Mabomu ya Machozi yatumika kuwasambazi wananchi pamoja na Wanafunzi Mjini Dodoma

Mabomu ya Machozi yatumika kuwasambazi wananchi pamoja na Wanafunzi Mjini Dodoma

VIJANA WENZETU DODOMA MACHUNGU YENU YA KUNYIMWA HAKI YA KUSHIRIKI 'PUBLIC HEARING' JUU YA MUSWADA WA MCHAKATO WA KATIBA MPYA IMETUSIKITISHA SANA!!!!!!!!!!!

Kwa nini Publi Hearing ya Dodoma iwe ni haki kwa makada wazee wa CCM tu ndio wawe wanaruhusiwa kupita geti la bunge kwenda kutoa maoni yao kwa huo muswada wa katika??????

Hata hapa Karimjee Halll watu tulibanana sana kama dagaa ndani ya kikapu hivyo tunapendekeza suala la muswada wa katiba, kama ni Public Hearing kweli, basi mikutano ya Dar na Dodoma zote zihamishiwe kwenye viwanja vyetu vya mpira vilivyoko jirani na kuongezwe walau siku 21 zaidi maana si suala la utani wala sinema ya maigizo hii.

Je, ni kweli katiba ya taifa letu sote mnaona bi mali ya CCM zaidi kuliko vijana wenzetu Dodoma ambao haswa ndio tunahitaji ustawi mzuri wa taifa kuliko hata wazee????????????

Halafu mara baada ya kupanga watu wenu maalum ndio mnatarajia kuja kututwisha maoni ya kuchonga na kutegemea taifa itatulia kwa mtindo huo??????

Mjuekijana mmoja akitendewa visivyo haki kama ambavyo mlivyofanya hapo Dodoma basi mjue kosa hilo ni kwa vijana woooote nchini na hali kama hiyo kamwe haitovumilika saaaana haki ya msingi kikatiba ndio hiyo mnalitia mchanga.

Mapambano mbeeele na Uzalendo mbeeeele kama tai lakini katika HAKI!!!!!


haya sasa! kumekucha, FFU wamewasha risasi za mpira na kuanza kufurusha watu toka kwenye geti la bunge.....


wanasafisha njia yote, vijana na wanaharakati wamevuka na kuingia upande wa pili wa barabara, askari wanaranda randa.

it has been an embarasment kwa umma kwani mh godbless lema aliitwa aje azungumze na vijana. akapewa pendekezo kuwa chimwaga hall itumike, vijana wametaka jamhuri stadium instead...


vijana wametaka waliomo ndani wasitishe zoezi na lifanyike upya mara moja hapo jamhuri stadium....

vijana na wanaharakati wana sababu ya msingi.....

1. wakina mama waliopewa dozi na mama kombani washaingia ukumbini

2. watu wanaingia kwa kuwa identified.....eg viongozi wa ccm

3. mbunge wa dodoma mjini mheshimiwa malole mapema asubuhi alileta champion mbili zilizojaa wanafunzi wa shule yake ya city kuja kuunga mkono muswaada. (ikumbukwe kuwa mheshimiwa malole aliwatumia hawa hawa wanafunzi kushinda kura za maoni na kuteuliwa kuwa mbunge)

4. vijana na wanaharakati wamefika tangu saa moja asubuhi na kuambiwa kuwa ukumbi umejaa....

ntaendelea kuwajuza!
 
Sasa kama ukumbi hautoshi,mnataka watu waruhusiwe kuingia ili wakakae wapi?

Public hearing hii inafanyika kwa siku 3 mfululizo,sio lazima kila mtu aingia leo...waweke utaratibu wa wale waliojiandikisha kutoa maoni yao juu ya muswada ndio waingie ndani kwa zamu kulingana na uwezo wa ukumbi kubeba watu. Wakimaliza watoke na kuwapisha wengine wenye maoni yao. Wengi wa waliojazana pale ni mashabiki na washangiliaji-wale hawana haja ya kuwemo ndani,wanaweza kufuatilia proceedings hizo kwa kutumia PA system nje ya ukumbi na kwenye vyombo vya habari-radio ONE wanarusha live.

Kwa wale walioamua kuendesha public hearing yao nje,ni counter-productive kwasababu maoni yao hayatafika yanapotakiwa kufikishwa...sana sana wanapoteza muda wao.

