Mabomu ya Machozi yatumika kuwasambazi wananchi pamoja na Wanafunzi Mjini Dodoma

Mabomu ya Machozi yatumika kuwasambazi wananchi pamoja na Wanafunzi Mjini Dodoma

Hivi ni jambo gani moja tu kubwa ambako serikali hii inaweza? Nani aliwaambia public hearing ya katiba ni sawa na ya mswada mwingine wowote? Ina maana hawakujifunza lolote kutoka ukumbi wa Nkuruma?
 
Hizi tv za tz bomu kweli kweli. Wamejazana hapa na makamera yao muda mrefu lakini hakuna live coverage. Hata Star tv ambao wanatangaza live kutoka Dodoma hawaoneshi yanayojiri ukumbi wa bunge ambayo ni historia kubwa sana. Wananchi wameamua kufanya public hearing yao nje ya bunge barabarani baada ya kuzuiwa kuingia ndani

Sasa kama ukumbi hautoshi,mnataka watu waruhusiwe kuingia ili wakakae wapi?

Public hearing hii inafanyika kwa siku 3 mfululizo,sio lazima kila mtu aingia leo...waweke utaratibu wa wale waliojiandikisha kutoa maoni yao juu ya muswada ndio waingie ndani kwa zamu kulingana na uwezo wa ukumbi kubeba watu. Wakimaliza watoke na kuwapisha wengine wenye maoni yao. Wengi wa waliojazana pale ni mashabiki na washangiliaji-wale hawana haja ya kuwemo ndani,wanaweza kufuatilia proceedings hizo kwa kutumia PA system nje ya ukumbi na kwenye vyombo vya habari-radio ONE wanarusha live.

Kwa wale walioamua kuendesha public hearing yao nje,ni counter-productive kwasababu maoni yao hayatafika yanapotakiwa kufikishwa...sana sana wanapoteza muda wao.

By the way,mjadala wa leo ni kuhusu Muswada wa kuanzisha tume ya Katiba, na sio kujadili Katiba yenyewe...hivyo inputs/ideas/critique inatakiwa ku focus kwenye vifungu vilivyo ndani ya Muswada wenyewe.
Baada ya kusema haya mimi nina wazo moja japo kwa mchakato unaoendelea sasa linaweza kuwa limepitwa na wakati. Kwa nini zisiwepo mechanism nyinginezo za kukusanya maoni juu ya muswada husika kama vile wananchi kuruhusiwa kutoa maoni yao kwa njia ya barua, e-mail,social network platforms etc

Kwa kuruhusu hizo njia nyingine,hata watu wasioweza kufika Dar,Dodoma au Zanzibar physically wataweza kutumia haki yao ya kutoa maoni pasipo kulazimika kuwepo kwenye maeneo yanapofanyika shughuli hiyo
 
tehe, tehe tehe! Afu wakiwa kwny jez utafkr wa2 wa maaaaana! Hawajihurumii maisha duni wanayoish. Wanatia huruma!
askari wa dizaini hiyo huwa nawafananisha na mbwa!! wanakubali kila kitu wanachoambiowa na mafisadi ili mradi tu wamepigiwa miluzi.

askari kama huyo ukienda kwenye nyumba anapoishi (kota) utakuta sebule imegawanywa mara mbili kwa kipande cha shuka: upande mmoja wanakaa wageni, upande mweingine analala binti yake. asubuhi akiwa anakwenda kukoga lazima apite alipolala binti yake huku amevaa kitaulo cha machinga ambacho hakikaushi maji.
 
Kama hapatoshi si wakafanyie kwenye uwanja wa Jamhuri
 
Ni wakati wa watanzania tuikomboe Tanzania yetu toka kwa makucha ya wahuni na wezi wa mali zetu....Sidhani kama shughuli kama hiyo ni halali kuiweka pale bungeni ndani....Ni ngumu kwa mtanzania wa kawaida kama mimi kuingia pale bungeni...Na wamefanya makusudi hili kutuzuia watu tulio na machungu na nchi hii....................Mungu wetu yupo pamoja nasi................WAO NA MALI ZAO,SISI NA MUNGU WETU....

MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI CHADEMA
 
star tv imehairisha kulusha live, wanasema watalusha baadaye nazani wanarecord kisha ndo warushe, nazan there is something???
 
