Mabosi waeleza kwanini wanawafukuza kazi Gen Z miezi michache baada ya kuajiriwa. Gen Z chukua notes

Mkuu hii ndo post yako ya kwanza aseee!!
 
Kuna mmoja nilimkuta washroom anakatika huku anakenua kenua kwny kioo....
Hawa madogo usasa unawapeleka puta..
Ngoja wazalishwe wtt w2 watatu watatulia...
Hahaha nimecheka sana mtani huyo nina uhakika ni flat screen nyuma pasi 😁 maana ndo zao hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…