Mabishano ya kidini yanafanywa na watu wenye Upeo Mdogo wa Akili

Mabishano ya kidini yanafanywa na watu wenye Upeo Mdogo wa Akili

Ni kweli mkuu...

Wenye mabishano ya kidini wengi hawamjui Mungu...

Ukimjua Mungu huwezi kufia Dini...

duh! Hapo umenena maana watu wanaangamia kwa kukosa maaarifa

Kwa Mara ya kwanza DR HAYA LAND umeongea Jambo la akili.
Many thanks.
Nachelea kusema nyie ni wanafiki na ndio wale wasioutumia akili. DR HAYA LAND ni mpuuzi tu.

Anapenda kutukana na matusi ya chini chini

Huwezi kusema wanaobishana kuhusu dini wana upeo mdogo au wana akili ndogo. Hayo ni matusi

Ukifuatilia mlolongo wa Uzi utagundua watu kama hao nilio waorodhesha hapo juu, wamekurupuka. Wapo kimakusudi. Mabandiko yao ndio yanayotaka kuamninisha aliyoyasema DR HAYA LAND ni sahihi wakati sio.

Hebu fikiri,
Baadhi tu ya watu wenye upeo mkubwa wa akili ndio huwa kidini dini na ni Baadhi tu ya watu wa kidini hutoa hoja za kidini, kwa hiyo ina maana, ni baadhi tu ya watu wenye wenye akili ndio hutoa hoja za kidini.

Hivyo ni kusema kwamba si sahihi kusema kuwa hoja za kidini zinatolewa au mabishano ya kidini zinatolewa na watu wenye upeo mdogo wa akili


Kumbuka, madaktari kama huyu Daktari uchwara hapa huwa wanafikiria wao ndio wenye akili zaidi za wenzao wasio madaktari. Sasa niambieni, ni Daktari gani anayeshambulia tabia badala ya kiini cha hoja yenyewe? Hiyo ndio kuwa na upeo mkubwa wa akili?

Kwa kifupi, kauli yake ni matusi tu enye lengo la kuwacharanga watu wanaoshikilia imani za kidini. DR HAYA LAND Ni muhimu kuheshimu imani na maoni ya watu, bila kujali kiwango cha akili zao.
Wacheni Ugaidi wa mtandaoni
 
Nachelea kusema nyie ni wanafiki na ndio wale wasioutumia akili. DR HAYA LAND ni mpuuzi tu.

Anapenda kutukana na matusi ya chini chini

Huwezi kusema wanaobishana kuhusu dini wana upeo mdogo au wana akili ndogo. Hayo ni matusi

Ukifuatilia mlolongo wa Uzi utagundua watu kama hao nilio waorodhesha hapo juu, wamekurupuka. Wapo kimakusudi. Mabandiko yao ndio yanayotaka kuamninisha aliyoyasema DR HAYA LAND ni sahihi wakati sio.

Hebu fikiri,
Baadhi tu ya watu wenye upeo mkubwa wa akili ndio huwa kidini dini na ni Baadhi tu ya watu wa kidini hutoa hoja za kidini, kwa hiyo ina maana, ni baadhi tu ya watu wenye wenye akili ndio hutoa hoja za kidini.

Hivyo ni kusema kwamba si sahihi kusema kuwa hoja za kidini zinatolewa au mabishano ya kidini zinatolewa na watu wenye upeo mdogo wa akili


Kumbuka, madaktari kama huyu Daktari uchwara hapa huwa wanafikiria wao ndio wenye akili zaidi za wenzao wasio madaktari. Sasa niambieni, ni Daktari gani anayeshambulia tabia badala ya kiini cha hoja yenyewe? Hiyo ndio kuwa na upeo mkubwa wa akili?

Kwa kifupi, kauli yake ni matusi tu enye lengo la kuwacharanga watu wanaoshikilia imani za kidini. DR HAYA LAND Ni muhimu kuheshimu imani na maoni ya watu, bila kujali kiwango cha akili zao.
Wacheni Ugaidi wa mtandaoni
Lengo la dini ni Nini?
 
Waliotuletea dini walifanikiwa sana ktk mpango wao wa kuigawa dunia na kuitawala kwa misingi imani.
 
Nachelea kusema nyie ni wanafiki na ndio wale wasioutumia akili. DR HAYA LAND ni mpuuzi tu.

Anapenda kutukana na matusi ya chini chini

Huwezi kusema wanaobishana kuhusu dini wana upeo mdogo au wana akili ndogo. Hayo ni matusi

Ukifuatilia mlolongo wa Uzi utagundua watu kama hao nilio waorodhesha hapo juu, wamekurupuka. Wapo kimakusudi. Mabandiko yao ndio yanayotaka kuamninisha aliyoyasema DR HAYA LAND ni sahihi wakati sio.

Hebu fikiri,
Baadhi tu ya watu wenye upeo mkubwa wa akili ndio huwa kidini dini na ni Baadhi tu ya watu wa kidini hutoa hoja za kidini, kwa hiyo ina maana, ni baadhi tu ya watu wenye wenye akili ndio hutoa hoja za kidini.

Hivyo ni kusema kwamba si sahihi kusema kuwa hoja za kidini zinatolewa au mabishano ya kidini zinatolewa na watu wenye upeo mdogo wa akili


Kumbuka, madaktari kama huyu Daktari uchwara hapa huwa wanafikiria wao ndio wenye akili zaidi za wenzao wasio madaktari. Sasa niambieni, ni Daktari gani anayeshambulia tabia badala ya kiini cha hoja yenyewe? Hiyo ndio kuwa na upeo mkubwa wa akili?

Kwa kifupi, kauli yake ni matusi tu enye lengo la kuwacharanga watu wanaoshikilia imani za kidini. DR HAYA LAND Ni muhimu kuheshimu imani na maoni ya watu, bila kujali kiwango cha akili zao.
Wacheni Ugaidi wa mtandaoni
What you wrote is rubbish.
 
View attachment 2814130
19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.

(Qur-an 3:19)
Acha uchizi
 
Back
Top Bottom