Mabraza wa Kariakoo na dili zao

Mabraza wa Kariakoo na dili zao

Dah hii ni Extra Miles Bruh ... Nimewakumbuka ma bro wa TMK, tembea Tandika yote ile tena shuka mpaka Yombo huko Relini, Mnanda daily Mtaani tena hapo Mateja Kibaoooo

Rip all of em
Chichi Baunsa,Bangua,Nanga Boy Simela,Mudy Gayi,Ogola,Ally Mbumo,Njeche nk

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Iseee! Patel kama ndo wenyewe hao mbona ulichukua pesa ndogo sana. Hapa code inazingatiwa maaana kuna vitu nikiconnect balaa.
Nikapata mchongo unatofautiana kidogo sana na huo basi muhindi akaruka hewani anatafuta mtu wa kusafirisha madini kutoka congo mpk tz hapo kumbuka wajomba zangu kitambo wako kwenye hizo mishe na ndio walioniunganisha na muhindi na wao wako Congo, kiufupi nilienda kwa lori sikupata shida mpk wakati wa kurudi mzigo ninao naambiwa kuwa makini madini huwa yana harufu. Basi nikajibebisha kwa dereva aliekua anarudi bongo ili yangu yaende bwana eee kadri nilivyokua naisogelea bongo shetani ananimbia utajiri huo unao toroka..... Sikua na simu lakini kila mji nilikua na maelekezo yake na kumbe kuna mtu sikuwa najua kama ananifatilia kila steps! Nafika mpkaani nikapanda bus mpka dar ile kufika tu wazee hawa hapa nikatoa mzigo nikapewa changu kwa usalama wangu sikwenda hotel walinitafutia night club asubuhi nikarudi zangu kwangu na maokoto kusubiri madili mengine. Umenikumbusha moja ya harakati zangu...... Siku nikipata muda ntaongeza manjonjo na viuongo kuficha id yangu nielezee vizuri. jf kuna watu wengi
 
Iseee! Patel kama ndo wenyewe hao mbona ulichukua pesa ndogo sana. Hapa code inazingatiwa maaana kuna vitu nikiconnect balaa.
Nikapata mchongo unatofautiana kidogo sana na huo basi muhindi akaruka hewani anatafuta mtu wa kusafirisha madini kutoka congo mpk tz hapo kumbuka wajomba zangu kitambo wako kwenye hizo mishe na ndio walioniunganisha na muhindi na wao wako Congo, kiufupi nilienda kwa lori sikupata shida mpk wakati wa kurudi mzigo ninao naambiwa kuwa makini madini huwa yana harufu. Basi nikajibebisha kwa dereva aliekua anarudi bongo ili yangu yaende bwana eee kadri nilivyokua naisogelea bongo shetani ananimbia utajiri huo unao toroka..... Sikua na simu lakini kila mji nilikua na maelekezo yake na kumbe kuna mtu sikuwa najua kama ananifatilia kila steps! Nafika mpkaani nikapanda bus mpka dar ile kufika tu wazee hawa hapa nikatoa mzigo nikapewa changu kwa usalama wangu sikwenda hotel walinitafutia night club asubuhi nikarudi zangu kwangu na maokoto kusubiri madili mengine. Umenikumbusha moja ya harakati zangu...... Siku nikipata muda ntaongeza manjonjo na viuongo kuficha id yangu nielezee vizuri. jf kuna watu wengi
Asante sana.. binafsi nitasubiri kwa hamu kusoma toka kwako....
 
Iseee! Patel kama ndo wenyewe hao mbona ulichukua pesa ndogo sana. Hapa code inazingatiwa maaana kuna vitu nikiconnect balaa.
Nikapata mchongo unatofautiana kidogo sana na huo basi muhindi akaruka hewani anatafuta mtu wa kusafirisha madini kutoka congo mpk tz hapo kumbuka wajomba zangu kitambo wako kwenye hizo mishe na ndio walioniunganisha na muhindi na wao wako Congo, kiufupi nilienda kwa lori sikupata shida mpk wakati wa kurudi mzigo ninao naambiwa kuwa makini madini huwa yana harufu. Basi nikajibebisha kwa dereva aliekua anarudi bongo ili yangu yaende bwana eee kadri nilivyokua naisogelea bongo shetani ananimbia utajiri huo unao toroka..... Sikua na simu lakini kila mji nilikua na maelekezo yake na kumbe kuna mtu sikuwa najua kama ananifatilia kila steps! Nafika mpkaani nikapanda bus mpka dar ile kufika tu wazee hawa hapa nikatoa mzigo nikapewa changu kwa usalama wangu sikwenda hotel walinitafutia night club asubuhi nikarudi zangu kwangu na maokoto kusubiri madili mengine. Umenikumbusha moja ya harakati zangu...... Siku nikipata muda ntaongeza manjonjo na viuongo kuficha id yangu nielezee vizuri. jf kuna watu wengi
Noma sana!
 
