/ mgonjwa.

Mabishano yaliyotokea kati ya muuguzi na mmaabara huko Tabora yalikuwa ya aina hiyo. Muuguzi alikuwa anataka mteja wake mwenye mimba afanyiwe kipimo cha malaria ya MRDT ambacho mmaabara alikuwa amekataa kwa sababu kipimo hicho hakitatoa majibu sahihi kwa kuwa diagnostic kits alizokuwanazo za kipimo hiko zilikuwa zime expire. Muuguzi hakukubaliana na sababu hizo na alitaka mmaabara afanye tu kipimo hicho hata kama expirely date ya kits hizo ilishavukwa. Mteja hakuwepo eneo la mabishano.

Tatizo liko kwa yule aliyeamua kuwarekodi wawili hao walipokuwa wanabishana na kuyarusha mabishano hayo kwenye mitandao ya kijamii kwa manufaa anayeyajua mwenyewe. Kama mtu huyu naye ni medical professional, basi atakuwa na kesi kubwa ya ki medical ethics ya kujibu.

Tatizo suala hili limechukuliwa kisiasa baada ya video hiyo kuonekana na wanasiasa. Wale innocent persons wametimuliwa kazi. Yule culpit aliye record na kusambaza hizo picha anapeta. Eti anaitwa whistle blower. Ana blower kitu gani ambacho hakiko sahihi ki medical?
Acha double standards mkuu, Video za maaskari wakichukua rushwa mnaziita za kishujaa maana zinaibua uovu lakini hii ya hawa jamaa mnaiona inaleta sijui blah blah! Na suala la kutumia vitu vilivyokwisha muda wake ni makosa. Kwahiyo Boss usimshambulie aliyerekodi video.
 
Kwa kawaida siyo mabishano kama wewe unavyoyaita, hayo yanayohusu maswala ya kiutibabu. Ni majadiliano kitaaluma, na siyo mambo ya mitaani, au kutafuta sifa.

Katika swala hilo hapo la mMaabara na nesi, nesi hakuwa na sababu yoyote ya kujadili jambo asilokuwa nalo ufahamu juu yake.

Hayo kweli yalikuwa ni Mabishano, kwa sababu nesi hakuwa na msingi wowote wa kuhoji kazi ya mMaabara. Huyo nesi hajui mipaka ya kazi yake.
Nani kakufundisha kwamba wauguzi hawana ufahamu wo wote wa mambo ya maabara? Unajua wanajifunza nini katika hiyo kozi ya miaka 4 ya diploma in clinical nursing au ile kozi ya BSc in clinical nursing?
 
Acha double standards mkuu, Video za maaskari wakichukua rushwa mnaziita za kishujaa maana zinaibua uovu lakini hii ya hawa jamaa mnaiona inaleta sijui blah blah! Na suala la kutumia vitu vilivyokwisha muda wake ni makosa. Kwahiyo Boss usimshambulie aliyerekodi video.
Hapo kuna uovu gani umetendeka? Unajua maana ya expirely date? Unadhani hizo chemicals zina exact date ya kuharibika? For your information hiyo expirely date iliyooneshwa na manufacturer ni ya makisisio tu ambayo manufacturer anajitoa responsibility kwa kile kitakachotokea baada ya tarehe hiyo. Mara nyingi huwa ni plus or minus three months.

Maana yake ni kuwa chemical hiyo inaweza expire miezi 3 kabla ya tarehe iliyooneshwa au miezi 3 baada ya tarehe iliyooneshwa kutegemea na aina ya chemical hiyo na mazingara iliyotunzwa. Zinatakiwa kufanyiwa quality testing za mara kwa mara kubaini ubora wake.
 
Afutiwe leseni ili wengine waokolewe pia ama wajifunze.

