Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Nasema TISS ni genge la wahuni,ndio maana Zakaria akawashtukia na kuwamwagia njugu za kutosha mpaka wakasema wao ni usalama!Shenzi,nani kawapa mamlaka ya kwenda kuteka raia?Kwa vile wamemzuia AMSTERDAM asitawale nchi yetu kwa mgongo wa Lisu ndio wanakuwa wahuni?
Tulipokuwa tunawaambia Amsterdam anamharibia Lisu mlikuwa mmeziba masikio?
Mbali na hayo!Hao Tiss wana kura ngapi? Kama hao Tiss waliona Lisu hafai kwa sababu zako za kuokoteza, mbona hawakumpa Slaa urais?
Basi endelea kuamini hivyo ila Lisu ndio huyo kakimbilia kwa AmstwrdamNasema TISS ni genge la wahuni,ndio maana Zakaria akawashtukia na kuwamwagia njugu za kutosha mpaka wakasema wao ni usalama!Shenzi,nani kawapa mamlaka ya kwenda kuteka raia?
Kuna hili suala lingine ambalo limeongelewa sawa la utaratibu gani ulitumika katika kuamua orodha hii ya wagombea iwekwe vipi. Ninavyokumbuka, NEC walisema ilitokana na jinsi wagombea walivyorudisha fomu zao. Hili sitaliongelea kwa sababu wote tunajua hizo zilikuwa ni geresha tu. Itoshe kusema huo siyo utaratibu wala majibu ya kisomi kwa watu walioelimika. Nadhani utaratibu sahihi ni kufuata alphabetical order ya majina ya chama au majina ya mwisho ya wagombea. Na hili liwekwe wazi katika kanuni za uchaguzi ili kuepuka 'surprises'.
Namtakia kila la kheri na maisha marefu yenye furaha!Basi endelea kuamini hivyo ila Lisu ndio huyo kakimbilia kwa Amstwrdam
Karatasi ya kupigia kura iorodheshwe kama ni nyaraka muhimu sana katika nchi, Sheria itungwe ambayo itasema kuwa atakayekutwa na karatasi hii zaidi ya copy moja nje ya kituo cha kupigia kura, adhabu kali ichukuliwe dhidi yake.
Mbali na hayo!
TISS wanawaacha watu wapambane kwenye box la kura ila huyu Lisu hata angeshinda hangepewa urais ili atawale akiwa ubelgiji
Mkuu, kwa jinsi jamaa walivyokuwa na UCHU WA MADARAKA, hata wangesema utumike ule utaratibu wa kusimama nyuma ya mgombea, bado wangetumia mbinu ya KUPORA USHINDI!Bila mawakala kuruhusiwa hiyo karatasi hata iboreshwe vipi haitasaidia wananchi kumchagua wamtakae.
Bado sijaelewa kama kuna mtu alikutwa na begi la karatasi za kupigia kura halafu bado anadunda wakati ni mbaya kulipo gaidi na jambazi.Nimejaribu kuichunguza karatasi ya kupigia kura ya Urais wa JMT katika uchaguzi huu uliopita, na nina machache ya kuchangia.
Nianze kwanza kwa kusema karatasi ya kupigia kura inabidi kuichukulia kama ni nyaraka muhimu sana. Uzito wa kipekee unahitajika katika kuibuni, kuichapisha, kuisambaza na kuihifadhi. Kwa nilichokiona katika uchaguzi huu wa 2020, sidhani kama lolote kati ya hayo yalizingatiwa. Najua nayasema haya katika nyakati na mazingira ambayo inaonyesha kama wenye mamlaka wameamua waitupe mkono mfumo wa demokrasia na siasa safi, lakini matumaini bado yapo kuwa siku yaja ambayo tutarudi nyuma na kujirekebisha.
Ngoja sasa niorodheshe baadhi ya vitu nilivyoona katika karatasi hii:
View attachment 1631358
- Picha ya mgombea wa Urais inatakiwa ndiyo ianze kushoto na ya mgombea mwenza ifuate, kinyume na walivyofanya.
