Mabishano kati ya medical professionals yanayolenga interests za mgonjwa ni jambo la kawaida na ni ethical

Mabishano kati ya medical professionals yanayolenga interests za mgonjwa ni jambo la kawaida na ni ethical

Ngoja nikufundishe kidogo layman wangu upate uelewa angalao kidogo wa hii sayansi na tekinolojia:

Vipimo vingi vya maabara sasa hivi viko simplified and automated. Vingi hata mgonjwa au wewe unaweza kujipima ukielekezwa kidogo tu. Nitakupa mifano:

- Blood sugar: Nunua GlucoPlus meter na glucose test strips kwenye duka la dawa. Gharama yake ni ndogo tu na utaweza kupima mwenyewe sukari yako ya mwili ili mradi tu uwe una uwezo wa kusoma na kuandika. Wagonjwa wa kisukari hu monitor blood sugar ya kila siku kwa bei isiyozidi Sh 200 kila kipimo. Hauhitaji mmaabara wala muuguzi kukupima sukari yako.

- Malaria: MRDT (Malaria Rapid Diagnostic) kit, hata wewe layman unaweza kujipima mwenyewe ukiwa nyumbani kwako. Unaweka tone moja dogo la damu na matone matatu ya assay fluid na baada ya dakika chache unapata majibu. Hauhitaji muuguzi wala mmaabara. Kipimo hiki ndicho walikuwa wakibishana kwenye hiyo video clip kati ya muuguzi na mmaabara. Wote wanaweza kukifanya na hata mgonjwa akioneshwa anaweza kukifanya.

- HIV blood test kit: Kipimo hiki unaweza na unashauriwa kukifanya mwenyewe nyumbani au guest ukiwa na mpenzi wako. Kinafanyika kama kile cha MRDT, unapata majibu yako na ya mpenzi wako baada ya dakika kumi. Kipimo kimoja hata Sh 200 hazifiki.

- HIV saliva test kit: Hiki kinatumia mate badala ya damu. Yaani kabla ya huo mchezo wa wawili kila mmoja anaweka mate kidogo kwenye kit, mnasubiri dakika 20 mnayaona majibu na kuamua mchezo utachezwa kwa namna gani. Kits hizi zinapatikana kwenye maduka ya dawa kwa bei ya chee.

- Kipimo cha mkojo: Hiki nacho ni rahisi sana na unaweza kujipima mwenyewe. Kinapatikana kwenye maduka ya dawa kwa bei chee. Kinatumia urinary strips. Unachukua mkojo wa katikati (mid urinary stream), unachovya hiyo strip kwenye mkojo huo. Itakupa majibu kama una UTI, kisukari, protein, albumin, bilirubin, red blood cells na kadhalika.
Cha muhimu sana ni kwamba tumia mkojo wa katikati. Ule wa mwanzo na wa mwisho huwa ni mchafu kwa kawaida. Hasa kwa wanawake, mkojo wa kwanza kwenye stream huweza kuchanganyika na uchafu wa ukeni ikiwamo seminal fluid, blood cells kwa walio kwenye hedhi na kadhalika. Tatizo la wanamaabara wengi huwa hawawaelekezi wagonjwa mkojo wa kuchukuliwa ie mid stream urine. Hiki ndicho chanzo cha wagonjwa wengi kuonekana wana tatizo la UTI wakati hawana bali walipima mkojo wa kwanza au mwisho ya stream.

