Mabosi waeleza kwanini wanawafukuza kazi Gen Z miezi michache baada ya kuajiriwa. Gen Z chukua notes

Mabosi waeleza kwanini wanawafukuza kazi Gen Z miezi michache baada ya kuajiriwa. Gen Z chukua notes

Kuna jamaa kasema tatizo Gen Z hawako serious, unakuta mtu anamuita Boss - Bro😂😂

=====


Kwa mujibu wa utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na Intelligent, 1 kati ya mabosi 6 wana wasiwasi kuhusu kuajiri Gen Z tena, na 1 kati ya 7 huenda wakakwepa kabisa kufanya hivyo mwakani. Hizi ndiyo sababu:

Kutokujiongeza
Asilimia 50 ya viongozi walioulizwa wanahisi kuwa wahitimu wapya hawaonyeshi juhudi zinazotarajiwa na waajiri.

Kutokuwa na maadili ya kazi (unprofessionalism)
Hii inajumuisha kutofuata taratibu za sehemu ya kazi kama vile kuheshimu muda, matumizi sahihi ya lugha, na mavazi yanayoendana na mazingira ya kazi.

Kuchelewa mara kwa mara
Kuwasili kazini au kwenye mikutano kwa kuchelewa kumeleta usumbufu kwa mabosi na wafanyakazi wenzao.

Kutokuwa na Mpangilio
Waajiri wana wasiwasi juu ya uwezo wa Gen Z wa kudhibiti majukumu yao na kupanga kazi kwa ufanisi.

Mawasiliano Duni
Viongozi wanataja changamoto katika jinsi waajiriwa wapya wanavyowasilisha taarifa, iwe kwa maandishi au kwa mazungumzo.

Changamoto ya kushindwa kumudu majukumu ya kila siku kazini
Zaidi ya asilimia 20 ya mabosi wanasema wahitimu wapya wanashindwa kumudu mahitaji ya kila siku ya kazi.

Soma: Bosses are firing Gen Z grads just months after hiring them
Shida ni kwamba Maboss wengi kwenye organizations na makampuni bado ni millennials wanashindwa kucope na kukubali kuwa dunia imebadilika kwa sababu wengi wao ni very conservative. Gen Z ni kizazi kimelelewa na kukuzwa kwenye mazingira tofauti they don't have to go through whatever their bosses went through.
Kwa mfano hapo kuchelewa kazini, mtu unaweza kuwa kuwahi kazini na usiwe productive, kwanza dunia imebadilika there is no point kuwahi kazini saa kumi na moja asubuhi wakati kazi zinaweza kufanyika remotely au online na zikaenda.
Kingine Gen Z ni kizazi ambacho wako very open minded na hawajalelewa kwenye mazingira ya uoga shida ya maboss wanataka kuogopwa na kunyenyekewa ndo maana wanaona Gen Z hawana adabu mambo ya "Yes Sir or Madam" ndo wanayataka. The world has changed and it is still changing

Sasa wawasubiri hao Gen Alpha ndo watajua hawajui 😀
 
Shida ni kwamba Maboss wengi kwenye organizations na makampuni bado ni millennials wanashindwa kucope na kukubali kuwa dunia imebadilika kwa sababu wengi wao ni very conservative. Gen Z ni kizazi kimelelewa na kukuzwa kwenye mazingira tofauti they don't have to go through whatever their bosses went through.
Kwa mfano hapo kuchelewa kazini, mtu unaweza kuwa kuwahi kazini na usiwe productive, kwanza dunia imebadilika there is no point kuwahi kazini saa kumi na moja asubuhi wakati kazi zinaweza kufanyika remotely au online na zikaenda.
Kingine Gen Z ni kizazi ambacho wako very open minded na hawajalelewa kwenye mazingira ya uoga shida ya maboss wanataka kuogopwa na kunyenyekewa ndo maana wanaona Gen Z hawana adabu mambo ya "Yes Sir or Madam" ndo wanayataka. The world has changed and it is still changing

Sasa wawasubiri hao Gen Alpha ndo watajua hawajui 😀
Kaka hiki kizazi hakijui thamani ya kupewa nafasi
 
Shida ni kwamba Maboss wengi kwenye organizations na makampuni bado ni millennials wanashindwa kucope na kukubali kuwa dunia imebadilika kwa sababu wengi wao ni very conservative. Gen Z ni kizazi kimelelewa na kukuzwa kwenye mazingira tofauti they don't have to go through whatever their bosses went through.
Kwa mfano hapo kuchelewa kazini, mtu unaweza kuwa kuwahi kazini na usiwe productive, kwanza dunia imebadilika there is no point kuwahi kazini saa kumi na moja asubuhi wakati kazi zinaweza kufanyika remotely au online na zikaenda.
Kingine Gen Z ni kizazi ambacho wako very open minded na hawajalelewa kwenye mazingira ya uoga shida ya maboss wanataka kuogopwa na kunyenyekewa ndo maana wanaona Gen Z hawana adabu mambo ya "Yes Sir or Madam" ndo wanayataka. The world has changed and it is still changing

Sasa wawasubiri hao Gen Alpha ndo watajua hawajui 😀
Upo sahihi, alafu mabosi wanasahau kuwa hata wao pia walikuwaga ni fresh graduates na walilelewa na kufundishwa kazi mpaka hapo walipofikia.
 