- Pia nitazungumzia 'inconsistencies' katika karatasi hii. Hapa namaanaisha jambo moja kufanyika kwa mgombea mmoja lakini halikufanyika kwa mgombea mwingine. Nitatoa mifano michache:
- Mgombea mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan ametajwa kwanza kwa jina la kwanza. Ukiangalia Mgombea mwenza wa CHADEMA, ametajwa kwanza kwa jina lake la Mwisho. Sijajua kwa wagombea wengine kwa sababu siwafahamu vizuri.
- Mgombea wa CCM, John Magufuli ametajwa kwanza kama Dkt. wakati mgombea wa CUF, title yake ya Prof. haikuwekwa.
- Kwenye majina ya vyama, font size hazifanani na zingine kama ziko bold wakati zingine haziko bold, mfano za ACT, CHADEMA, CHAUMMA, etc. ni ndogo zaidi ya nyingine.
- Hakuna haja wala umuhimu wa kurudia title ya 'CHAMA', 'MGOMBEA UMAKAMU WA RAIS', 'MGOMBEA URAIS' wala 'ALAMA' kwa kila mgombea. Hizi titles zingewekwa tu juu pale zikiwa bold na maandishi makubwa zinatosha.
- Kuna hili suala lingine ambalo limeongelewa sawa la utaratibu gani ulitumika katika kuamua orodha hii ya wagombea iwekwe vipi. Ninavyokumbuka, NEC walisema ilitokana na jinsi wagombea walivyorudisha fomu zao. Hili sitaliongelea kwa sababu wote tunajua hizo zilikuwa ni geresha tu. Itoshe kusema huo siyo utaratibu wala majibu ya kisomi kwa watu walioelimika. Nadhani utaratibu sahihi ni kufuata alphabetical order ya majina ya chama au majina ya mwisho ya wagombea. Na hili liwekwe wazi katika kanuni za uchaguzi ili kuepuka 'surprises'.
- Mfano wa karatasi hii utolewe mapema zaidi, ili mapungufu yaweze kurekebishwa na maboresho kufanywa. Kama nilivyosema hapo awali, muundo wa karatasi hii utajwe wazi katika sheria kuu za uchaguzi na kusiwe na room ya kirahisi rahisi ya kuzibadilisha kama inavyofanyika sasa.
- Jukumu la kuelimisha njia sahihi za kuitumia karatasi hii libebwe na NEC wenyewe. Kuna wagombea walitoa matamko ambayo kisheria walitakiwa waadhibiwe. Kuna mmoja alinukuliwa akisema 'wewe angalia mtu wa kwanza tu hapo juu, weka tiki, wengine huko chini siyo wagombea halali'
- Karatasi ya kupigia kura iorodheshwe kama ni nyaraka muhimu sana katika nchi, Sheria itungwe ambayo itasema kuwa atakayekutwa na karatasi hii zaidi ya copy moja nje ya kituo cha kupigia kura, adhabu kali ichukuliwe dhidi yake.
Nimalizie tu kwa kusema, ukiacha mapungufu haya niliyotaja hapo juu ambayo nadhani mengine yalifanywa kama maamuzi ya makusudi, sidhani kama hii ikaratasi imekuwa designed na professional designing na printing company inayojitambua. Inaonyesha ni kama karatasi ambayo imetengenezwa katika kaduka ka stationery na dada mmoja ambaye pia anauza vocha za tigo. Maandishi ya majina hayana uwiano, baadhi yako juu zaidi, mengine katikati, mengine kushoto zaidi. Halafu unaniambia kuna mabilioni yametumika hapa kwa kazi hii?
Tanzania ni urithi wetu sote, hakuna atakayeweza kulibadilisha hilo.
Naona marekebisho muhimu zije na tiki kwa CCM, itasaidia kuondoa usumbufu!Nimejaribu kuichunguza karatasi ya kupigia kura ya Urais wa JMT katika uchaguzi huu uliopita, na nina machache ya kuchangia.
Nianze kwanza kwa kusema karatasi ya kupigia kura inabidi kuichukulia kama ni nyaraka muhimu sana. Uzito wa kipekee unahitajika katika kuibuni, kuichapisha, kuisambaza na kuihifadhi. Kwa nilichokiona katika uchaguzi huu wa 2020, sidhani kama lolote kati ya hayo yalizingatiwa. Najua nayasema haya katika nyakati na mazingira ambayo inaonyesha kama wenye mamlaka wameamua waitupe mkono mfumo wa demokrasia na siasa safi, lakini matumaini bado yapo kuwa siku yaja ambayo tutarudi nyuma na kujirekebisha.