Huwa inakuwaje unaenda hizi laboratory za mtaani ukipima majibu yanakuwa tofauti hata huna ugonjwa unaambiwa kuwa unao ama Ni sawa na fizikia daktari kuwa no free surface is frictionless or no machine which is 100% efficiency ili tumeze kabisa Kama tulivyolimeza la fizikia Hilo nalo liangaliwe mkuu ama tusubirie maagizo yako
Afutiwe lesseni kwa ushahidi upi Bwanamdogo.. utalisha watoto wake
 
Binafsi nitakwambia kuwa huwa ninachoshwa sana nikienda benki, kuweka au kuchukua pesa ambayo ni pesa yangu mwenyewe, lakini ninakutana na mtu mwenye 'attitude', anayejifanya kana kwamba ananifanyia fadhila kunihudumia!

Nina hakika hiyo ni sehemu moja tu, zipo sehemu nyingi sana zisizotoa huduma ipasavyo.
Umewah ona clip ya bankers mtandaoni wakichomeana au wakijibizan kama hivo?
Hao walishalishwa mentality mbovu ndio maana wanakuza mambo madogo hadi kwa media... typical nonsensical behaviour
 
Nani kakufundisha kwamba wauguzi hawana ufahamu wo wote wa mambo ya maabara? Unajua wanajifunza nini katika hiyo kozi ya miaka 4 ya diploma in clinical nursing au ile kozi ya BSc in clinical nursing?
Na kwa kusema ukweli, expiry date huwa ina plus na minus. Most likely tarehe ya ku-expire huwa inaiacha item/reagent ikiwa na ubora wa karibia miezi 3 hadi 6. Hii period inaitwa" dispensing date" . Kwa hiyo siyo kwamba siku tarehe inapofika, palepale dawa au reagent inakuwa useless. No.

Kawaida kuna allowance ambayo matabibu wenyewe wanajua kulingana na taaluma zao. Kwa hiyo kwa kuwa academics zetu haziko aligned, waweza kuta hawa watu wana ufahamu tofauti kuhusu hilo.
 
Huwa inakuwaje unaenda hizi laboratory za mtaani ukipima majibu yanakuwa tofauti hata huna ugonjwa unaambiwa kuwa unao ama Ni sawa na fizikia daktari kuwa no free surface is frictionless or no machine which is 100% efficiency ili tumeze kabisa Kama tulivyolimeza la fizikia Hilo nalo liangaliwe mkuu ama tusubirie maagizo yako
Ni uzembe wa wasimamizi wa huduma hizi yaani DHMTs (district health management teams) zinazoongozwa na waganga wakuu wa wilaya (DMOs) na RHMTs zinazoongozwa na waganga wakuu wa mikoa (RMOs). Timu hizi zinatakiwa kuzifanyiwa quality testing maabara hizo za mara kwa mara. Yaani hata wewe jaribu tu hata siku moja badala ya mkojo wapelekee maji yaliyochanganywa na fanta au wapelekee mkojo wa ng'ombe au mbuzi. Utashangaa majibu utakayopewa. Utaambiwa una UTI sugu au kisonono. Wapelekee damu ya kuku, utaambiwa una malaria tatu au typhoid au HIV.
 
Hata mimi hapa saivi nabishana na wife ....nataka nimle yeye hataki kuliwa.. mbishano haya ni very ethical kindoa..

Upumbavu ni kurekodi mabishano yangu hapa na wife afu nishee..
 
Nani kakufundisha kwamba wauguzi hawana ufahamu wo wote wa mambo ya maabara? Unajua wanajifunza nini katika hiyo kozi ya miaka 4 ya diploma in clinical nursing au ile kozi ya BSc in clinical nursing?
Ficha ujinga ndugu maswali kama haya tumeyazoea kwa watu wasio na hoja kichwani.

Heshimu mipaka ya kazi yako muuguzi.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Hapo kuna uovu gani umetendeka? Unajua maana ya expirely date? Unadhani hizo chemicals zina exact date ya kuharibika? For your information hiyo expirely date iliyooneshwa na manufacturer ni ya makisisio tu ambayo manufacturer anajitoa responsibility kwa kile kitakachotokea baada ya tarehe hiyo. Mara nyingi huwa ni plus or minus three months. Maana yake ni kuwa chemical hiyo inaweza expire miezi 3 kabla ya tarehe iliyooneshwa au miezi 3 baada ya tarehe iliyooneshwa kutegemea na aina ya chemical hiyo na mazingara iliyotunzwa. Zinatakiwa kufanyiwa quality testing za mara kwa mara kubaini ubora wake.
Kwa reference ipi?