Miaka hiyo sina hela afu ujana mwingi......kidogo nipagawe.

Nikamcheki braza yangu MUBA MUBANDA....mzee wa kazi zote pale kariakoo.

MIMI: Kaka mdogo wako sina kitu afu unavyojua lazima avensis iingie barabarani siwezi kukaa kinyonge, madogo wa maghorofani wananitambia kinoma.

MUBANDA: Dogo sikia mimi nakupa dili sikupi hela, Kwanza wewe mtoto wa down town...nakuelewa hutoniangusha. Sasa ni hivi nakufundisha kupiga watu ""KIJERUMANI"

MIMI: Kupiga watu MUBA?

MUBANDA: Ndiyo kupiga watu namaanisha kuwaibia dogo. Sio kuiba kwa kutumia nguvu ila kwa kutumia akili, leo jioni twende ukajifunze kwa vitendo ili uive.

Braza Muba mubanda akaninanga sana mda huo"""WEWE MTOTO WA MJINI UNAKOSA HELA UNALIALIAWAKATI WAJINGA KIBAO WA KUWAPIGA KWA KUTUMIA AKILI? ACHA UJINGA TUTAKUFUKUZA DAR SALAAM URUDI NACHINGWEA ......Madai yake ukizaliwa dasilamu jiji la makamba enzi hizo hutakiwi kukosa hela.

JIONI IKAFIKA: Sasa jioni imefika braza MUBA MUBANDA na braza yangu mwingine MUDI MUZUNGU wakanichukua mpaka kkoo kule wanapouza vitu vilivyotumika.....wakaniambia kua kuna pasta ataleta computer zilizotumika ili kuziuza sasa anatakiwa kupigwa...nikae mkao wa kula nijifunze mchezo...wao walishaupanga wiki mbili nyuma leo wanakamilisha tu...mm nitulie nijifunze.

Baada ya saa lizima yule mchungaji kafika na gari aina ya dastun pick up enzi hizo ndio gari za kubebea mzigo ya kishua kafika na mzigo wa computer umejaa nyuma na kawakabidhi mabraza zangu kama madalali wa kumuuzia.

Kumbe ule mzigo mchungaji kaupiga sehemu huko kanisani na inatakiwa wahusika wamdake pale akishauzabna wahusika wenyewe ni wazee wa kanisa wamepewa habari na mabraza zangu ambao wanajifanya madalali kitambo tu..ina maana mabraza wamemzunguka pasta bila yeye kujua wapo sehemu wanasubiria wamkamate ns vidhibiti.

Ila mpango wa mabraza lazima mzigo uuzwe kwanza wachukue hela afu ndio wawastue wazee wa kanisa ili pasta akamatwe.

Na vile vile anayeuziwa tayari alikua ameshatoa cha juu kwa kuwashukuru mabraza kwa kumletea dili tamu...na pia mchungaji alikua ameshatoa cha juu kuwashukuru mabraza kwa kumtafutia mteja wa mali.

Na vilevile wazee wa kanisa walikua wameshatoa cha juu kuwashukuru mabraza kwa kuwaonyesha mwizi wao.
Na mabraza walikua na mpango wa kumzunguka muuzaji na mnunuzi hela ikiwekwa mezani.

Makubaliano yalikua hivi...kwa kua mali ni za wizi...basi hela watachukua mabraza na kumletea mchungaji....yeye hatakiwi kuonekana pale sehemu ya makabidhiano.

Na mnunuzi yeye atatoa hela afu mzigo ataufuata kule ambapo leo ndio ipo stendi ya mwendokasi gerezani.
Mpango wa mabraza ni kumdakisha muuzaji na mnunuzi kwa wakati mmoja wote.

Yaani wakipewa hela wampelekee mchungaji wanamdakisha kabla ya kumpa hela na jamaa anaechukua mzigo wanamdakisha kabla hajaondoka na mzigo...afu hela zote wanakunja wao...na kujifanya dili limeshitukiwa.

Mimi nipo pale kuangalia mchezo na kujifunza ili huko mbele nicheze madili mengine.

Saa mbili ucku mchungaji kaja...kabana sehemu mbali na gari ya mzigo ilipopaki anasubiri hela.