Hata wewe pia ulikuwa kama wao. Acha kujizima data.
Sema mimi swala la kuita boss ofisini ndo Sinaga Ila kwenye biashara yangu wateja wote nawaita boss Ila nikienda hata TRA nikakuta boss namsalimia kulingana na tofauti ya umri wetu brother, mama, baba, mzee Ila sitamki neno boss
 
Sema mimi swala la kuita boss ofisini ndo Sinaga Ila kwenye biashara yangu wateja wote nawaita boss Ila nikienda hata TRA nikakuta boss namsalimia kulingana na tofauti ya umri wetu brother, mama, baba, mzee Ila sitamki neno boss
Kwa TRA, wewe ndiye unayepaswa kuitwa boss
 
Kusema boss ni kupiga magoti kivipi Mkuu, sijaelewa hapo! Si kama hapa unavyoita wengine Mkuu au?
Maboss wanaojielewa alafu wapo sophisticated (degree ya kwanza na ya pili kasona Ulaya/Marekani), hawapendi kabisa kuitwa boss. Yeye kwake ukimuita boss/mkuu/chief/kiongozi, hawanaga noma hata kidogo.

Sasa ukutane na limbukeni la UDSM hahahahaa utalia
 
Sio kazini tu, picha linaanzia field bado mtu nipo chuo nachagua field station, napata na naripoti mimi Gen Z.
Nalipa ada ya mafunzo sawa na bili ya miezi miwili msosi chuo, naona nitachojifunza ni kizuri hasa nakuwa mpole.
Basi, Hosts wangu ni watu wazima tu, ila wanataka niwaite dada na kaka zangu khaa! Hawataki hata salamu za kuonyesha heshima kwao na wana utani mwingi sana.
Kutoka hapo ndani mpaka saa moja kasoro jioni tangu saa moja asubuhi, no posho wala nini na utaratibu ni mtoke saa kumi alasiri.
Mnatoka hapo ndani zile chemicals zimewalevya unaona njia tu ya kuelekea maskani.
ukichelewa kidogo kuingia station asubuhi kesi hiyo, nikaanza hesabu siku sasa za kuripoti maana tulikuwa tunawasaidia wao kazi pia baada ya kupata uzoefu.
Gen Z hatunyenyekei mtu hata kidogo..
Pole sana mdogo wangu. Ulikutana na miungu watu, wapenda kuabudiwa.
 
Hawa watoto wanavyolaumiwa utadhani walijizaa... tulaumu wazazi wao kwa malezi ya kipumbavu. Wazazi hawafuatilii watoto wao na kuwatupia majukumu housegirl na mwalimu. Isiitoshe kwa sasa watoto wanaingia shule wakiwa wadogo sana na kumaliza wadogo tofauti na vizazi vilivyopita. Nikiwa O - level kuna watu wakati wa likizo walikuwa wanapiga vibarua vya saidia fundi au kufyatua matofali ya kuchoma ili wapate ada. Mtu kama huyu lazima awe serious na kujiamini. Hawa Gen Z kwa malezi yao wanajua tu tofauti ya Blue Band na Peanut butter. Wakiingia kazini wasaidieni wawe wafanyakazi wazuri badala ya kuwalaumu na kuwafukuza.
 
Kuna jamaa kasema tatizo Gen Z hawako serious, unakuta mtu anamuita Boss - Bro😂😂

=====


Kwa mujibu wa utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na Intelligent, 1 kati ya mabosi 6 wana wasiwasi kuhusu kuajiri Gen Z tena, na 1 kati ya 7 huenda wakakwepa kabisa kufanya hivyo mwakani. Hizi ndiyo sababu:

Kutokujiongeza
Asilimia 50 ya viongozi walioulizwa wanahisi kuwa wahitimu wapya hawaonyeshi juhudi zinazotarajiwa na waajiri.

Kutokuwa na maadili ya kazi (unprofessionalism)
Hii inajumuisha kutofuata taratibu za sehemu ya kazi kama vile kuheshimu muda, matumizi sahihi ya lugha, na mavazi yanayoendana na mazingira ya kazi.

Kuchelewa mara kwa mara
Kuwasili kazini au kwenye mikutano kwa kuchelewa kumeleta usumbufu kwa mabosi na wafanyakazi wenzao.

Kutokuwa na Mpangilio
Waajiri wana wasiwasi juu ya uwezo wa Gen Z wa kudhibiti majukumu yao na kupanga kazi kwa ufanisi.

Mawasiliano Duni
Viongozi wanataja changamoto katika jinsi waajiriwa wapya wanavyowasilisha taarifa, iwe kwa maandishi au kwa mazungumzo.

Changamoto ya kushindwa kumudu majukumu ya kila siku kazini
Zaidi ya asilimia 20 ya mabosi wanasema wahitimu wapya wanashindwa kumudu mahitaji ya kila siku ya kazi.

Soma: Bosses are firing Gen Z grads just months after hiring them
Kutumia herufi mkato. Kwa mfano akitaka kuandika "sasa", anaandika xaxa!!

Huu ujinga sivumilii, natupa kule
 
Hawa watoto wanavyolaumiwa utadhani walijizaa... tulaumu wazazi wao kwa malezi ya kipumbavu. Wazazi hawafuatilii watoto wao na kuwatupia majukumu housegirl na mwalimu. Isiitoshe kwa sasa watoto wanaingia shule wakiwa wadogo sana na kumaliza wadogo tofauti na vizazi vilivyopita. Nikiwa O - level kuna watu wakati wa likizo walikuwa wanapiga vibarua vya saidia fundi au kufyatua matofali ya kuchoma ili wapate ada. Mtu kama huyu lazima awe serious na kujiamini. Hawa Gen Z kwa malezi yao wanajua tu tofauti ya Blue Band na Peanut butter. Wakiingia kazini wasaidieni wawe wafanyakazi wazuri badala ya kuwalaumu na kuwafukuza.
Ninapenda sana kufanya kazi na vijana wadogo. I love handling them. I hate bullying.
 
Ninapenda sana kufanya kazi na vijana wadogo. I love handling them. I hate bullying.
Mungu akubariki sana. Vijana wengi kwa sasa wanaingia kwenye soko la ajira wakiwa wadogo sana. Ni kuwapa muda na kuwajenga ili wajiamini. Wakija kujua vitu wanakuwa fasta mno kuliko wakongwe. Ukiangalia hata town kuna ongezeko kubwa la Gen Z wanaokimbiza sana kwenye biashara.
 
Shida ni kwamba Maboss wengi kwenye organizations na makampuni bado ni millennials wanashindwa kucope na kukubali kuwa dunia imebadilika kwa sababu wengi wao ni very conservative. Gen Z ni kizazi kimelelewa na kukuzwa kwenye mazingira tofauti they don't have to go through whatever their bosses went through.
Kwa mfano hapo kuchelewa kazini, mtu unaweza kuwa kuwahi kazini na usiwe productive, kwanza dunia imebadilika there is no point kuwahi kazini saa kumi na moja asubuhi wakati kazi zinaweza kufanyika remotely au online na zikaenda.
Kingine Gen Z ni kizazi ambacho wako very open minded na hawajalelewa kwenye mazingira ya uoga shida ya maboss wanataka kuogopwa na kunyenyekewa ndo maana wanaona Gen Z hawana adabu mambo ya "Yes Sir or Madam" ndo wanayataka. The world has changed and it is still changing

Sasa wawasubiri hao Gen Alpha ndo watajua hawajui 😀
Hao gen Alpha watamalizana na gen Z!
 
Mungu akubariki sana. Vijana wengi kwa sasa wanaingia kwenye soko la ajira wakiwa wadogo sana. Ni kuwapa muda na kuwajenga ili wajiamini. Wakija kujua vitu wanakuwa fasta mno kuliko wakongwe. Ukiangalia hata town kuna ongezeko kubwa la Gen Z wanaokimbiza sana kwenye biashara.
Mkuu, mimi kunyanyasa mtu (generally speaking) huwa sipendi. Ninapenda sana mdogo wangu ajisikie huru kuniuliza maswali yoyote (ya kikazi au maisha) kama hana Pesa aseme, tunaenda wote lunch, Nikiwa na Pesa Nampa na kama sina nitamwambia tu ukweli kuwa leo sina mdogo wangu.

Siwezi kumchezea mtu faulo ya makusudi ili afukuzwe kazi au field yake. HAPANA. NEVER EVER.
 
Kuna Dogo alikuja Field...Eti Site akawa anakuja na Jeans kubwaa na mayeboyebo makubwaa kichwani kanyoa kiduku
Nikamwambia Dogo peleka Ujinga huko nisikuone na mavazi hayo.
Hakurudi asee sjui alienda kupatia wapi field.
Kwa nini usiongee nae kistaarabu na kumwelewesha mavazi anayo takiwa kuvaa?
 
Mbona mi sio Gen Z lakini hayo mambo ninayo
Yaani sijipendekezi kwa Boss au mtu yeyote, najitenga sinaga story za simba na yanga sijui pakome kafanyaje, Sina shobo nikikusalimia mara Moja usipoitikia hutokaa upate salamu yangu milele, wale wapenda sifa egoist ndo sinaga habari nao na wananichukia kinyama,
Ni kweli vitoto vya elfu 2 vina mapungufu yao ila mengine mnawasingizia
Sema wabongo mnapenda kusujudiwa mkiwa kwenye nyadhifa fulani niwakumbushe tu huo ni ushamba
Mtu analazimisha shikamoo utadhani alikuazima kakataa kukurudishia
 
Back
Top Bottom