Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
anarudi Kigoma sura imemshuka shuuuu!!Wamemkosea sana huyu Muha[emoji23]
Mwenyewe nlikuwa namfikiria huyu mwambaView attachment 1777847
nitawaambia nini Waha!?
Inatakiwa waziri mwenye dhamana aje na majibu ya maswali haya siku akiita press kuongelea hili sualaSisi tuliotoka mikoani na kufikia gesti hausi pamoja na gharama ya vyakula nani atatufidia gharama zetu?
Hii ni ligi profesheno wewe sio ndondo cup unajikurupukia tu kucheza mda wowote ukishavimbiwa harageMatunguli mnayo nyie waoga, Match ni muda wowote kwa aliyejiandaa muda haijalishi.
Nani atamsikiliza huyo Zuzu? Kama mama atamwacha kwenye nafasi na yeye ajiandae kuunganishwa kwenye lawama.Inatakiwa waziri mwenye dhamana aje na majibu ya maswali haya siku akiita press kuongelea hili suala
Isee shughuli sana.Vurugu zimeanzia hapo na mabomu kuanza baada ya watu kuanza kuomba pesa kurudishwa.
sad sana
Naam furaha kwetuVita vya panzi hivyo faida kwa kunguru.