Ngoja sasa niorodheshe baadhi ya vitu nilivyoona katika karatasi hii:
View attachment 1631358
- Picha ya mgombea wa Urais inatakiwa ndiyo ianze kushoto na ya mgombea mwenza ifuate, kinyume na walivyofanya.
- Pia nitazungumzia 'inconsistencies' katika karatasi hii. Hapa namaanaisha jambo moja kufanyika kwa mgombea mmoja lakini halikufanyika kwa mgombea mwingine. Nitatoa mifano michache:
- Mgombea mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan ametajwa kwanza kwa jina la kwanza. Ukiangalia Mgombea mwenza wa CHADEMA, ametajwa kwanza kwa jina lake la Mwisho. Sijajua kwa wagombea wengine kwa sababu siwafahamu vizuri.
- Mgombea wa CCM, John Magufuli ametajwa kwanza kama Dkt. wakati mgombea wa CUF, title yake ya Prof. haikuwekwa.
- Kwenye majina ya vyama, font size hazifanani na zingine kama ziko bold wakati zingine haziko bold, mfano za ACT, CHADEMA, CHAUMMA, etc. ni ndogo zaidi ya nyingine.
- Hakuna haja wala umuhimu wa kurudia title ya 'CHAMA', 'MGOMBEA UMAKAMU WA RAIS', 'MGOMBEA URAIS' wala 'ALAMA' kwa kila mgombea. Hizi titles zingewekwa tu juu pale zikiwa bold na maandishi makubwa zinatosha.
- Kuna hili suala lingine ambalo limeongelewa sawa la utaratibu gani ulitumika katika kuamua orodha hii ya wagombea iwekwe vipi. Ninavyokumbuka, NEC walisema ilitokana na jinsi wagombea walivyorudisha fomu zao. Hili sitaliongelea kwa sababu wote tunajua hizo zilikuwa ni geresha tu. Itoshe kusema huo siyo utaratibu wala majibu ya kisomi kwa watu walioelimika. Nadhani utaratibu sahihi ni kufuata alphabetical order ya majina ya chama au majina ya mwisho ya wagombea. Na hili liwekwe wazi katika kanuni za uchaguzi ili kuepuka 'surprises'.
- Mfano wa karatasi hii utolewe mapema zaidi, ili mapungufu yaweze kurekebishwa na maboresho kufanywa. Kama nilivyosema hapo awali, muundo wa karatasi hii utajwe wazi katika sheria kuu za uchaguzi na kusiwe na room ya kirahisi rahisi ya kuzibadilisha kama inavyofanyika sasa.
- Jukumu la kuelimisha njia sahihi za kuitumia karatasi hii libebwe na NEC wenyewe. Kuna wagombea walitoa matamko ambayo kisheria walitakiwa waadhibiwe. Kuna mmoja alinukuliwa akisema 'wewe angalia mtu wa kwanza tu hapo juu, weka tiki, wengine huko chini siyo wagombea halali'
- Karatasi ya kupigia kura iorodheshwe kama ni nyaraka muhimu sana katika nchi, Sheria itungwe ambayo itasema kuwa atakayekutwa na karatasi hii zaidi ya copy moja nje ya kituo cha kupigia kura, adhabu kali ichukuliwe dhidi yake.
Nimalizie tu kwa kusema, ukiacha mapungufu haya niliyotaja hapo juu ambayo nadhani mengine yalifanywa kama maamuzi ya makusudi, sidhani kama hii ikaratasi imekuwa designed na professional designing na printing company inayojitambua. Inaonyesha ni kama karatasi ambayo imetengenezwa katika kaduka ka stationery na dada mmoja ambaye pia anauza vocha za tigo. Maandishi ya majina hayana uwiano, baadhi yako juu zaidi, mengine katikati, mengine kushoto zaidi. Halafu unaniambia kuna mabilioni yametumika hapa kwa kazi hii?
Tanzania ni urithi wetu sote, hakuna atakayeweza kulibadilisha hilo.
Mkuu, unaonaje ukiiruhusu akili yako ifanye kazi kidogo!Huwezi kutumwa na Amsterdam uje ugombee urais TISS wakakuangalia tu. Uwepo wao utakuwa hauna maana.