- Huko kwenye maabara vipimo karibu vyote hufanywa na automated machines. Kazi ya mmaabara ni kutumbikiza tu hizo samples kwenye machines. Yaani ni kama kutumbukiza nguo kwenye mashine ya kufua nguo na kuwasha. Ujuzi wake aliosoma chuoni hautumiki kwani muuguzi au hata layman wa medicine yo yote anaweza kutumbukiza hizo samples na kuwasha mashine. Yaani kwa sasa laboratory technicians hawahitajiki sana kwenye vituo vya kutolea huduma za afya. Ujuzi wao unahitajika kwenye viwanda vya kutengeneza vitendanishi, kwenye taasisi za utafiti, vyuo vya kufudisha taaluma. Ni kama ilivyo kwa sasa kwa wafamasia. Ujuzi wao ni wa kutengeneza dawa na utafiti wa dawa. Hapo zamani kazi yao hospitalini ilikuwa ni kutengeneza au ku compound dawa mbali mbali. Sasa hivi dawa zote zinakuja hospit ziko fully compounded toka viwandani. Hivyo kazi ya pharmacist hospitalini imebaki ku dispense tu dawa kwa wagonjwa na kutunza store ya dawa, kazi ambayo haihitaji kisomo cha miaka 4 chuo kikuu au zaidi kwa wale walio na master degrees or PhD in pharmacy ambao kwa sasa tunao wengi tu wakidispense dawa mbili mara mbili wakiwa na PhD in pharmacy!
Nikisema wewe ni kiazi, sitanii. Ninakwambia ukweli mtupu, wewe ni kiazi.
Na kama huna kumbukumbu, nilishakwambia hivyo mara kadhaa humu humu JF kwamba hiyo MD yako ni ya magumashi.
Huna chochote ulichonifundisha hapo, na wala huna uwezo wa kunifundisha kitu.
Yote uliyoandika hapa ni upuuzi, kama huelewi kwamba huyo nesi anakazania kutumia kipimo kilichokwisha muda wake, hata kama ni automated, na wewe bado hujui maana yake ni nini?
Hizo "automated machines" zinazofanya vipimo hazihitaji ujuzi kuziendesha?

Hata hiyo 'interpretation' ya majibu yenyewe, nesi hajui maana yake ni nini.

Kuonyesha ulivyo mweupe kichwani, hata hujui kazi sahihi zinazofanywa na wataalam kama wafamasia, wewe unaona tu kutoa dawa, basi, hujui kwamba wanajua hiyo dawa wanayotoa zaidi ya hata huyo anayeiandika! Hili hulijui.
Kwa hiyo kwa vile mazingira ya kazi zao hayawapi fursa ya kutumia ujuzi wao kikamilifu, wewe unadhani hivyo ndivyo inavyopaswa iwe.

Ndiyo, teknologia sasa hivi itaruhusu 'self-diagnosis' and treatment' kwa magonjwa mengi, lakini hilo halitakuwa na maana kwamba watu kama wewe hamtakuwepo huko makazini, pamoja na kwamba mtakuwa 'redundant.'
 
Sasa hapo tusi ni lipi masta.. ukienda jeshini si naacha kabisa narud na nyumban.. hahaha
Hapo ulipo unaweza kujua kama nimeenda jeshini au laa? Unafahamu ethics za kiutumishi lakini? Mpaka Mhe Waziri mkuu juzi kawaagiza wakurugenzi kuhakikisha kwamba watumishi kama huyo nesi hawaachwi kuichafua sekta ya afya.
 
Hapo ulipo unaweza kujua kama nimeenda jeshini au laa? Unafahamu ethics za kiutumishi lakini? Mpaka Mhe Waziri mkuu juzi kawaagiza wakurugenzi kuhakikisha kwamba watumishi kama huyo nesi hawaachwi kuichafua sekta ya afya.
Tulia unywe maji ndugu yangu mtumishi
 
Juzi Manesi wamemchoma mtoto wangu sindano zaidi ya 15 et wanatafuta mshipa

Wakataka wamnyoe wamchome ya kichwa, mama ake akakataa wakaanza kumtukana eti anawafundisha kazi.