Mnunuzi kakutana na mabraza pale kidongo chekundu kawapa hela nusu nyingine atamalizia mzigo akiuweka katika himaya yake.......afu wao wanampelekea mchungaji hela sababu enzi hizo hakukua na haya mambo ya kutumiana hela kwenye simu...hasa hizi dili chafu.

Wazee wa kanisa nao wamekuja na wamebana sehemu wanamsikilizia mnunuzi wamtie red handed na vifaa.....afu watamalizana na kijana wao mchungaji pale tu atakapokua na hela za mauzo mkononi...hivyo wamejigawa makundi mawili ya vikosi kazi.

Wakati huo mabraza nao wamejipanga wakichukua ile hela nusu toka kwa mnunuzi wataiacha kwangu....pembeni ya barabarani afu mm nitakua kama naokota mfuko...na kutokomea.

NB:Kumbuka hapo wameshakula hela za watu wote watatu ...kwa kujifanya waleta dili kwa mnunuzi na muuzaji na kujifanya watu wema kwa aliyeibiwa.

Mpango ulikua hv...wakimkamatisha pasta wao wanakula kona....tutakutana magomeni mikumi.....Na mm nikichukua lile fuko pale barabarani nipotee tutakutana magomeni.....tujipongeze kwa utapeli wetu uliofanikiwa!

Mda huo kkooo kila mtu yupo bize hata hawajui kama watu tupo kazini.

BAS MUDA UKAFIKA:
Pasta kaja na dastun yake imejaa macomputer used ya kanisa...mzee kasalimiana na mabraza afu kaelekea sehemu kujibanza kusubiri hela.

Dereva wa dastun kaelekea kule relini kupaki gari kusubiri wanunuzi.

Mnunuzi kakutana na mabraza wakampanga mzigo tayari kawapa hela nusu afu kaelekea kule relini lilipopaki dastun kuchukua mzigo.

Wazee wa kanisa wakajigawa makundi mawili na vijana wao, moja kwenda kule relini kuzuia gari.....lisitoke mpaka polisi waje na jingine la kumtaiti pasta mpaka polisi waje.

Mabraza wamechukua hela wakaitia kwenye mfuko wakaja wakaudondosha mbele yangu nilikua nimekaa barabarani nje ya kibaraza cha duka ambalo limeshafungwa tayari na nikaubeba mimi huyo kwenye daladala za kimara zinapopaki naitafuta magomeni mikumi hakuna kugeuka nyuma full uoga 🤣🤣🤣😂😂.

Msala wa nyuma niliadithiwa baadae na mabraza wapigaji watoto wa Kariakoo na Ilala.

ITAENDELEA.........!!!!!

Muendelezo Soma Mabraza wa Kariakoo na dili zao
Aiseh ni kamaaa!!
 
Iseee! Patel kama ndo wenyewe hao mbona ulichukua pesa ndogo sana. Hapa code inazingatiwa maaana kuna vitu nikiconnect balaa.
Nikapata mchongo unatofautiana kidogo sana na huo basi muhindi akaruka hewani anatafuta mtu wa kusafirisha madini kutoka congo mpk tz hapo kumbuka wajomba zangu kitambo wako kwenye hizo mishe na ndio walioniunganisha na muhindi na wao wako Congo, kiufupi nilienda kwa lori sikupata shida mpk wakati wa kurudi mzigo ninao naambiwa kuwa makini madini huwa yana harufu. Basi nikajibebisha kwa dereva aliekua anarudi bongo ili yangu yaende bwana eee kadri nilivyokua naisogelea bongo shetani ananimbia utajiri huo unao toroka..... Sikua na simu lakini kila mji nilikua na maelekezo yake na kumbe kuna mtu sikuwa najua kama ananifatilia kila steps! Nafika mpkaani nikapanda bus mpka dar ile kufika tu wazee hawa hapa nikatoa mzigo nikapewa changu kwa usalama wangu sikwenda hotel walinitafutia night club asubuhi nikarudi zangu kwangu na maokoto kusubiri madili mengine. Umenikumbusha moja ya harakati zangu...... Siku nikipata muda ntaongeza manjonjo na viuongo kuficha id yangu nielezee vizuri. jf kuna watu wengi
Hii si yakukosa
 
