Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie usifanyike udanganyifu kama wa Kenya

Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie usifanyike udanganyifu kama wa Kenya

Pia tujenge kwa kujiangalia Sisi kwanza na mahitaji yetu na sio kumfurahisha jirani

Jirani awe ni ziada

Tujenge miundombinu kwa ajili yetu, leo Zambia wanatua JNIA baada ya kipindi kirefu kupita, tulienda kuwaomba waje? Hapana Bali kuna vitu tukiweka sawa mteja mwenyewe anakuja bila shida
Inawezekana hujawahi kufanya biashara yoyote.
Watu wana tumia mabilioni kusaka wateja, wewe unasema watakuja wenyewe?
Huko kuboresha unako kusema ni sehemu ya kuvuta hao wateja.
 
almost 70% ya cargo inayopita Bandari ya DSM inaenda nchi zilizopo njia ya Tazara ( Zambia na Congo)
Sasa kwa nini reli inashindwa kujiendesha yenyewe, imejengwa na Wachina na miaka kibao baadaye mnaomba msaada ikarabatiwe na Wachina?
 
Copper kutoka Zambia na Congo vinatakiwa kupita TAZARA badala ya kuharibu barabara. Mafuta kwenda DRC, Zambia na Malawi yanatakiwa kupita TAZARA. Mizigo ni mingi sana, bado watu.
Kwa nini zinapitia barabarani na si kwa reli in the first place?
 
Mchina na shaba ya katanga na zambia,anashindana na lobito-lubumbashi(kama sijachanganya) ya beberu USA
TAZARA ishashindwa.

Kuna Lobito corridor, halafu kuna reli nyingine inajengwa kwenda bandari ya Nacala Mozambique. Na mizigo mingine inaenda South Africa.

Subiri wajenge reli halafu tuone kama ina future.
 
TAZARA ishashindwa.

Kuna Lobito corridor, halafu kuna reli nyingine inajengwa kwenda bandari ya Nacala Mozambique. Na mizigo mingine inaenda South Africa.

Subiri wajenge reli halafu tuone kama ina future.
Ni proposal ya mchina mwenyewe
As global powers vie for control over critical mineral trade routes, China plans to spend US$1 billion to refurbish a key railway line connecting Zambia's copper belt region with the Tanzanian port of Dar es Salaam under its Belt and Road Initiative.9 Feb 2024
1725382608414.png

China plans to spend US$1 billion to revamp Tanzania-Zambia railway ...

 
Ni proposal ya mchina mwenyewe
As global powers vie for control over critical mineral trade routes, China plans to spend US$1 billion to refurbish a key railway line connecting Zambia's copper belt region with the Tanzanian port of Dar es Salaam under its Belt and Road Initiative.9 Feb 2024
View attachment 3086117

China plans to spend US$1 billion to revamp Tanzania-Zambia railway ...

It's symbolism, wamekosa bandari wanaona wajishikize na reli.

Yani mtu anataka kukupiga kulia, anakuanzia kushoto.
 
Inawezekana hujawahi kufanya biashara yoyote.
Watu wana tumia mabilioni kusaka wateja, wewe unasema watakuja wenyewe?
Huko kuboresha unako kusema ni sehemu ya kuvuta hao wateja.
Utalii wenyewe sifa tuu lakini sio Ile konki
 
Waapi? Zambia anapeleka mizigo South Africa na mingine itaenda Lobito na mingine itaenda Mozambique.

TAZARA haina future.
Kusini kuna chuma, mkaa wa mawe. Hivi vikiendelezwa vitatakiwa kusambazwa.......
 
Wazambia wangekuwa na interest na TAZARA wasingekuwa na mipango ya kupitisha mizigo Nacala Mozambique.
Zambia imetupiga ngumi ya chembe cha moyo,, ili itugalagaze, hivyo ni bora bidii yetu tukaiweka kwenye reli ya sgr tuingie nchi za maziwa na drc.
 
Hii reli bado ni muhimu mno ndio itakayo connect nchi za SADC na EAC na tukumbuke tayari china wamechukua vitalu vya chuma liganga na mchuchuma na viwanda vyao vya chuma wanajenga makambako na bado Wana maviwanda ya kutosha ya product za miti na hotculture ko bado hii reli itakuwa na ufanisi mkubwa mno tofauti tunavo fikiri wazo la mdau lipo sahihi na Barabara ya TAZAM ndo yenye maroli mengi ya mzigo hii reli chini ya wachina inaenda kuleta ufanisi mkubwa na kwa wakati mfupi Cha msingi ni Serikali iwaombe wajenge dry port kubwa makambako na reli ya kutoka makambako hadi mtwara ili bandari ya mtwara nayo ichangamke Wasafirishaji wakifika makambako watakuwa na option waende bandari ipi hii itapunguza msongamano dsm kwa
IMG-20240520-WA0027.jpg
maana kampuni iliyo Jenga hii reli ndo inarudi tena kuiendesha ko wanaijua vizuri na kipindi hicho waliweka dry port kaprimposhi ,Kasama na makambako za mizigo mikubwa ko inatakiwa waboreshe iende kwa mfumo wa SGR watafanya kazi NACCALA itajifia yenyewe
downloadfile.jpg
 
Back
Top Bottom