Akabeba mtoto kwenda private

Manesi wa serikali wa halmashauri na hospital ndogo ndogo sio wa kuwaamini kabisa, post za kupangwa tuu zinabeba na makokoro mengi
 
Nikisema wewe ni kiazi, sitanii. Ninakwambia ukweli mtupu, wewe ni kiazi.
Na kama huna kumbukumbu, nilishakwambia hivyo mara kadhaa humu humu JF kwamba hiyo MD yako ni ya magumashi.
Huna chochote ulichonifundisha hapo, na wala huna uwezo wa kunifundisha kitu.
Yote uliyoandika hapa ni upuuzi, kama huelewi kwamba huyo nesi anakazania kutumia kipimo kilichokwisha muda wake, hata kama ni automated, na wewe bado hujui maana yake ni nini?
Hizo "automated machines" zinazofanya vipimo hazihitaji ujuzi kuziendesha?

Hata hiyo 'interpretation' ya majibu yenyewe, nesi hajui maana yake ni nini.

Kuonyesha ulivyo mweupe kichwani, hata hujui kazi sahihi zinazofanywa na wataalam kama wafamasia, wewe unaona tu kutoa dawa, basi, hujui kwamba wanajua hiyo dawa wanayotoa zaidi ya hata huyo anayeiandika! Hili hulijui.
Kwa hiyo kwa vile mazingira ya kazi zao hayawapi fursa ya kutumia ujuzi wao kikamilifu, wewe unadhani hivyo ndivyo inavyopaswa iwe.

Ndiyo, teknologia sasa hivi itaruhusu 'self-diagnosis' and treatment' kwa magonjwa mengi, lakini hilo halitakuwa na maana kwamba watu kama wewe hamtakuwepo huko makazini, pamoja na kwamba mtakuwa 'redundant.'
Najua unafurahia kimoyo moyo hiyo elimu ya bure niliyokupatia. Najua sasa utakapokuwa unahisi umedungwa mimba utakuwa unanunua hiyo pregnancy test strip ya jero na kuichovya kwenye mkojo wako wa asubuhi. Hutahitaji kusubiri hadi ukose hedhi yako ya mwezi ujao au hadi uanze kutapika tapika ovyo. Ndani ya siku 3 hadi 7 baada ya huo mchezo utakuwa unajua kama umenasa! Hapa Jf elimu inatolewa bure.
 
Najua unafurahia kimoyo moyo hiyo elimu ya bure niliyokupatia. Najua sasa utakapokuwa unahisi umedungwa mimba utakuwa unanunua hiyo pregnancy test strip ya jero na kuichovya kwenye mkojo wako wa asubuhi. Hutahitaji kusubiri hadi ukose hedhi yako ya mwezi ujao au hadi uanze kutapika tapika ovyo. Ndani ya siku 3 hadi 7 baada ya huo mchezo utakuwa unajua kama umenasa! Hapa Jf elimu inatolewa bure.
Nasubiri tu kukutoa kazini, kwa sababu wewe kama 'General Practitioner' hutakuwa na kazi tena. Utakuwa 'redundant' na hicho ki-'MD' chako, unachojigamba nacho hapa. Heri ya kumwona 'clinical Officer' kuliko kukutana na boya kama wewe.
Bure kabisa.
 
Nasubiri tu kukutoa kazini, kwa sababu wewe kama 'General Practitioner' hutakuwa na kazi tena. Utakuwa 'redundant' na hicho ki-'MD' chako, unachojigamba nacho hapa. Heri ya kumwona 'clinical Officer' kuliko kukutana na boya kama wewe.
Bure kabisa.
Hujui unaongea na nani. Ndiyo uzuri wa Jf. Kama una akili be careful unapotumia mitandao hii. Unaweza kuwa unambeza boss wako au baba yako au aliye juu zaidi ya hao etc etc. Be very careful my child. You might end up into trouble. Halafu siyo mila na utamaduni wetu. Uhuni siyo deal hata kidogo.
 
Hujui unaongea na nani. Ndiyo uzuri wa Jf. Kama una akili be careful unapotumia mitandao hii. Unaweza kuwa unambeza boss wako au baba yako au aliye juu zaidi ya hao etc etc. Be very careful my child. You might end up into trouble. Halafu siyo mila na utamaduni wetu. Uhuni siyo deal hata kidogo.
Wewe ni bwege mmoja tu, kutokana na hadhi ya michango yako humu JF.