Iseee! Patel kama ndo wenyewe hao mbona ulichukua pesa ndogo sana. Hapa code inazingatiwa maaana kuna vitu nikiconnect balaa.
Nikapata mchongo unatofautiana kidogo sana na huo basi muhindi akaruka hewani anatafuta mtu wa kusafirisha madini kutoka congo mpk tz hapo kumbuka wajomba zangu kitambo wako kwenye hizo mishe na ndio walioniunganisha na muhindi na wao wako Congo, kiufupi nilienda kwa lori sikupata shida mpk wakati wa kurudi mzigo ninao naambiwa kuwa makini madini huwa yana harufu. Basi nikajibebisha kwa dereva aliekua anarudi bongo ili yangu yaende bwana eee kadri nilivyokua naisogelea bongo shetani ananimbia utajiri huo unao toroka..... Sikua na simu lakini kila mji nilikua na maelekezo yake na kumbe kuna mtu sikuwa najua kama ananifatilia kila steps! Nafika mpkaani nikapanda bus mpka dar ile kufika tu wazee hawa hapa nikatoa mzigo nikapewa changu kwa usalama wangu sikwenda hotel walinitafutia night club asubuhi nikarudi zangu kwangu na maokoto kusubiri madili mengine. Umenikumbusha moja ya harakati zangu...... Siku nikipata muda ntaongeza manjonjo na viuongo kuficha id yangu nielezee vizuri. jf kuna watu wengi
Kaa pale , dah sisteri mpaka hapo ID yako wafiche wengine ila wewe ni dada angu hizo harakati zako zimekutambulisha vilivyo kwangu nakumanya vyema .

Wale wahindi wako walishanichezea mchezo mchafu ila alhamdulilah nilikuja kulala na dada yao .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Kaa pale , dah sisteri mpaka hapo ID yako wafiche wengine ila wewe ni dada angu hizo harakati zako zimekutambulisha vilivyo kwangu nakumanya vyema .

Wale wahindi wako walishanichezea mchezo mchafu ila alhamdulilah nilikuja kulala na dada yao .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Mi sio dada ako bwana wwee! Nina uhuru wa kuongea hapa sababu hata mume wangu hajui
Vitu ambavyo nimewahi kufanya na sembuse familia yangu kaka kama wewe..... Sina kaka ujue, braza alizamia kitambo ujerumani mpaka sasa ivi namsubiri labda ipo siku ntamuona!!!.. Mi roho ngumu sina baba wala mama niliyopitia na uanaume wako hujawahi na hutawahi!. Hata humu jf member wawili tu ndo wananijua tena kupitia id tofauti na hii.
 
Natupia dili lilonipatia maokoto kizembe,
Basi 2016 niko zangu shoga angu akanipigia simu wee leo dada uko wapi? Fanya haraka kesho saa kumi uwe umefika kuna ramani huku. Basi nilifika kwa muda muafaka nikakutanishwa na boss.. Huyu bosi yeye ni dalali wa mabosi wenye pesa zao basi nikaelekezwa mchongo uko hivi unapewa pesa unaingia pori kununua mazao na kila mtu anapewa pesa kulingana na uaminifu wake na aliempeleka. Tulikua wengi wengine watu wazima kabisa kama kumi ivi! Basi baada ya mawaiza ya hapa na pale tukaanza kugawiwa pesa Yule shoga alipewa mil 100, mimi 50 wengine mpka mil 200 inategemea uzoefu! Hapo mnakubaliana bei kama gunia la mahindi ni laki moja bei mliyofungia basi ikipungua ni yako hakuna malipo rasmi ni akili yako tu! Mungu alivyomkubwa kama baada ya siku mbili jioni yake tunajiandaa tuanze safari ya pori boss alipigwa mzinga bonge la ajari aligongwa na roli kiufupi alitoka vipande vipande..... Huku wanachama tukaitana inakuaje tukimbie au?! Mtandao mkubwa tutakamatwa twende msibani tukasikilizie, basi mpaka msiba unaisha jamani hakuna alieuliza wala nn!! Wahuni wengine walienda kuchoma ofisi yake kupoteza ushahidi kabisa.
Yule shoga angu akaniambia hapa kila mtu njia yake ikipatikana ramani tutatafutana mie huyooooo mpaka Zanzibar, nikatoa kwanza 10ml ya kunipoza kula bata nikamsuprise shemeji yenu nikamtumia tiketi anifate,. Kufika full misifa babe mpambanaji wewe( kimoyoni laiti ungejua nyau wewewee)
Basi hiyo pesa niilipata bila stress wala kuvuja jasho kwa aina yoyote ile. Pesa iliobaki tulijenga kamjengo mkoani hukoo nikakaa kusubiri simu nyingne.
 
Back
Top Bottom