By the way,mjadala wa leo ni kuhusu Muswada wa kuanzisha tume ya Katiba, na sio kujadili Katiba yenyewe...hivyo inputs/ideas/critique inatakiwa ku focus kwenye vifungu vilivyo ndani ya Muswada wenyewe.
Baada ya kusema haya mimi nina wazo moja japo kwa mchakato unaoendelea sasa linaweza kuwa limepitwa na wakati. Kwa nini zisiwepo mechanism nyinginezo za kukusanya maoni juu ya muswada husika kama vile wananchi kuruhusiwa kutoa maoni yao kwa njia ya barua, e-mail,social network platforms etc

Kwa kuruhusu hizo njia nyingine,hata watu wasioweza kufika Dar,Dodoma au Zanzibar physically wataweza kutumia haki yao ya kutoa maoni pasipo kulazimika kuwepo kwenye maeneo yanapofanyika shughuli hiyo
hapo pekundu,... tuna haraka mno na wahka!

halafu mbaya zaidi wanaokimbilia ukumbini ni wanywa soda na wanaodhani posho ikipatikana itakidhi mahitaji yao ya miaka yote! tunapaswa kuwa na mipango endelevu lakini "WATANZANIA TUMEBAKI KAMA MAKINDA YA NDEGE YASIYO NA MWANGALIZI!"
 
Kwa hiyo watoa maoni ni akina nani? kuna kitu hapa!!!
 
Hapa, ukweli wa ushirikishwaji wa wananchi katika mchakato mzima wa uundwaji wa katiba mpya uko wapi?
 
Kweli inahuzunisha sana kuona mabomu yanapigwa kwa wale wanajifanya kutetea watu tena katika suala la msingi wa katiba na ustawi wa nchi na Taifa kiujumla maana Katika ndio inaweza kutenganisha masuala ya katiba na usultani wa taifa hili katika masuala ya msingi katika taifa hili
 
Waambieni vibaraka wote wa mafisadi kuwa kwa BINADAMU, WAKATI WA KUBALEHE UKIFIKA HATA KAMA HUPENDI YALE MABADILIKO YA KIMWILI, KUOTA NDEVU/MANYONYO nk HATA KAMA MHUSIKA HAPENDI LAZIMA ATABALEHE TU... KWA TZ HUU NI WAKATI WA WAZALENDO KUICHUKUA NCHI YAO TOKA MIKONO YA VIBAKA... HII NCHI INARUDI. HAKUNA NAMNA YOYOTE YA KUZUIA HILO. MWENYE MASIKIO NA ASIKIE.
 
wanapenda amani na haki mama. tatizo ni serikali imeshindwa kujipanga na kuwa na nia ya kutoa haki kwa makundi ya wananchi kushiriki. Serikali ilidhani madai ya katiba mpya ni ya viongozi wa vyama vya upinzani. Serikali ilidhani kwa kuwa wananchi hawana access na vyombo vya habari kujieleza kama serikali inavyolazimisha vipindi maalumu kwenye tv basi wananchi hawataki katiba mpya. Serikali ilidhani wananchi hawataelewa maudhui ya mswada huu wa kutunga katiba mpya na hivyo kwamba inaweza kuwaburuza kama ilivyozoea.

Serikali kama ilikuwa na nia njema ya kutoa haki kwa makundi yote ya wananchi kutoa maoni yao kuhusu huu mswada wa kutunga katiba mpya, ilitakiwa ijipange kutoa fursa hizo kwa kila kundi kwa kutumia utaratibu na kuwawezesha.

Vurugu zinazoendelea Dodoma sasa hivi ni matokeo ya Serikali kukusudia kunyima wananchi fursa ya kushiriki na kusikilizwa kikamilifu. Wanafanya mambo kwa kutegea tegea, hadi wakiona hali inabadilika wanazidiwa ndipo wanabadilisha utaratibu.

Kwanza walipanga kufanya public hearing dodoma peke yake mara moja tu. Malalamiko yalipotokea wakasema na Dar na Zanzibar. Leo watu wamekuwa wengi Dodoma sasa wanasema maoni yatakusanywa kwa vikao viwili leo na kuendelea hadi siku tatu. Hata hizi hazitoshi

Yaani ni kama kusema huko serikali hakuna hata mtu mmoja anayeweza kufikiri na mwenye nia njema na wananchi!!

Nakuelewa mkuu, tatizo limetokea ukumbi mdogo, nini kifanyike, si wamepewa mda? siku tatu unasema ndogo then mwataka siku ngapi? kwa mantiki hii wataka kila mmoja apewe nafasi ya kusema, si ndio? mbona itachukua miaka mingi sana, kuna uwakilisha, hata hao walioingia si wote watakaosema, wengine marudio tu, uchaguzi, tume huru, basi, rais, bunge. anyway that it tz.
 
