Watanganyika uwo ubaguzi mumefanyiwa lini mumejazana tele huku zenji sijawahi kuona mumebaguliwa acheni chuki zisizo na maana.
Boxing ilipigwa marufuku na Karume mkubwa. Nani kairudisha?
Naomba nikuulize swali rahisi sana ! Kama unaishi Tanzania bara ukitokea Zanzibar utahitaji nini na nini ili uweze kuuziwa/kumiliki Ardhi Tanzania bara ? Na wakati huo huo mtu anayehamia kutoka bara atahitaji nini na nini kuweza kumiliki/kuuziwa ardhi Zanzibar?
Ni sawa , lakini ilikuwa ni sheria , Hivi ni nani aliibadilisha hiyo sheria?Mkuu kwani kile kisiwa ni chake yeye? Yeye hayupo tena walikuepo wana mawazo mengine
Ni sawa lakini ilikuwa ni sheria , Hivi ni nani aliibadilisha hiyo sheria?
Ilibadilishwa wakati wa kibaraka/Raisi yupi?sheria huwa zinabadilishwa baraza la uwakilishi mkuu.
Ilibadilishwa wakati wa kibaraka/Raisi yupi?
Shukrani sanaDr. Mwinyi ni hivi karibuni tu.
Home muhezaMwakinyo nenda kapambanie Muheza
Afu kuna Mapinduzi Cup!!Yaani kwenda kucheza pambano moja kisha kurudi zake Tanga
Wazanzibar wamejaa choyo husuda nongwa hadi kuandika barua kupinga mtanganyika kucheza pambano lake Huko Zanzibar
Wanasema hiyo ni fursa ya Wazanzibar pekee sio watanganyika!!!
Tukiwaambia Zanzibar hakuna MUUNGANO muwe mnaelewa.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar
Kwa mujibu wa kanuni taratibu na sheria za SMZ na Zanzibar
Kila kitu cha Zanzibar ni kwa Wazanzibar pekee yao
Kuna Kocha mmoja tu wa bara amepewa kufundisha timu inaitwa KVZ lakini anabaguliwa kupita maelezo
Huku Zanzibar aende mgeni kutoka Kenya, Uganda, Burundi, Urusi, China, Ulaya ataheshimika lakini sio kutoka Tanganyika
Atabaguliwa kwa kila hali
Mfano Mdogo tu Mwakinyo kupeleka pambano lake Zanzibar wakati SMZ imetoa kibali na rukhusa
Wazanzibar wanasema rukhusa hiyo ni ya Wazanzibar peke yao. Watanganyika hawahusiki hivyo wacheze michezo huku kwao Tanganyika.
Haya hapa malalamiko ya mwakinyo mpaka anajiuliza huo na kinachoitwa muungano upo wapi ??
Kwa ufupi Wazanzibar wanataka waendelee na utaratibu wa kudumu wa CHAO CHAO cha Watanganyika pia CHAO mazima
View attachment 2449693
Kwamba sheria ya Zanzibar inamtambua Mtanzania bara kama mgeni ? Unafahamu ugumu uliopo kwa mtanzania bara kupata barua hata ya sheha hata kama akiwa na barua ya mwenyekiti wa bara ?Swala la Ardhi ni suala la kisheria kwanini uanhusisha na masuala ya ubaguzi? mbona mnakua na mihemko iliyopitiliza?
Kwamba sheria ya Zanzibar inamtambua Mtanzania bara kama mgeni ? Unafahamu ugumu uliopo kwa mtanzania bara kupata barua hata ya sheha hata kama akiwa na barua ya mwenyekiti wa bara ?