Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mizigo si abiria?TAZARA inaboreshwa mizigo yenyewe iko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mizigo si abiria?TAZARA inaboreshwa mizigo yenyewe iko wapi?
Afadhali.Geografia ya Tanzania ilikua nzuri lakini viongozi walichelewa sana kujenga miundombinu wezeshi kulinda bandari leo tunahaha tu
Hayo maboresho hayapo,ni kama tu wanavyodanganya wanafanya maboresho Uwanja wa MkapaTumeeelezwa Rais wetu mpendwa pamoja na mwenzake wa Zambia watasaini Makubaliano na Serikali ya China kwa ajili ya Maboresho ya Reli ya TAZARA!
Kuna kaukimya fulani kwa Serikali kuhusu namna reli hii itakavyoboreshwa! Hatujui kama itaboreshwa kwa viwango vya umeme au la? Tofauti na wakati tunaanza kujenga reli ya kati ambapo kila kitu kilikuwa kinawekwa wazi! Kaukimya haka kananifanya kudhani kuwa maboresho haya yatakuwa kama China alivyowadanganya Kenya halafu akawategenezea reli ya treni ya dizeli tena kwa gharama kubwa.
Maombi yangu sasa waafrika tuonyeshe tuna akili znazofanya kazi sawa. Kama mayoress hayatahusisha kuifanya kuwa reli ya mwendokasi inayotumia umeme basi tuyakatae.
Ni maoni yangu kuwa endapo maboresho haya ya reli ya TAZARA hayatahusisha kuiboresha hii reli kuwa ya mwendokasi ya umeme basi hayatakuwa na faida yeyote kwa nchi yetu.
Soma Pia: Ili Kuongeza Ufanisi wa reli ya TAZARA,Tanzania na Zambia Ziiombe China Wajenge reli Mpya ya Makambako-Mtwara & Kasama-Lubumbashi/Likasi
Kuna mizigo mingi Sana inaenda Zambia ,congo na Malawi hii reli Ina umuhimu wake kuboreshwa Barabara ya TAZAM imezidiwa na maroli ni mengi mno plus yanayosomba makaa ya mawe bado product za chuma hazijaanza mchina sio fala akubali kutia gharama zake kuboreshwa hii reli Ina mizigo ya kutoshaMizigo si abiria?
Sio kwenye uchaguzi?Afadhali.
Bora tukose tu fedha zenyewe.
Maana zikiingie tu zinageuzwa na kuwa fedha za Rais
Yaani Tanzania na Zambia wameshindwa kutoa hiyo USD 1 billion mpaka mchina aje tena kusaidia.Ni proposal ya mchina mwenyewe
As global powers vie for control over critical mineral trade routes, China plans to spend US$1 billion to refurbish a key railway line connecting Zambia's copper belt region with the Tanzanian port of Dar es Salaam under its Belt and Road Initiative.9 Feb 2024
View attachment 3086117
China plans to spend US$1 billion to revamp Tanzania-Zambia railway ...
Mchina hawezi kusaidia mradi anaojua mtapata faida neverYaani Tanzania na Zambia wameshindwa kutoa hiyo USD 1 billion mpaka mchina aje tena kusaidia.
Hujajibu swali uliloulizwa na swali ulilojibu hujaulizwa.
Hujajibu swali uliloulizwa na swali ulilojibu hujaulizwa.
Hujajibu swali uliloulizwa na swali ulilojibu hujaulizwa.
we are nit beggers, we are businessmanBeggars can't be choosers
Hiyo ni trillion 2.8 ya kitanzaniaYaani Tanzania na Zambia wameshindwa kutoa hiyo USD 1 billion mpaka mchina aje tena kusaidia.
Na hasa kwa reli hii ya TAZARA, baada ya sisi wenyewe na Zambia kushindwa hata kuiendesha tu kwa ufanisi.
Lakini ukweli ni kwamba, hata isipo kuwa ya umeme, waChina hao hao wakipewa kuiendsha patakuwepo na ufanisi mkubwa.
Kwa hiyo badala ya kulilia reli ya umeme (ingawaje ni vizuri zaidi), la msingi ni uendeshaji wa reli hiyo kwa ufanisi
Hiyo ya Kenya anayo izungumzia mleta mada, pamoja na kuwa ya diesel, lakini hadi sasa uendeshaji wake ni mzuri, kwa vile bado mChina anasimamia kazi hiyo.
Reli inaweza kuwa ya umeme, lakini uendeshaji wake ukawa mbovu, hapo faida ipo wapi?
Kama unanieleza mimi moja kwa moja, nitakwambia kwamba ni sawa kabisa unavyo eleza; na huo ndio msimamo wangu katika maswala haya yote, iwe Reli, Bandari na kwingineko kote inapo wezekana.Tuwe wafanisi, tusiwe wafanisi HATUTAKi kuendeshewa miundombinu na Mchina, au na mkandiga yeyote wa kigeni.
Kujenga huwezi, kubuni huwezi, kuendesha huwezi, utaweza nini, kuchimba na kuendesha miradi ya matundu ya vyoo wewe potato head Mwafrika ????
Kuna sababu kwa nini Julius Nyerere aliamua kui freeze on ice hii miradi kichaa ya kufanyiwa na kuliwa kama mazuzu
Pole ,Tazara itakuwa refurbished China to bring Tanzania-Zambia railway back to full speed with US$1 billion boostTumeeelezwa Rais wetu mpendwa pamoja na mwenzake wa Zambia watasaini Makubaliano na Serikali ya China kwa ajili ya Maboresho ya Reli ya TAZARA!
Kuna kaukimya fulani kwa Serikali kuhusu namna reli hii itakavyoboreshwa! Hatujui kama itaboreshwa kwa viwango vya umeme au la? Tofauti na wakati tunaanza kujenga reli ya kati ambapo kila kitu kilikuwa kinawekwa wazi! Kaukimya haka kananifanya kudhani kuwa maboresho haya yatakuwa kama China alivyowadanganya Kenya halafu akawategenezea reli ya treni ya dizeli tena kwa gharama kubwa.
Maombi yangu sasa waafrika tuonyeshe tuna akili znazofanya kazi sawa. Kama mayoress hayatahusisha kuifanya kuwa reli ya mwendokasi inayotumia umeme basi tuyakatae.
Ni maoni yangu kuwa endapo maboresho haya ya reli ya TAZARA hayatahusisha kuiboresha hii reli kuwa ya mwendokasi ya umeme basi hayatakuwa na faida yeyote kwa nchi yetu.
Soma Pia: Ili Kuongeza Ufanisi wa reli ya TAZARA,Tanzania na Zambia Ziiombe China Wajenge reli Mpya ya Makambako-Mtwara & Kasama-Lubumbashi/Likasi