Kwa hiyo usijifanye unahadhi zaidiya thamani ya unayochangia hapa.

Ungekuwa unazo akili za kutosha ungetambua unajibishana na mtu wa namna gani hapa; lakini kwa vile huna fikra nzuri unajiandikia tu na kuropoka hovyo hovyo, kama ulivyofanya hapa.
 
Ainisha kazia kukosea kwa yule nurse na kisha weka bayana ufahamu wenu na speculate why ajizime data? Na pia kuna wahitimu ambao ni vilaza kwenye baadha ya masomo na baadhi kupita kwa rushwa au hongo, sio ajabu kuwa network kichwani hana, chetu fake alonunua cheti na kama mwenye cheti sio mwajiriwa bado wapo kazini
Umeloloma ya maana, lakini hukuainisha unamueleza nani!
 
Yale sio mabishano, ni matukanano!

Ati "pita hivi, mwanaume gani wewe, unajifanya unajua taaluma kuliko wengine"?

Very indisciplined!! AFUTWE KAZI akatafute biashara ya saizi yake ya kusutana!
Hilo mtoa mada hakuliona, yeye kayaita ni mabishano ya kitaaluma!

Ile "nyo nyo nyo" na kebehi zingine kwake ni mabishano na haelewi kuwa hizo ni kauli zenye kuudhi mahala pa kazi.

Nilichobaki mpaka leo najiuliza, kiwango hicho cha matusi ya mazoea, kutukanwa na staff mwenzako namna hiyo ambaye hamjawahi kukorofishana kabla ama kimahusiano, linawezekanaje jambo hilo?

Hakuna njama na fitina za kimahusiano kweli hapo?

Hilo tusi najaribu kulipachika kwa walengwa mbali mbali, mfano: mtu yeyote asiyehusiana naye kimapenzi, junior wake kikazi, senior wake kikazi, linakataa.

Hawa wawili walikuwa na personal conflict, maana si kwa dharau hizo, ndiyo maana imepelekea wakawekeana mitego ya makamera.

Niliona maelezo ya boss wao pale akijieleza kutetea hoja ya kutumia vipimo hivyo expired.

Kumbe sasa suala la matumizi ya vipimo hivyo expired lilikuwa na baraka na wote hao walilijua, ila mmaabara akatega kinasa sauti na kujifanya haelewi ili kumnasisha hasidi wake.

Kafanikiwa lakini kwa mtindo wa upigaji mabomu ya sumu, kweli litaangamiza mlengwa, lakini pia na yeye mfyatuaji hubaki na athari za sumu zitakazomuua pole pole.
 
Nikisema wewe ni kiazi, sitanii. Ninakwambia ukweli mtupu, wewe ni kiazi.
Na kama huna kumbukumbu, nilishakwambia hivyo mara kadhaa humu humu JF kwamba hiyo MD yako ni ya magumashi.
Huna chochote ulichonifundisha hapo, na wala huna uwezo wa kunifundisha kitu.
Yote uliyoandika hapa ni upuuzi, kama huelewi kwamba huyo nesi anakazania kutumia kipimo kilichokwisha muda wake, hata kama ni automated, na wewe bado hujui maana yake ni nini?
Hizo "automated machines" zinazofanya vipimo hazihitaji ujuzi kuziendesha?

Hata hiyo 'interpretation' ya majibu yenyewe, nesi hajui maana yake ni nini.

Kuonyesha ulivyo mweupe kichwani, hata hujui kazi sahihi zinazofanywa na wataalam kama wafamasia, wewe unaona tu kutoa dawa, basi, hujui kwamba wanajua hiyo dawa wanayotoa zaidi ya hata huyo anayeiandika! Hili hulijui.
Kwa hiyo kwa vile mazingira ya kazi zao hayawapi fursa ya kutumia ujuzi wao kikamilifu, wewe unadhani hivyo ndivyo inavyopaswa iwe.

