Mabondia wa Zanzibar wakataa pambano la kimataifa la Mwakinyo kufanyika Zanzibar, watia msisitizo mapambano ya Zanzibar yawe fursa kwa wazanzibari tu

Mabondia wa Zanzibar wakataa pambano la kimataifa la Mwakinyo kufanyika Zanzibar, watia msisitizo mapambano ya Zanzibar yawe fursa kwa wazanzibari tu

Kiboko ya Zanzibar alikuwa JPM. Mahakama ya Kadhi ili kufa kifo cha Mende.
 
Kuna vijamaa vyetu vizanzibar basi huwa vinavichekesha ila vikirudi kwao hata laini vinabadilisha
Tuliwasoma tukawa tunaishi km wanavyotamba siku hizi hata salamu havitoi [emoji16]
 
Yaani kwenda kucheza pambano moja kisha kurudi zake Tanga
Wazanzibar wamejaa choyo husuda nongwa hadi kuandika barua kupinga mtanganyika kucheza pambano lake Huko Zanzibar
Wanasema hiyo ni fursa ya Wazanzibar pekee sio watanganyika!!!

Tukiwaambia Zanzibar hakuna MUUNGANO muwe mnaelewa.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar
Kwa mujibu wa kanuni taratibu na sheria za SMZ na Zanzibar
Kila kitu cha Zanzibar ni kwa Wazanzibar pekee yao
Kuna Kocha mmoja tu wa bara amepewa kufundisha timu inaitwa KVZ lakini anabaguliwa kupita maelezo
Huku Zanzibar aende mgeni kutoka Kenya, Uganda, Burundi, Urusi, China, Ulaya ataheshimika lakini sio kutoka Tanganyika
Atabaguliwa kwa kila hali

Mfano Mdogo tu Mwakinyo kupeleka pambano lake Zanzibar wakati SMZ imetoa kibali na rukhusa
Wazanzibar wanasema rukhusa hiyo ni ya Wazanzibar peke yao. Watanganyika hawahusiki hivyo wacheze michezo huku kwao Tanganyika.

Haya hapa malalamiko ya mwakinyo mpaka anajiuliza huo na kinachoitwa muungano upo wapi ??
Kwa ufupi Wazanzibar wanataka waendelee na utaratibu wa kudumu wa CHAO CHAO cha Watanganyika pia CHAO mazima


View attachment 2449693
Zanzibar kama Moroco tu
 
Kuna watanzania halafu kuna watanzania bara. Alieturoga ni balaa.
 
Sidhani kama hili linawezekana uhuni wa watu wachache ukomeshwe mara moja.
#Muungano_daima.
 
china tumeungana nayo ndio maana unapata vitu kwa kodi ya kawaida.ushawai kuagiza vitu ulaya usikie ushuru wake
Bidhaa kutoka china kuja Tanzania zinakuwa hazina ubora ndiyo maana ushuru ni mdogo tofauti na Bidhaa kutoka Ulaya mfano TV kutoka ulaya lazima iwe ushuru mkubwa kwanza bei yake nikubwa kwakule , Ulaya bidhaa zao ni bora wewe nunua sandal kutoka ulaya na ununue sandal kutoka China, naamini China sandal zake umevaa sana miezi 6, ata bidhaa za umeme kanunue kariakoo uone uimara wake.
 
Wazanzibar na Ngumi wapi na wapi?
Hapo wangepelekewa mashindano ya taarab labda
Wazanzibari hawa pigani hakuna mabondia Serikali ya SMZ hairuhusu michezo ya kupigana
 
wanajiona wa oman na waarabu kumbe asili yao ni congo,kigoma au kiujumla bara hapa
Yaani nyinyi wabara na homa ya uarabu! Inawaumiza sana lakini poleni maisha ndivyo yalivyo wengine waarabu wengine waafrika.
 
Yaani nyinyi wabara na homa ya uarabu! Inawaumiza sana lakini poleni maisha ndivyo yalivyo wengine waarabu wengine waafrika.
Ccm haitaki waarabu koko..ninyi ndio mmeharibu hicho kisiwa kwa kupandikiza roho za chuki na utengano.

#MaendeleoHayanaChama
 
Yaani hawa NI wabaguzi kuliko tunavyofikiri kuna mambo ambayo yanaonyesha kuwa haja zetu wana roho ya ubinafsi kama kuna mtu ana kumbukumbu siku ambayo timu ya Zanzibar heroes ilivyoifunga timu ya Tanganyika walitoa kebehi za kila aina lakini Sisi mara tunawachukulia kama ndugu zetu ,imagine Hassan Mwakinyo kiimani NI muislam na wazanzibar wengi NI waislam wapo radhi kumbagua kwa utaifa wake na kusahau kuwa ni dhambi kubwa muislam kumnyanyapaa muislam mwingine . Jamaa. wamejaa na roho za visasi Sana kwa kuhisi kuwa wanaonewa kwa kila jambo
 
Hao huwa wanajulikana kwa ubaguz kaka.. Ata makambini uko jeshin huwa wanakaa kaa wenyewe tu. Muungano ni siasa tu ila ukwel unajulikana sana tu. Wewe cha kufanya pambana uku uku Bara kulikojaa watu wema wasikuwa na makuu..wachana nao hao
 
Hao huwa wanajulikana kwa ubaguz kaka.. Ata makambini uko jeshin huwa wanakaa kaa wenyewe tu. Muungano ni siasa tu ila ukwel unajulikana sana tu. Wewe cha kufanya pambana uku uku Bara kulikojaa watu wema wasikuwa na makuu..wachana nao hao
Kwanini makambini wasi watawanye ili wakose kukaa kima kundi?
 
Kupigana boxing wanajua? Tuanzie hapo.
Wataishia hapohapo michenzani na Najani Mapana hakuna lolote
 
Back
Top Bottom