Mabraza wa Kariakoo na dili zao

Hapo umepambana au umeingia kwenye mtego wa kuzurumu?.
 
Kwenye hii season kuna ushauri mzuri sana ila sasa nina wasiwasi na ushauri wako kwa vijana au wadogo zako.

Je, ni lazima wapitie njia yako as kufundishwa na hao unaowaita mabraza, maana katika kila njia uliyopitia nimesoma mabraza wako hawakuwa na njia sahihi ya kupata mkate ni njia hatarishi!.

So kuna haja ya kurekebisha kwa kuwaeleza vijana, wadogo zako kuwa mabraza si lazima wawe wezi, vibaka, wazurumao ni hata mabraza smart wanaokubali kuwashika mikono wadogo zao.

Mfamo hata wewe kwa sasa, baada ya mafanikio labda ya madini (najua kwa sasa DM yako ipo busy madogo na vijana wakitaka uwape connection) hapo ina maana hawatapitia kule mwanzo ulipopitia kwenye ukabaji na utapeli ila utawashika mkono kupitia mafanikio ya sasa.

Aluta ...
 
Umeongea kwa usahii kabisa....na nakubaliana na ww!!!
 
Mungu ni mwema.......mshukuru Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…