Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Habari.
Hadi sasa baada ya kutangazwa kuahirishwa kwa mechi kati ya Simba Sc Vs Young Africans.
Police wanatumia mabomu ya machozi kutawanya watu.
Kwa aliye na ndugu jamaa na rafiki hakika huku uwanjani mambo yamekuwa karaha.
Nitaleta mrejesho zaidi acha nipambane kujiokoa na mabomu ya machozi haya ndugu zangu.
Nawasilisha Mzee Mkoloni
Kichwa Kichafu.
Hadi sasa baada ya kutangazwa kuahirishwa kwa mechi kati ya Simba Sc Vs Young Africans.
Police wanatumia mabomu ya machozi kutawanya watu.
Kwa aliye na ndugu jamaa na rafiki hakika huku uwanjani mambo yamekuwa karaha.
Nitaleta mrejesho zaidi acha nipambane kujiokoa na mabomu ya machozi haya ndugu zangu.
Nawasilisha Mzee Mkoloni
Kichwa Kichafu.