Dodoma kulikuwa na vurugu kubwa sana katika kuona wadau wanataka kutoa maoni yao na ukumbi wa Pius Msekwa ulikuwa mdogo sana na pia Mkuu wa mkoa walikuwa wamesema kuwa ukumbi uwe chimwaga na kuona jinsi gani ya kufanya na pia kuwapiga mabomu wanafunzi na raia kwa kawaida na kwa hili jambo baya sana katika historia ya kudai katiba mpya, Wameingia ndani ya ukumbi watu wachache sana na wengi wao ni wanafunzi na shule za sekondari na sio vyuo vikuu
 
Kwani Bunge hawakujua kuwa hapo ni mahali pa dogo na je public hearing unaitafsiri vipi hayo mabango si ndiyo sauti zenyewe ama ulitaka waongeeje wote wanaweza ongea hata kama kutakuwa na kupewa nafasi? Acha ushabiki wewe watu tuko serious we unaleta diplomacy pasipo mahala pake?

We ndo mshabiki, huangalii uhalisia wabwabwaja tu. Nimesema nalaumu kuchagua ukumbi, mabango nani anayazingatia? si kelele tu.
 
Kundi kubwa na Askari wa FFU limetumika kuwatawanya wanafunzi pamoja na wanafunzi walikuwa wakitaka kuingia ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma kwa ajili ya kutoa maoni ya mswada wa tume ya raisi ya kuchukua maoni yake. Kundi kubwa la wanafunzi wao wengi wao walikuwa toka katika Chuo cha UDOM hivyo kufanya eneo nzima la bunge kuleta taharuki kubwa.. Wanafunzi walikuwa wanadai kuwa wengi wamekataliwa kuingia ndani na kutoa maoni ya tume. Hivyo askari waliamua na kuanza kuwatawanya wanafunzi kwa mabomu mpaka katika maeneo ya stendi kubwa.

Kwa nini wamepingwa mabomu? Walikuwa wanaleta fujo nini? Nafikiri ustarabu panapotokea kitu kama hicho ni kupanga venue nyingine kubwa kwa kipindi kijacho. Serikali lazima ikubale kuwa wananchi wa sasa ni tofauti na wale wa 1995. Ilenge kutatua tatizo siyo blahblah ambazo zitatatufikisha pabaya.
 
haya sasa! kumekucha, FFU wamewasha risasi za mpira na kuanza kufurusha watu toka kwenye geti la bunge.....


wanasafisha njia yote, vijana na wanaharakati wamevuka na kuingia upande wa pili wa barabara, askari wanaranda randa.

it has been an embarasment kwa umma kwani mh godbless lema aliitwa aje azungumze na vijana. akapewa pendekezo kuwa chimwaga hall itumike, vijana wametaka jamhuri stadium instead...


vijana wametaka waliomo ndani wasitishe zoezi na lifanyike upya mara moja hapo jamhuri stadium....

vijana na wanaharakati wana sababu ya msingi.....

1. wakina mama waliopewa dozi na mama kombani washaingia ukumbini

2. watu wanaingia kwa kuwa identified.....eg viongozi wa ccm

3. mbunge wa dodoma mjini mheshimiwa malole mapema asubuhi alileta champion mbili zilizojaa wanafunzi wa shule yake ya city kuja kuunga mkono muswaada. (ikumbukwe kuwa mheshimiwa malole aliwatumia hawa hawa wanafunzi kushinda kura za maoni na kuteuliwa kuwa mbunge)

4. vijana na wanaharakati wamefika tangu saa moja asubuhi na kuambiwa kuwa ukumbi umejaa....

ntaendelea kuwajuza!
 
Sihitajii kufkiria vsivyofikirika kwa sasa... hata ingesemwa unafanyikia uwanja wa Taifa pasingetosha bado lawama zingeliendelea...
WATANZANIA HATUNA MIPANGO! SI SERIKALI WALA SISI WENYEWE TUPOTUPO TU!

Hatujipangi ili tufanye jambo TUNAKURUPUKA tu na HAYA NDIO MATOKEO YAKE... hajumjui adui yetu mpaka leo!!!

Agree with u kijana. Hata tungeenda taifa bado malalamikoooo. Nimekupenda ghafla.
 
Dodoma kulikuwa na vurugu kubwa sana katika kuona wadau wanataka kutoa maoni yao na ukumbi wa Pius Msekwa ulikuwa mdogo sana na pia Mkuu wa mkoa walikuwa wamesema kuwa ukumbi uwe chimwaga na kuona jinsi gani ya kufanya na pia kuwapiga mabomu wanafunzi na raia kwa kawaida na kwa hili jambo baya sana katika historia ya kudai katiba mpya, Wameingia ndani ya ukumbi watu wachache sana na wengi wao ni wanafunzi na shule za sekondari na sio vyuo vikuu
CCM bwana!! Yaani bado wanafikiria watanzania ni mbumbu sana kwa kufanya danganya toto. Kwa kweli CCM itakuja kupotea ghafla sana kutoka na mbinu mbovu wanazotumia (Za mwaka 47). Sasa hivi walitakiwe wajue wananchi walio wengi wanahitaji nini. Wao hawajui kabisa zaidi na kupanga kufisadi. Itakufa vibaya sana
 
Madai ni kwamba watu ni wengi nafasi ndani haitoshi

ebu tueleze uhalisia wa ukumbi kama unaweza kuwachukua wabunge wote na wananchi walioko hapo. na kama ni mdogo aliyepanga kufanyikia ukumbi huo ajieleze maana amehamasisha mambo ambayo hatuyahitajii kwa sasa. mambo ya mabomu yanakera kuyasikia
 
VIJANA WENZETU DODOMA MACHUNGU YENU YA KUNYIMWA HAKI YA KUSHIRIKI 'PUBLIC HEARING' JUU YA MUSWADA WA MCHAKATO WA KATIBA MPYA IMETUSIKITISHA SANA!!!!!!!!!!!