Ajipange kwa kweli .Najiuliza kama hadi TISS waakikuwa hawamuungi mkono Lisu alitegemea atashinda vipi sasa?
Yani huungwi mkono na chombo cha usalama hata kimoja utashindaje sasa?
Lisu akikuwa debe tupu. Hajui siasa
Ila chenji ilibaki ndo maanaNimejaribu kuichunguza karatasi ya kupigia kura ya Urais wa JMT katika uchaguzi huu uliopita, na nina machache ya kuchangia.
Nianze kwanza kwa kusema karatasi ya kupigia kura inabidi kuichukulia kama ni nyaraka muhimu sana. Uzito wa kipekee unahitajika katika kuibuni, kuichapisha, kuisambaza na kuihifadhi. Kwa nilichokiona katika uchaguzi huu wa 2020, sidhani kama lolote kati ya hayo yalizingatiwa. Najua nayasema haya katika nyakati na mazingira ambayo inaonyesha kama wenye mamlaka wameamua waitupe mkono mfumo wa demokrasia na siasa safi, lakini matumaini bado yapo kuwa siku yaja ambayo tutarudi nyuma na kujirekebisha.
Ngoja sasa niorodheshe baadhi ya vitu nilivyoona katika karatasi hii:
View attachment 1631358
- Picha ya mgombea wa Urais inatakiwa ndiyo ianze kushoto na ya mgombea mwenza ifuate, kinyume na walivyofanya.
- Pia nitazungumzia 'inconsistencies' katika karatasi hii. Hapa namaanaisha jambo moja kufanyika kwa mgombea mmoja lakini halikufanyika kwa mgombea mwingine. Nitatoa mifano michache:
- Mgombea mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan ametajwa kwanza kwa jina la kwanza. Ukiangalia Mgombea mwenza wa CHADEMA, ametajwa kwanza kwa jina lake la Mwisho. Sijajua kwa wagombea wengine kwa sababu siwafahamu vizuri.
- Mgombea wa CCM, John Magufuli ametajwa kwanza kama Dkt. wakati mgombea wa CUF, title yake ya Prof. haikuwekwa.
- Kwenye majina ya vyama, font size hazifanani na zingine kama ziko bold wakati zingine haziko bold, mfano za ACT, CHADEMA, CHAUMMA, etc. ni ndogo zaidi ya nyingine.
- Hakuna haja wala umuhimu wa kurudia title ya 'CHAMA', 'MGOMBEA UMAKAMU WA RAIS', 'MGOMBEA URAIS' wala 'ALAMA' kwa kila mgombea. Hizi titles zingewekwa tu juu pale zikiwa bold na maandishi makubwa zinatosha.
- Kuna hili suala lingine ambalo limeongelewa sawa la utaratibu gani ulitumika katika kuamua orodha hii ya wagombea iwekwe vipi. Ninavyokumbuka, NEC walisema ilitokana na jinsi wagombea walivyorudisha fomu zao. Hili sitaliongelea kwa sababu wote tunajua hizo zilikuwa ni geresha tu. Itoshe kusema huo siyo utaratibu wala majibu ya kisomi kwa watu walioelimika. Nadhani utaratibu sahihi ni kufuata alphabetical order ya majina ya chama au majina ya mwisho ya wagombea. Na hili liwekwe wazi katika kanuni za uchaguzi ili kuepuka 'surprises'.
- Mfano wa karatasi hii utolewe mapema zaidi, ili mapungufu yaweze kurekebishwa na maboresho kufanywa. Kama nilivyosema hapo awali, muundo wa karatasi hii utajwe wazi katika sheria kuu za uchaguzi na kusiwe na room ya kirahisi rahisi ya kuzibadilisha kama inavyofanyika sasa.
- Jukumu la kuelimisha njia sahihi za kuitumia karatasi hii libebwe na NEC wenyewe. Kuna wagombea walitoa matamko ambayo kisheria walitakiwa waadhibiwe. Kuna mmoja alinukuliwa akisema 'wewe angalia mtu wa kwanza tu hapo juu, weka tiki, wengine huko chini siyo wagombea halali'
- Karatasi ya kupigia kura iorodheshwe kama ni nyaraka muhimu sana katika nchi, Sheria itungwe ambayo itasema kuwa atakayekutwa na karatasi hii zaidi ya copy moja nje ya kituo cha kupigia kura, adhabu kali ichukuliwe dhidi yake.
