Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Tushukuru Mungu kama watu hawajakanyagana mpaka kufa.
Nikikumbuka kile kilichotokea hapo Taifa kwenye zoezi la kuaga maiti ya Magufuli, hizi mikusanyiko ya watu wengi viwanjani huwa naziogopa.
Nikikumbuka kile kilichotokea hapo Taifa kwenye zoezi la kuaga maiti ya Magufuli, hizi mikusanyiko ya watu wengi viwanjani huwa naziogopa.