Kwa nini Publi Hearing ya Dodoma iwe ni haki kwa makada wazee wa CCM tu ndio wawe wanaruhusiwa kupita geti la bunge kwenda kutoa maoni yao kwa huo muswada wa katika??????

Hata hapa Karimjee Halll watu tulibanana sana kama dagaa ndani ya kikapu hivyo tunapendekeza suala la muswada wa katiba, kama ni Public Hearing kweli, basi mikutano ya Dar na Dodoma zote zihamishiwe kwenye viwanja vyetu vya mpira vilivyoko jirani na kuongezwe walau siku 21 zaidi maana si suala la utani wala sinema ya maigizo hii.

Je, ni kweli katiba ya taifa letu sote mnaona bi mali ya CCM zaidi kuliko vijana wenzetu Dodoma ambao haswa ndio tunahitaji ustawi mzuri wa taifa kuliko hata wazee????????????

Halafu mara baada ya kupanga watu wenu maalum ndio mnatarajia kuja kututwisha maoni ya kuchonga na kutegemea taifa itatulia kwa mtindo huo??????

Mjuekijana mmoja akitendewa visivyo haki kama ambavyo mlivyofanya hapo Dodoma basi mjue kosa hilo ni kwa vijana woooote nchini na hali kama hiyo kamwe haitovumilika saaaana haki ya msingi kikatiba ndio hiyo mnalitia mchanga.

Mapambano mbeeele na Uzalendo mbeeeele kama tai lakini katika HAKI!!!!!


Kikwete na Mafisadi Wenzako Muna laana!!!

kwa hili la kuongoza serikali kwa mabomu ya machozi serikali ya kifisadi ya Kikwete imechemka kwelikweli. Fisadi Kikwete na genge lake hawataki kuamini kuwa wanaodhani wanawatawala ni Watanzania kizazi cha .Com.

Huu ni ujumbe wangu kwa Fisadi Kikwete na Genge Lake:

Tunajua maana ya Katiba.

Tunajua umuhimu wa Katiba.

Tunajua maovu wanayotenda kwa kutumia kinga ya katiba iliyopo.

Fisadi Kikwete: Leo unatutawanya kwa mabomu; kesho utatuuwa kwa mabomu, lakini haki yetu ya kuwa na katiba TUNAYOITAKA lazima itimie.

Endelea kulala usingizi na uote vema njozi zako za mwaka 47 kwamba Tanzania bila Chama cha Mafisadi itayumba.

Kikwete na Mafisadi Wenzako Muna laana!!!
 
ebu tueleze uhalisia wa ukumbi kama unaweza kuwachukua wabunge wote na wananchi walioko hapo. na kama ni mdogo aliyepanga kufanyikia ukumbi huo ajieleze maana amehamasisha mambo ambayo hatuyahitajii kwa sasa. mambo ya mabomu yanakera kuyasikia
Akijajieleza, LOL, tz bwana.
 
Shame on You Tanzania!!!
Shame on us Tanzanian!!!!
Now which public do you want to hear from?????
 
Tatizo kubwa ni ukumbi ule ni mdogo sana na walikuwa wamejaaa wanafunzi wa City wa sekondari na hivyo wanafunzi wengi sana wa Vyuo hata wananchi wa kawaida hapa Dodoma walikatazwa kuingia ndani ya ukumbi ule hivyo wananchi kwa kushirikiana na wanafunzi hasa wa UDOM waligoma kuingia na kuwaambia kuwa ufanyika katika uwanja mpana sana kama Jamhuri
 
CCM bwana!! Yaani bado wanafikiria watanzania ni mbumbu sana kwa kufanya danganya toto. Kwa kweli CCM itakuja kupotea ghafla sana kutoka na mbinu mbovu wanazotumia (Za mwaka 47). Sasa hivi walitakiwe wajue wananchi walio wengi wanahitaji nini. Wao hawajui kabisa zaidi na kupanga kufisadi. Itakufa vibaya sana

You are correct!!
Huwezi kupanda upupu na kutegemea kuvuna maparachichi. Watavuna wanachopanda sasa!!!
 
Back
Top Bottom