Ndiyo, teknologia sasa hivi itaruhusu 'self-diagnosis' and treatment' kwa magonjwa mengi, lakini hilo halitakuwa na maana kwamba watu kama wewe hamtakuwepo huko makazini, pamoja na kwamba mtakuwa 'redundant.'
Ivi mkuu umesikiliza kwa makini hizo video za watukanaji, ukaja ukasikiliza video ya Ummi na mganga mkuu wa hospitali ya watukanaji, ukasikiliza video ya Waziri mkuu kuhusu sakata hilo pamoja na andishi la huyu anayejiita Dr humu unayebishana naye?

Weka conclusion yako kama umeangalia video zote hizo nilizozitaja.
 
Mabishano kati ya medical professionals yanayolenga kupata huduma sahihi na safi kwa wagonjwa wao ni kitu cha kawaida na cha kila siku. Mabishano au mijadala ya namna hiyo kuna wakati mwingine inakuwaga mikali sana (heated). Mijadala hii hufanyika aidha kati ya mtu mmoja mmoja au kivikundi. Mabishano kama hayo ni very medically ethical kwani yanalenga kutoa huduma bora kwa mteja/ mgonjwa. Cha muhimu tu ni kwamba mabishano kama hayo hayapaswi kufanyika mbele ya mteja/ mgonjwa.

Mabishano yaliyotokea kati ya muuguzi na mmaabara huko Tabora yalikuwa ya aina hiyo. Muuguzi alikuwa anataka mteja wake mwenye mimba afanyiwe kipimo cha malaria ya MRDT ambacho mmaabara alikuwa amekataa kwa sababu kipimo hicho hakitatoa majibu sahihi kwa kuwa diagnostic kits alizokuwanazo za kipimo hiko zilikuwa zime expire. Muuguzi hakukubaliana na sababu hizo na alitaka mmaabara afanye tu kipimo hicho hata kama expirely date ya kits hizo ilishavukwa. Mteja hakuwepo eneo la mabishano.

Tatizo liko kwa yule aliyeamua kuwarekodi wawili hao walipokuwa wanabishana na kuyarusha mabishano hayo kwenye mitandao ya kijamii kwa manufaa anayeyajua mwenyewe. Kama mtu huyu naye ni medical professional, basi atakuwa na kesi kubwa ya ki medical ethics ya kujibu.

Tatizo suala hili limechukuliwa kisiasa baada ya video hiyo kuonekana na wanasiasa. Wale innocent persons wametimuliwa kazi. Yule culpit aliye record na kusambaza hizo picha anapeta. Eti anaitwa whistle blower. Ana blower kitu gani ambacho hakiko sahihi ki medical?
Wachache tu watakuelewa ..na kama ukifuatilia yale mabishano sioni kama nesi anakosa
 
Inawezekana hivyo vifaa vya kupima vikatumika na watu ndio ila nadhani bado hatujafika huko kama wenzetu ambapo tayari wameshafika..wao wamewekeza sana kwenye elimu yao na hata akipewa hiko kifaa anaenda kusoma manual yake vizuri anajipima.lakini kwetu tuseme ukweli kufuata maelekezo ya mdomo ni rahisi zaidi kuliko kufuata manual especially kwa mtu ambaye hafahamu vizuri kuhusu kipimo husika.Anayekuuzia kifaa amesomea famasia na akikupa maelekezo hataki kukupa maelekezo ya kutosha either kwa sababu hajui sana kwa kuwa sio profession yake na pia ili isionekane kujipima ni ngumu sana bali atakupa maelekezo ya juujuu ili uone ni rahisi na ili pia asikuchanganye usije ukahairisha kununua biashara zenyewe ngumu wenyeww mnajua😂😂 .manual nyingi zinakuwa zimeandikwa kiingereza na kuna maelekezo yanakua ya nyongeza mfano namna ya uwekaji wa hayo matone ya maji kwenye kipimo cha malaria au cha ukimwi namna ya kuinua kichupa cha matone na kudondoshea matone.

