Mabondia wa Zanzibar wakataa pambano la kimataifa la Mwakinyo kufanyika Zanzibar, watia msisitizo mapambano ya Zanzibar yawe fursa kwa wazanzibari tu

Mabondia wa Zanzibar wakataa pambano la kimataifa la Mwakinyo kufanyika Zanzibar, watia msisitizo mapambano ya Zanzibar yawe fursa kwa wazanzibari tu

Jamaa wabaguzi kinoma wakikupa mswala ukalie mkiondoka wanaenda kuosha kama Amekalia mbwa licha ya ndugu zangu kukulia na kuoa zanzibar ila mimi hilo la kwenda kuoa huko nimelokataa hawa jamaa ni wabaguzi ukitaka kuoa mtoto wao usiwe na kisogo uwe kama sigara nyota wanajiona waarabu.
 
Watanganyika uwo ubaguzi mumefanyiwa lini mumejazana tele huku zenji sijawahi kuona mumebaguliwa acheni chuki zisizo na maana.
 
Watanganyika uwo ubaguzi mumefanyiwa lini mumejazana tele huku zenji sijawahi kuona mumebaguliwa acheni chuki zisizo na maana.

Naomba nikuulize swali rahisi sana ! Kama unaishi Tanzania bara ukitokea Zanzibar utahitaji nini na nini ili uweze kuuziwa/kumiliki Ardhi Tanzania bara ? Na wakati huo huo mtu anayehamia kutoka bara atahitaji nini na nini kuweza kumiliki/kuuziwa ardhi Zanzibar?
 
Naomba nikuulize swali rahisi sana ! Kama unaishi Tanzania bara ukitokea Zanzibar utahitaji nini na nini ili uweze kuuziwa/kumiliki Ardhi Tanzania bara ? Na wakati huo huo mtu anayehamia kutoka bara atahitaji nini na nini kuweza kumiliki/kuuziwa ardhi Zanzibar?

Swala la Ardhi ni suala la kisheria kwanini uanhusisha na masuala ya ubaguzi? mbona mnakua na mihemko iliyopitiliza?
 
Yaani kwenda kucheza pambano moja kisha kurudi zake Tanga
Wazanzibar wamejaa choyo husuda nongwa hadi kuandika barua kupinga mtanganyika kucheza pambano lake Huko Zanzibar
Wanasema hiyo ni fursa ya Wazanzibar pekee sio watanganyika!!!

Tukiwaambia Zanzibar hakuna MUUNGANO muwe mnaelewa.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar
Kwa mujibu wa kanuni taratibu na sheria za SMZ na Zanzibar
Kila kitu cha Zanzibar ni kwa Wazanzibar pekee yao
Kuna Kocha mmoja tu wa bara amepewa kufundisha timu inaitwa KVZ lakini anabaguliwa kupita maelezo
Huku Zanzibar aende mgeni kutoka Kenya, Uganda, Burundi, Urusi, China, Ulaya ataheshimika lakini sio kutoka Tanganyika
Atabaguliwa kwa kila hali

Mfano Mdogo tu Mwakinyo kupeleka pambano lake Zanzibar wakati SMZ imetoa kibali na rukhusa
Wazanzibar wanasema rukhusa hiyo ni ya Wazanzibar peke yao. Watanganyika hawahusiki hivyo wacheze michezo huku kwao Tanganyika.

Haya hapa malalamiko ya mwakinyo mpaka anajiuliza huo na kinachoitwa muungano upo wapi ??
Kwa ufupi Wazanzibar wanataka waendelee na utaratibu wa kudumu wa CHAO CHAO cha Watanganyika pia CHAO mazima


View attachment 2449693
Afu kuna Mapinduzi Cup!!
 
Swala la Ardhi ni suala la kisheria kwanini uanhusisha na masuala ya ubaguzi? mbona mnakua na mihemko iliyopitiliza?
Kwamba sheria ya Zanzibar inamtambua Mtanzania bara kama mgeni ? Unafahamu ugumu uliopo kwa mtanzania bara kupata barua hata ya sheha hata kama akiwa na barua ya mwenyekiti wa bara ?
 
Kwamba sheria ya Zanzibar inamtambua Mtanzania bara kama mgeni ? Unafahamu ugumu uliopo kwa mtanzania bara kupata barua hata ya sheha hata kama akiwa na barua ya mwenyekiti wa bara ?

kwani hufahamu kuwa Mtanzania Bara anatambulika kama Mgeni Zanzibar kwa mujibu wa sheria za Zanzibar? Na hufahamu kuwa serekali ya SMT imeliridhia hilo? na imekua hivo toka Muungano huu ulipoanza.
 
Hakuna watu wabinafsi kama Wazanzibari. Wana rohoooo mbayaaaaa alafu walivyo vilaza sasa
 
Back
Top Bottom