Kuna sredi nyingine km hii humu sasa sikui nichangie ipi kti ya hizi................naomba kalechee uifute ya kwako basi kwani haina hata maelezo yoyote ya kuchochea mjadala......
 
mtu mwenewe umejiunga juzi kwenye jf. ndo mana huwezi kuwasilisha hoja. craaaaaaaaaaaaaaaap!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Sasa wametangaza kwamba kundi lingine linaweza kuingia Msekwa saa tisa mchana na kwamba public hearing imekuwa extended kwa siku tatu hivyo kutoa muda zaidi.

Maoni yangu ni kwamba hata kama wakifanya siku tatu Dodoma bado kuna watu wengi hawataweza kufika kutokana na gharama. Nashauri wafuate ushauri wa Zito kwamba they should decentralize the public hearing angalau to district levels. Kuwa na watu wengi waliofika dodoma haina maana kwamba wamewakilisha maoni ya watanzania walio wengi

Huu ni mswada muhimi, kutunga sheria ya kuandika katiba mpya
 
Mwanzo mgumu. mpeni uhuru atupe taarifa. we should not rely on 1 source.
 
Sasa kama ukumbi hautoshi,mnataka watu waruhusiwe kuingia ili wakakae wapi?

Public hearing hii inafanyika kwa siku 3 mfululizo,sio lazima kila mtu aingia leo...waweke utaratibu wa wale waliojiandikisha kutoa maoni yao juu ya muswada ndio waingie ndani kwa zamu kulingana na uwezo wa ukumbi kubeba watu. Wakimaliza watoke na kuwapisha wengine wenye maoni yao. Wengi wa waliojazana pale ni mashabiki na washangiliaji-wale hawana haja ya kuwemo ndani,wanaweza kufuatilia proceedings hizo kwa kutumia PA system nje ya ukumbi na kwenye vyombo vya habari-radio ONE wanarusha live.

Kwa wale walioamua kuendesha public hearing yao nje,ni counter-productive kwasababu maoni yao hayatafika yanapotakiwa kufikishwa...sana sana wanapoteza muda wao.

By the way,mjadala wa leo ni kuhusu Muswada wa kuanzisha tume ya Katiba, na sio kujadili Katiba yenyewe...hivyo inputs/ideas/critique inatakiwa ku focus kwenye vifungu vilivyo ndani ya Muswada wenyewe.
Baada ya kusema haya mimi nina wazo moja japo kwa mchakato unaoendelea sasa linaweza kuwa limepitwa na wakati. Kwa nini zisiwepo mechanism nyinginezo za kukusanya maoni juu ya muswada husika kama vile wananchi kuruhusiwa kutoa maoni yao kwa njia ya barua, e-mail,social network platforms etc

Kwa kuruhusu hizo njia nyingine,hata watu wasioweza kufika Dar,Dodoma au Zanzibar physically wataweza kutumia haki yao ya kutoa maoni pasipo kulazimika kuwepo kwenye maeneo yanapofanyika shughuli hiyo

Kuchukua maoni ya wananchi si ombi kwa kwa nchi hii ndiyo yao sasa siku uvumilivu ukiwashinda sijui mtakimbilia wapi. Nina uhakia kwa hali inavyoendelea patakuwa kama Tunisia au Misri au Libya kama muswada huu utapitishwa na bunge naomba sana tusilaumiane katika hili kwa katiba ya nchi si ya mafisadi wala CCM ni ya WANANCHI na kama hamuamini fanyeni mnavyotaka.

Hivi JK anasahau kama asilimia 64 ya watz haikumchagua? na anasahau kama asilimia zaidi ya 70 ya waTZ hawakupiga kura kwa sababu ya katiba iliyoko?, au amechoka kuvumiliwa? sasa aendelee kuwachokoza wananchi.
 
mtu mwenewe umejiunga juzi kwenye jf. ndo mana huwezi kuwasilisha hoja. craaaaaaaaaaaaaaaap!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Sijajua unamwambia nani na hapa hatuko kushinda nani kajiunga lini...kama kuna kitu anakifanya sivyo...ni bora ukatumia ukongwe wako wa hapa JF kumuelekeza ingawa hata wewe unaoekana ni mchanga tu
 
Kuchukua maoni ya wananchi si ombi kwa kwa nchi hii ndiyo yao sasa siku uvumilivu ukiwashinda sijui mtakimbilia wapi. Nina uhakia kwa hali inavyoendelea patakuwa kama Tunisia au Misri au Libya kama muswada huu utapitishwa na bunge naomba sana tusilaumiane katika hili kwa katiba ya nchi si ya mafisadi wala CCM ni ya WANANCHI na kama hamuamini fanyeni mnavyotaka.