-Utunzaji mbovu wa kifaa cha kupimia unaweza ukaathiri majibu ya kipimo husika so mazingira ya nyumbani sio salama sana kutunza vifaa hivyo..

-Kuna kitu kinaitwa quality control..hii bi lazima uhakikishe kifaa kinatoa jibu sahihi kabla ya kuanza kupima wagonjwa na kutoa majibu..mazingira ya nyumbani unapata wapi control positive ya ukimwi na negative kujihakikishia kifaa chako kinatoa majibu sahihi???haiwezekani..
-Hata kipimo cha kupima sukari kuna maelekezo ambayo usipofuata majibu yake hayatoki sawa..Na chenyewe pia kina solution yake ambayo unapaswa kuitumia kama control ili kujua kama majibu yake yanatoka sawa na strips zake zinafanya kazi sawa.

-Kipimo cha HIV oralquick..cha kutumia mate kinapima maambukizi ambayo tayari mtu ameshaumwa kwa muda kidogo sio cha kujua maambukizi ndani ya muda mfupi baada ya kuyapata so sio kizuri kutumia kujipimia ukiwa unaenda kufanya dhambi huko duniani..utarudi hapa unalia..Blood tests nikiwa na maana. ya vipimo vya damu ndivyo vyenye uhakika zaidi ukilinganisha na kipimo cha mate.sio mimi..hizo ni tafiti huko duniani wanapotengezeza hivyo vifaa vyote ambavyo sisi ndio tunavitumia.

Hata kujipima presha unayosema wewe kuna maelekezo yake ambayo mtu asipofuata vilevile majibu yake hayaji sahihi kama yanavyotakiwa. so uwepo wa machine sio kisingizo cha kujipima nyumbani.

Vifaa vya lab kuwa automated sio kisingizio cha kufanya kazi ikaonekana rahisi kuliko ilivyo. Hata sampuli zikifika maabara zinakaguliwa kama zinaubora na zinapitishwa hatua zingine kabla ya kupimwa ndipo zipimwe. Sio rahisi kama unavyochukulia.
Hao unaosema layman wangepelekwa huko maabara wakapime na wakasaidie kupunguza tatizo la ajira kama ingekuwa kazi yao ni rahisi kama unavyodhani.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Wachache tu watakuelewa ..na kama ukifuatilia yale mabishano sioni kama nesi anakosa
Kosa kitaaluma lipo, ingawa hili anaweza kujivua na pia kapata utetezi kwa mganga mkuu kwamba walikubaliana kwenye briefing kuwa zitumike hizo zilizofikia expiry date ili "kuziokoa" ili usije kufika muda halisi unaokubalika kuteketezwa kabla hazijatumika.

Kosa halisi linalomkaba koo ni yale matusi yake ya nguoni kwa huyo staff mwenzake.

Huyu binti nilidhani "Musoma line" ama "nshomire", nikaja kusikia jina la kichaga!
Ama ni mambo ya "vyeti"!
 
Ivi mkuu umesikiliza kwa makini hizo video za watukanaji, ukaja ukasikiliza video ya Ummi na mganga mkuu wa hospitali ya watukanaji, ukasikiliza video ya Waziri mkuu kuhusu sakata hilo pamoja na andishi la huyu anayejiita Dr humu unayebishana naye?

Weka conclusion yako kama umeangalia video zote hizo nilizozitaja.
Dah!

Sijasikiliza 'video' yoyote mkuu 'Sakawaka Mao', na wala sina haja ya kusikiliza video yoyote kuelewa majukumu ya kila fani kati ya watu hao wawili, nesi na mMaabara, kama ilivyowasilishwa kwenye mada.

Kuna kanuni za kiutendaji zisizohitaji siasa wala kuonyeshana ubabe kati ya watendaji wa maeneo husika. Hizo kanuni zinapokiukwa, haijalishi nani anaongea nini na anacho cheo gani.

Huo ndio msingi wa hoja zangu hapa.
 
Back
Top Bottom