Nimalizie tu kwa kusema, ukiacha mapungufu haya niliyotaja hapo juu ambayo nadhani mengine yalifanywa kama maamuzi ya makusudi, sidhani kama hii ikaratasi imekuwa designed na professional designing na printing company inayojitambua. Inaonyesha ni kama karatasi ambayo imetengenezwa katika kaduka ka stationery na dada mmoja ambaye pia anauza vocha za tigo. Maandishi ya majina hayana uwiano, baadhi yako juu zaidi, mengine katikati, mengine kushoto zaidi. Halafu unaniambia kuna mabilioni yametumika hapa kwa kazi hii?
Tanzania ni urithi wetu sote, hakuna atakayeweza kulibadilisha hilo.
Hao jamaa wengi wa miaka hii ni makada wa kuokoteza wa CCM.Hao Tiss wana kura ngapi? Kama hao Tiss waliona Lisu hafai kwa sababu zako za kuokoteza, mbona hawakumpa Slaa urais?
Tatizo mnapayuka tu Crimea amejaribu kueleza ukweli ila mnapapara tu. Ngoja nikueleze, TISS lazima watakuwa wamefanya kazi yao na kueleza mbinu za ushindi. Mfano tangazo la kila mtu kupiga kura alipojiandikisha, hilo lilikuwa ni bao la mkono. Usisahau vyuo na shule zilikuwa zimefungwa na hao ndio walikuwa mashabiki wa tototundu. Sasa mtoto wa chuo atoke Kagera arudi UDSM ili aweze kupiga kura? Nani atamlipia gharama za usafiri?Hao Tiss wana kura ngapi? Kama hao Tiss waliona Lisu hafai kwa sababu zako za kuokoteza, mbona hawakumpa Slaa urais?
Urongo, hawa wanajua kabla ya miaka 4 nani atakuwa rais ajaye mhe.Hao jamaa wengi wa miaka hii ni makada wa kuokoteza wa CCM.
Zamani hao jamaa walikua ni watu wenye uwezo mkubwa sana kiakili na maarifa makubwa.
Sasa hivi wanaokota vijana wa UVCCM walioiba vyeti na majina ya watu huko mashuleni .
Exactly, na kwa bahati mbaya, ndani ya hiyo idara hao incompetent ndio wenye sauti. Hii ndio maana sifa kuu ya hiyo idara kwa sasa ni kuumiza critics wote wa serikali.Hao jamaa wengi wa miaka hii ni makada wa kuokoteza wa CCM.
Zamani hao jamaa walikua ni watu wenye uwezo mkubwa sana kiakili na maarifa makubwa.
Sasa hivi wanaokota vijana wa UVCCM walioiba vyeti na majina ya watu huko mashuleni .
Sio kazi ya Tiss kuiwezesha ccm kushinda, labda useme Tiss ni idara ndani ya ccm. Sasa kama Tiss ndio wanapanga mipango ya ushindi wa ccm, hiyo ccm itakuwa ni chama cha siasa tena, si itakuwa ni kikundi cha dola kulichojivika koti la chama cha siasa?Tatizo mnapayuka tu Crimea amejaribu kueleza ukweli ila mnapapara tu. Ngoja nikueleze, TISS lazima watakuwa wamefanya kazi yao na kueleza mbinu za ushindi. Mfano tangazo la kila mtu kupiga kura alipojiandikisha, hilo lilikuwa ni bao la mkono. Usisahau vyuo na shule zilikuwa zimefungwa na hao ndio walikuwa mashabiki wa tototundu. Sasa mtoto wa chuo atoke Kagera arudi UDSM ili aweze kupiga kura? Nani atamlipia gharama za usafiri?
Pili ile ya kupiga kura 27/10 ilikuwa kuweza kuwadhibiti ACT na mbinu zao za ushindi kwa kuzuia CCM wasipige kura. Matokeo yake si kwa mara ya kwanza CCM ilipata huko Pemba. Hiyo ndiyo kazi kuu ya TISS kuhakikisha ushindi
Uchaguzi ni mbinu si kupayuka katika majukwaa na kuanza kumtusi Rais anayetawala, unajiua mwenyewe
Jitambue.