Hivi JK anasahau kama asilimia 64 ya watz haikumchagua? na anasahau kama asilimia zaidi ya 70 ya waTZ hawakupiga kura kwa sababu ya katiba iliyoko?, au amechoka kuvumiliwa? sasa aendelee kuwachokoza wananchi.
Pamoja mkuu
 
star tv imehairisha kulusha live, wanasema watalusha baadaye nazani wanarecord kisha ndo warushe, nazan there is something???
hawa jamaa nawaamini kiasi furani tofauti na TBC sijui nini kimewasibu...
 
Tunaendelea kupokea vituko vya ******, mawazo ya wa_tz hayazuiliki. sidhani kama huu mwaka utaisha salama kama hali ndo yendelea hivi
 
Sasa kama ukumbi hautoshi,mnataka watu waruhusiwe kuingia ili wakakae wapi?

Public hearing hii inafanyika kwa siku 3 mfululizo,sio lazima kila mtu aingia leo...waweke utaratibu wa wale waliojiandikisha kutoa maoni yao juu ya muswada ndio waingie ndani kwa zamu kulingana na uwezo wa ukumbi kubeba watu. Wakimaliza watoke na kuwapisha wengine wenye maoni yao. Wengi wa waliojazana pale ni mashabiki na washangiliaji-wale hawana haja ya kuwemo ndani,wanaweza kufuatilia proceedings hizo kwa kutumia PA system nje ya ukumbi na kwenye vyombo vya habari-radio ONE wanarusha live.
Kwa wale walioamua kuendesha public hearing yao nje,ni counter-productive kwasababu maoni yao hayatafika yanapotakiwa kufikishwa...sana sana wanapoteza muda wao.

By the way,mjadala wa leo ni kuhusu Muswada wa kuanzisha tume ya Katiba, na sio kujadili Katiba yenyewe...hivyo inputs/ideas/critique inatakiwa ku focus kwenye vifungu vilivyo ndani ya Muswada wenyewe.
Baada ya kusema haya mimi nina wazo moja japo kwa mchakato unaoendelea sasa linaweza kuwa limepitwa na wakati. Kwa nini zisiwepo mechanism nyinginezo za kukusanya maoni juu ya muswada husika kama vile wananchi kuruhusiwa kutoa maoni yao kwa njia ya barua, e-mail,social network platforms etc

Kwa kuruhusu hizo njia nyingine,hata watu wasioweza kufika Dar,Dodoma au Zanzibar physically wataweza kutumia haki yao ya kutoa maoni pasipo kulazimika kuwepo kwenye maeneo yanapofanyika shughuli hiyo


Wewe ndio hovyo kabisa unatukana wananchi walioacha shughuli zao ili kujibu mwito wa Spika na naibu spika wakuwaalika wananchi wa dodoma wafike kwa uwingi ili kwenda kutoa maoni yao kuhusu muswaada eti ni washangiliaji ,hivi wewe ni kati ya wapuuzi munaodhani mwananchi wa leo anaweza kuwa chini ya kiatu cha mtu,unasema wanaoendesha kongamano katikati ya barabara mawazo yao hayatachukuliwa kwa sababu unadhani bunge au waziri kombani yuko juu ya sheria na wananchi hivi watu wengine mpaka leo unashindwa kusoma alama za nyakati bado munaendeleza umwinyi na ubwanyenye wa kutaka kuburuza wanananchi tukio la lao ni aibu kubwa kwa serikali na bunge kwamba hawana akili na hawawezi kuandaa hata kitu cha muhimu kama hiki
 
Nasikia mabomu yanapigwa huko getini , sina hamu. Waloandaa walikosea kuweka ukumbi mdogo may be wali undermine watu. Na la pili hao wanafunzi wakati mwingine wanatakiwa kuelewa kama ukumbi hautoshi wangeondoka wasubiri muda mwingine, mchakato ndo unaanza, wao kila kitu fujo tu, wanapenda sana vurugu.
 
polisi wametumia mabomu kutawanya wanaharakati dakika chache zilizopita. Kwa mara nyingine tena serikali inakandamiza haki za raia!
 
Back
Top Bottom