Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Tumeeelezwa Rais wetu mpendwa pamoja na mwenzake wa Zambia watasaini Makubaliano na Serikali ya China kwa ajili ya Maboresho ya Reli ya TAZARA!
Kuna kaukimya fulani kwa Serikali kuhusu namna reli hii itakavyoboreshwa! Hatujui kama itaboreshwa kwa viwango vya umeme au la? Tofauti na wakati tunaanza kujenga reli ya kati ambapo kila kitu kilikuwa kinawekwa wazi! Kaukimya haka kananifanya kudhani kuwa maboresho haya yatakuwa kama China alivyowadanganya Kenya halafu akawategenezea reli ya treni ya dizeli tena kwa gharama kubwa.
Maombi yangu sasa waafrika tuonyeshe tuna akili znazofanya kazi sawa. Kama mayoress hayatahusisha kuifanya kuwa reli ya mwendokasi inayotumia umeme basi tuyakatae.
Ni maoni yangu kuwa endapo maboresho haya ya reli ya TAZARA hayatahusisha kuiboresha hii reli kuwa ya mwendokasi ya umeme basi hayatakuwa na faida yeyote kwa nchi yetu.
Soma Pia: Ili Kuongeza Ufanisi wa reli ya TAZARA,Tanzania na Zambia Ziiombe China Wajenge reli Mpya ya Makambako-Mtwara & Kasama-Lubumbashi/Likasi
Kuna kaukimya fulani kwa Serikali kuhusu namna reli hii itakavyoboreshwa! Hatujui kama itaboreshwa kwa viwango vya umeme au la? Tofauti na wakati tunaanza kujenga reli ya kati ambapo kila kitu kilikuwa kinawekwa wazi! Kaukimya haka kananifanya kudhani kuwa maboresho haya yatakuwa kama China alivyowadanganya Kenya halafu akawategenezea reli ya treni ya dizeli tena kwa gharama kubwa.
Maombi yangu sasa waafrika tuonyeshe tuna akili znazofanya kazi sawa. Kama mayoress hayatahusisha kuifanya kuwa reli ya mwendokasi inayotumia umeme basi tuyakatae.
Ni maoni yangu kuwa endapo maboresho haya ya reli ya TAZARA hayatahusisha kuiboresha hii reli kuwa ya mwendokasi ya umeme basi hayatakuwa na faida yeyote kwa nchi yetu.
Soma Pia: Ili Kuongeza Ufanisi wa reli ya TAZARA,Tanzania na Zambia Ziiombe China Wajenge reli Mpya ya Makambako-Mtwara & Kasama-Lubumbashi/Likasi