Haya bwana, wenye mawzao ya kisasa, wenye akili sana mlonge. Ila debe tupu haliachi kutika, tutasema tu humu na matusi kibao, sijui kama kuna mtu wa kuchukua maoni yetu humu.
Haya bwana, wenye mawzao ya kisasa, wenye akili sana mlonge. Ila debe tupu haliachi kutika, tutasema tu humu na matusi kibao, sijui kama kuna mtu wa kuchukua maoni yetu humu.
Sasa kama ukumbi hautoshi,mnataka watu waruhusiwe kuingia ili wakakae wapi?
Public hearing hii inafanyika kwa siku 3 mfululizo,sio lazima kila mtu aingia leo...waweke utaratibu wa wale waliojiandikisha kutoa maoni yao juu ya muswada ndio waingie ndani kwa zamu kulingana na uwezo wa ukumbi kubeba watu. Wakimaliza watoke na kuwapisha wengine wenye maoni yao. Wengi wa waliojazana pale ni mashabiki na washangiliaji-wale hawana haja ya kuwemo ndani,wanaweza kufuatilia proceedings hizo kwa kutumia PA system nje ya ukumbi na kwenye vyombo vya habari-radio ONE wanarusha live.
Kwa wale walioamua kuendesha public hearing yao nje,ni counter-productive kwasababu maoni yao hayatafika yanapotakiwa kufikishwa...sana sana wanapoteza muda wao.
By the way,mjadala wa leo ni kuhusu Muswada wa kuanzisha tume ya Katiba, na sio kujadili Katiba yenyewe...hivyo inputs/ideas/critique inatakiwa ku focus kwenye vifungu vilivyo ndani ya Muswada wenyewe.
Baada ya kusema haya mimi nina wazo moja japo kwa mchakato unaoendelea sasa linaweza kuwa limepitwa na wakati. Kwa nini zisiwepo mechanism nyinginezo za kukusanya maoni juu ya muswada husika kama vile wananchi kuruhusiwa kutoa maoni yao kwa njia ya barua, e-mail,social network platforms etc
Kwa kuruhusu hizo njia nyingine,hata watu wasioweza kufika Dar,Dodoma au Zanzibar physically wataweza kutumia haki yao ya kutoa maoni pasipo kulazimika kuwepo kwenye maeneo yanapofanyika shughuli hiyo
Aliozuiliwa kuingia bungeni wameamua kulala barabarani kuzuia magari yasipite. Wengi ni wanafunzi wa UDOM
cha ajabu ni kuwa policy forums tangu juzi walitoa ofa ya kulipia ukumbi wowote mkubwa jambo ambalo halikupendwa na waandaaji.nafikiria kufungua kesi ya kukimbizwa na polisi bungeni
Remmy, i think i know how you feel. Pole sana. Badala ya kukata tamaa namna hii kudhani kwamba watu wanashindana nani mwenye akili kuliko mwingine, nadhani wewe na wenzio ndani ya chama ni lazima mtafute namna ya kufanya mapinduzi kwenye fikra zenu. Fikra zenu bado zimekwamba kule nyuma miaka kumi iliyopita.
Leo watu wana namna nyingi za kujieleza na kujifunza tofauti na ilivyozoeleka huko nyuma. Kuna blog, SMS, simu, internet, na television. Hatusubiri tena vikao vya vyama ndipo tujue jambo gani lilitokea na sisi kutoa mawazo yetu.
Ni kwa sababu chama chenu hakijazoea mjadala ndio maana mtu yeyote anayetoa mawazo mnamshuhulikia kwa kutumia dola badala ya kumjibu. Ni kwa sababu chama chenu hakijazoea kukosolewa ndio maana mkikosolewa mnadhani watu wanataka kuhatarisha amani. Hamjazoea wananchi kuhoji mnapokosea ndiyo maana mkihojiwa mnatumia mabomu ya machozi badala ya kujirekebisha na kusonga mbele
Usikate tamaa Remmy, you can be force for change within your party, utakuwa umesaidia sana chama chako
Tutolee ujinga wako hapa wee pumbafu fisadi mkubwa, siku zenu zinahisabika za kukaa hapa Tanzania mmetunyonya sana nyie wajinga. hatukubali mpaka tunawang;oa na ufisadi wenu. Muda wenu unafikia kikomo aaaanzeeeeeni wajinga nyie
Wakuu poleni sana na maboom lakini ukombozi wa nchii hii utaletwa na sisi wenyewe! Kila kitu kwa msaada wa japani, msaada wa Marekani au China ila kwa hili la katiba itakuwa kwa msaada wa WATANZANIA WENYEWE!Tatizo kubwa la serikali ni kutojipanga ktk mambo yake either kwa makusud au kwa kutokua makini.
Jambo moja lililoendeleza hasira kwa wananch wa kawaida wa dodoma hasa wanavyuo ni wakat sisi tulifika tangu saa 1 asubuh na kuzuiliwa et 2onyeshe vtambulisho vya uraia nk getin lakin Mbunge wa Dodoma mjini ambae pia ni mmiliki wa shule ya City Secondary wanafunz wake walikuja na basi na wakapita bila ya kizuiz getin hapo. Je hapa we unafikir ni fair?
Pole sana if u think mi natetea chama. Ndo shida ya mtazamo wa watz, mtu akitoa mawazo yake what he/ she feels akiwa kinyume basi ni mpinzani tu, na akiwa amesimama kwenye ukweli au yupo sawa na hoja basi ni ccm, wengine je tusio na vyama tutasema nini? tutachangia wapi? mawazo yetu yaweje? la muhimu sijasimamia ccm, na wala cdm, wala serikali, nimesimama kwenye hisia zangu kama mtz na shuhuda wa yale yaliyotokea bungeni jana, thats all. All in all nimezoea sana ushabiki wa humu ndani ni wa chama zaidi kuliko the truth and reality, anyway Mungu ndo anajua yaujazayo moyo wa mtu, wengine tutawasikia midomoni tu, ndo maana kesho anahama chama hiki anasema vile na vile.