Mabomu ya Machozi Kutumika Uwanja Wa Taifa Kutawanya Watu

Mabomu ya Machozi Kutumika Uwanja Wa Taifa Kutawanya Watu

Kichwa Kichafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
44,855
Reaction score
189,385
Habari.

Hadi sasa baada ya kutangazwa kuahirishwa kwa mechi kati ya Simba Sc Vs Young Africans.

Police wanatumia mabomu ya machozi kutawanya watu.

Kwa aliye na ndugu jamaa na rafiki hakika huku uwanjani mambo yamekuwa karaha.

Nitaleta mrejesho zaidi acha nipambane kujiokoa na mabomu ya machozi haya ndugu zangu.

Nawasilisha Mzee Mkoloni

Kichwa Kichafu.
 
Hivi nawaza tuu hizo hela watarudishiwa vipi??...Kwa maana? [emoji848]

Balaa hili....na maisha ya Dar yalivyo magumu dadeq
Heheh...

Unataka urudishiwe pesa na nani wakati tiketi yenyewe umenunua ya karatasi kama pipi tu vile, hakuna hata kitambulisho kilichotumika...

Ndio imekula kwa yoyote aliyenunua tiketi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom