Mabovu yapo, ila Rais Samia Suluhu kajenga madarasa mengi

Mabovu yapo, ila Rais Samia Suluhu kajenga madarasa mengi

Anna Nkya

Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
69
Reaction score
341
Yes, kuna madarasa bado ni mabovu, yes kuna watoto wanakaa chini na matatizo mengine kama hayo.

Lakini tusilitazame kwa mhemko na kushindwa kumpa Rais Samia Suluhu maua yake;

- Katika kipindi kisichozidi miezi 20, Rais Samia kajenga madarasa 23,000. Ina maana ndio ujiulize kama asingejenga ingekuwaje?

- Kafanya makubwa kwa nafasi yake kwa muda mfupi, tumpe muda zaidi afanye makubwa zaidi.

- Mahitaji ya madarasa yanaongezeka kila siku, tuwe wakweli kabisa jamani, hili tatizo haliwezi kuisha kwa muda mfupi.

Rais Samia Suluhu anaenda vizuri, apewe support.

IMG_20220112_101045.jpg
 
Yes, kuna madarasa bado ni mabovu, yes kuna watoto wanakaa chini na matatizo mengine kama hayo.

Lakini tusilitazame kwa mhemko na kushindwa kumpa Rais Samia Suluhu maua yake;

- Katika kipindi kisichozidi miezi 20, Rais Samia kajenga madarasa 23,000. Ina maana ndio ujiulize kama asingejenga ingekuwaje?

- Kafanya makubwa kwa nafasi yake kwa muda mfupi, tumpe muda zaidi afanye makubwa zaidi.

- Mahitaji ya madarasa yanaongezeka kila siku, tuwe wakweli kabisa jamani, hili tatizo haliwezi kuisha kwa muda mfupi.

Rais Samia Suluhu anaenda vizuri, apewe support.

Mwingereza alijenga hospitali ya Muhimbili na Ikulu, mjerumani alijenga meli ya Mv Liemba na vyote vipo hawa wote walikuwa watawala kama ilivyo CCM, na walivyotuachia tunavitegemea sana ila tuliwaambia waondoke.
 
Sa100 kajenga kwa pesa zake mwenyewe?,Anajenga madarasa walimu hakuna .Kwenye kata niliyopo shule ya kata hii ina wanafunzi 780,lakini mwlm wa hisabati mmoja ,physics mmoja na chemistry mmoja .Biology ndoo ina waalim wawili .Sasa anashindwa kuajili kwa kisingizio eti hana fedha wakati kodi zetu anachukua.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Unajua ni wanafunzi wangapi wenye sifa ya kujiunga kidato cha kwanza shule za bweni za serikali lakini wamekosa nafasi hiyo kutokana na uchache wa shule zenyewe pamoja na uhaba wa madaraha?

Hizo namba huwa mnajiandikia tu kujifariji.
 
Yes, kuna madarasa bado ni mabovu, yes kuna watoto wanakaa chini na matatizo mengine kama hayo.

Lakini tusilitazame kwa mhemko na kushindwa kumpa Rais Samia Suluhu maua yake;

- Katika kipindi kisichozidi miezi 20, Rais Samia kajenga madarasa 23,000. Ina maana ndio ujiulize kama asingejenga ingekuwaje?

- Kafanya makubwa kwa nafasi yake kwa muda mfupi, tumpe muda zaidi afanye makubwa zaidi.

- Mahitaji ya madarasa yanaongezeka kila siku, tuwe wakweli kabisa jamani, hili tatizo haliwezi kuisha kwa muda mfupi.

Rais Samia Suluhu anaenda vizuri, apewe support.

Exactly Rais Samia Suluhu amefanya makubwa sana hasa upande wa elimu ukiachiliambali madarasa 23,000 Serikali ya Rais Samoia Suluhu imetangaza kujenga madarasa 9000 kwa shule za msingi na awali
 
Yes, kuna madarasa bado ni mabovu, yes kuna watoto wanakaa chini na matatizo mengine kama hayo.

Lakini tusilitazame kwa mhemko na kushindwa kumpa Rais Samia Suluhu maua yake;

- Katika kipindi kisichozidi miezi 20, Rais Samia kajenga madarasa 23,000. Ina maana ndio ujiulize kama asingejenga ingekuwaje?

- Kafanya makubwa kwa nafasi yake kwa muda mfupi, tumpe muda zaidi afanye makubwa zaidi.

- Mahitaji ya madarasa yanaongezeka kila siku, tuwe wakweli kabisa jamani, hili tatizo haliwezi kuisha kwa muda mfupi.

Rais Samia Suluhu anaenda vizuri, apewe support.

Miundombinu ya kujifunzia inaimarisha ili kila mtoto wa Kitanzania aweze kupata elimu
 
Ipo siku tutakuja kufahamu ukwel wa yote. Naogopa kama tutagundua muda ukiwa umeenda
 
Ongezeko la machawa ni janga Kwa taifa.

Njaa Njaa Njaa
 
Yes, kuna madarasa bado ni mabovu, yes kuna watoto wanakaa chini na matatizo mengine kama hayo.

Lakini tusilitazame kwa mhemko na kushindwa kumpa Rais Samia Suluhu maua yake;

- Katika kipindi kisichozidi miezi 20, Rais Samia kajenga madarasa 23,000. Ina maana ndio ujiulize kama asingejenga ingekuwaje?

- Kafanya makubwa kwa nafasi yake kwa muda mfupi, tumpe muda zaidi afanye makubwa zaidi.

- Mahitaji ya madarasa yanaongezeka kila siku, tuwe wakweli kabisa jamani, hili tatizo haliwezi kuisha kwa muda mfupi.

Rais Samia Suluhu anaenda vizuri, apewe support.

Ila walimu hamna!
 
Back
Top Bottom