Acha kudanganya umma

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Hapo kuna uovu gani umetendeka? Unajua maana ya expirely date? Unadhani hizo chemicals zina exact date ya kuharibika? For your information hiyo expirely date iliyooneshwa na manufacturer ni ya makisisio tu ambayo manufacturer anajitoa responsibility kwa kile kitakachotokea baada ya tarehe hiyo. Mara nyingi huwa ni plus or minus three months. Maana yake ni kuwa chemical hiyo inaweza expire miezi 3 kabla ya tarehe iliyooneshwa au miezi 3 baada ya tarehe iliyooneshwa kutegemea na aina ya chemical hiyo na mazingara iliyotunzwa. Zinatakiwa kufanyiwa quality testing za mara kwa mara kubaini ubora wake.

We Bwana Sasa ndo unaharibu zaidi. Ungenyamaza tu?
 
Kwenye sekta ya afya serikalini ndio sehem pekee iliyojaa wajuaji , academic arrogance na limited vision ya hali ya juu mno....

hela zenyewe kiduchu unamchomea mwenzako Mambo ya kuzungumza kwenye vikao....
Kumchomea mtu ni kosa maana maisha yenyewe hayahaya wote binadamu na tunakosea lakini siku ukipimwa na vipimo vilivyoexpire au ukapewa dawa zilizoexpire ndipo utakapojua umuhimu wa kila mtu kusimamia misingi ya taaluma yake.
usitake kusema anayetetea vifaa vilivyoexpire visitumike kupima analeta ujuaji au ana limited vision.Kosa lake ni kurekodi na kupush mzigo.Ila akitokea mama au baba yako au mtoto wako anapewa huduma mbovu pia usilalamike maana unashindwa kumwelewa anayekataa kufanya kazi kimazoea kwa manufaa ya mgonjwa ambaye ni wewe mwananchi.
 
Mabishano kati ya medical professionals yanayolenga kupata huduma sahihi na safi kwa wagonjwa wao ni kitu cha kawaida na cha kila siku. Mabishano au mijadala ya namna hiyo kuna wakati mwingine inakuwaga mikali sana (heated). Mijadala hii hufanyika aidha kati ya mtu mmoja mmoja au kivikundi. Mabishano kama hayo ni very medically ethical kwani yanalenga kutoa huduma bora kwa mteja/ mgonjwa. Cha muhimu tu ni kwamba mabishano kama hayo hayapaswi kufanyika mbele ya mteja/ mgonjwa.

Mabishano yaliyotokea kati ya muuguzi na mmaabara huko Tabora yalikuwa ya aina hiyo. Muuguzi alikuwa anataka mteja wake mwenye mimba afanyiwe kipimo cha malaria ya MRDT ambacho mmaabara alikuwa amekataa kwa sababu kipimo hicho hakitatoa majibu sahihi kwa kuwa diagnostic kits alizokuwanazo za kipimo hiko zilikuwa zime expire. Muuguzi hakukubaliana na sababu hizo na alitaka mmaabara afanye tu kipimo hicho hata kama expirely date ya kits hizo ilishavukwa. Mteja hakuwepo eneo la mabishano.

Tatizo liko kwa yule aliyeamua kuwarekodi wawili hao walipokuwa wanabishana na kuyarusha mabishano hayo kwenye mitandao ya kijamii kwa manufaa anayeyajua mwenyewe. Kama mtu huyu naye ni medical professional, basi atakuwa na kesi kubwa ya ki medical ethics ya kujibu.

Tatizo suala hili limechukuliwa kisiasa baada ya video hiyo kuonekana na wanasiasa. Wale innocent persons wametimuliwa kazi. Yule culpit aliye record na kusambaza hizo picha anapeta. Eti anaitwa whistle blower. Ana blower kitu gani ambacho hakiko sahihi ki medical?
Umehitimisha vibaya sana whistle blowing imemnufaisha nani katika muktadha wa maudhui yako? mnufaika wa kuokolewa ni nani?
 
Back
Top Bottom