SureNyerere alifanya mengi mazuri ila kweny hili la zanzibar kuwa nchi ni uongo.Ilitakiwa iwe mkoa kama katavi n.k au kisiwa kama ukerewe. Sijui wazanzibar wana akili ipi
Kwamba watatuvamia ama mmWadanganyika wanadai eti Zanzibar ikijitenga Tanganyika itakuwa hatarini kiusalama. Kivipi? (Hata mm sijawahi kuwaelewa)
Zanzibar kama Moroco tuYaani kwenda kucheza pambano moja kisha kurudi zake Tanga
Wazanzibar wamejaa choyo husuda nongwa hadi kuandika barua kupinga mtanganyika kucheza pambano lake Huko Zanzibar
Wanasema hiyo ni fursa ya Wazanzibar pekee sio watanganyika!!!
Tukiwaambia Zanzibar hakuna MUUNGANO muwe mnaelewa.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar
Kwa mujibu wa kanuni taratibu na sheria za SMZ na Zanzibar
Kila kitu cha Zanzibar ni kwa Wazanzibar pekee yao
Kuna Kocha mmoja tu wa bara amepewa kufundisha timu inaitwa KVZ lakini anabaguliwa kupita maelezo
Huku Zanzibar aende mgeni kutoka Kenya, Uganda, Burundi, Urusi, China, Ulaya ataheshimika lakini sio kutoka Tanganyika
Atabaguliwa kwa kila hali
Mfano Mdogo tu Mwakinyo kupeleka pambano lake Zanzibar wakati SMZ imetoa kibali na rukhusa
Wazanzibar wanasema rukhusa hiyo ni ya Wazanzibar peke yao. Watanganyika hawahusiki hivyo wacheze michezo huku kwao Tanganyika.
Haya hapa malalamiko ya mwakinyo mpaka anajiuliza huo na kinachoitwa muungano upo wapi ??
Kwa ufupi Wazanzibar wanataka waendelee na utaratibu wa kudumu wa CHAO CHAO cha Watanganyika pia CHAO mazima
View attachment 2449693
Pia usisahau kulekeza maombi Yako Kwa watu wa jamuhuri ya watu ubeligiji,chadema kushabu zinawamalizaMungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Zanzibar .
Huu ndio msimamo unaotakiwa
Hivi hamjaacha kufumuliwa marinda maana wazenji wengi machoko mnanuka maviSheikh Hassan punguza shobo na Zanzibar, Rudi kwenu Bara Kwa machogo wenzio
Bidhaa kutoka china kuja Tanzania zinakuwa hazina ubora ndiyo maana ushuru ni mdogo tofauti na Bidhaa kutoka Ulaya mfano TV kutoka ulaya lazima iwe ushuru mkubwa kwanza bei yake nikubwa kwakule , Ulaya bidhaa zao ni bora wewe nunua sandal kutoka ulaya na ununue sandal kutoka China, naamini China sandal zake umevaa sana miezi 6, ata bidhaa za umeme kanunue kariakoo uone uimara wake.china tumeungana nayo ndio maana unapata vitu kwa kodi ya kawaida.ushawai kuagiza vitu ulaya usikie ushuru wake
Wazanzibari hawa pigani hakuna mabondia Serikali ya SMZ hairuhusu michezo ya kupiganaWazanzibar na Ngumi wapi na wapi?
Hapo wangepelekewa mashindano ya taarab labda
Yaani nyinyi wabara na homa ya uarabu! Inawaumiza sana lakini poleni maisha ndivyo yalivyo wengine waarabu wengine waafrika.wanajiona wa oman na waarabu kumbe asili yao ni congo,kigoma au kiujumla bara hapa
Ccm haitaki waarabu koko..ninyi ndio mmeharibu hicho kisiwa kwa kupandikiza roho za chuki na utengano.Yaani nyinyi wabara na homa ya uarabu! Inawaumiza sana lakini poleni maisha ndivyo yalivyo wengine waarabu wengine waafrika.
Imeandikwa Kwa JASHO utakula, hamna namna.Inauma Sana
Hakuna faida ya ndoa kwa mwanamme!
Kwanini makambini wasi watawanye ili wakose kukaa kima kundi?Hao huwa wanajulikana kwa ubaguz kaka.. Ata makambini uko jeshin huwa wanakaa kaa wenyewe tu. Muungano ni siasa tu ila ukwel unajulikana sana tu. Wewe cha kufanya pambana uku uku Bara kulikojaa watu wema wasikuwa na makuu..wachana nao hao