Mabucha tofauti......

Kwani nikipita nikala chipsi kuku mtaani na then nikaja kula nyama yako kuna shioda gani si unataka tushibe wote na tunaanza mwanzo mwisho mpaka nishibe na wewe
Nataka wote tuachiane appetite zetu...na kama ni appetizer tule pamoja...kila kitu tushee...sio unakula huko unarudi na mamikono machafu alafu unaparamia ugali wangu....mwisho wa siku itabidi tuache kula kwenye sahani moja!
 
Lakini pia point ya msingi kuhusu nyama ni CHAKULA so nyama ipo ili watu WALE kisha WASHIBE..Ndo maana unaposikia njaa mwili unahitaji KULA na sio kula chakula cha aina gani!Aina ni UTASHI na uhitaji ni CHAKULA!
Nyama ni sehemu muhimu ya mlo....lazima izingatiwe.
 
Nataka wote tuachiane appetite zetu...na kama ni appetizer tule pamoja...kila kitu tushee...sio unakula huko unarudi na mamikono machafu alafu unaparamia ugali wangu....mwisho wa siku itabidi tuache kula kwenye sahani moja!

Jitahidi basi kunivutia wakati natoka ofcn nisipite gengeni kula chipsi kavu na mihogo ya kuchemsha japo naipenda
 
lizzy kwake ni tit for tat...Ni fahari wawili kwenye zizi moja....
Hiyo habari ya zizi sio kabisaaaaa...uzuri wa tit for tat ni kwamba ukiwa mwema na mimi ntakuwia mwema mpaka ushangae.
 
Jitahidi basi kunivutia wakati natoka ofcn nisipite gengeni kula chipsi kavu na mihogo ya kuchemsha japo naipenda
Uvutiwe mara ngapi?!Alafu na wewe kama mvuto hamna unashindwa nini kurudi na kachumbari ukaniambia niikaangie chips kesho!?Au kaeproni kamaana nikavae nikikarangiza?!
 
Mimi napendelea hata zile nyama za kwenye makopo!!! Chumvi kwa wingi, standardized kokote pale duniani. Na ukizijulia kuzifungua, mtu weweeee.... usiku, jioni, asubuhi, adhuhuri, mchana, twende tu!! Hamna anayekuhoji wala kukukodolea macho. Kwenye mikate, kwenye chapati na kwa kuziunga kidogo, poa tu!! Yanini kwenda kusimama kwenye mibucha na kutoka huko na shombo na miinzi ikiwa inakufata nziiiiiiii nyuma nyuma, eti tu umejibebea nyama fresh!! mweee!!!

Najua wengine mnazipenda lakini mnaziogopa kwa kutojua kuzifungua... maana kukatwa vidole na tule tubati, ni noo -- nooouma!!! lol 😉
 
Uvutiwe mara ngapi?!Alafu na wewe kama mvuto hamna unashindwa nini kurudi na kachumbari ukaniambia niikaangie chips kesho!?Au kaeproni kamaana nikavae nikikarangiza?!


Aise kumbe mbona bado ni kipofu aise
Nakuambia kuanzia leo utaona mambo yake yatakuwa moto moto sana na nitahakikisha hupitii kweney mihogo wala nini tena
 

mkuu nahisi kama nimekuelewa
halafu nahisi kama sijakuelewa hivi lol
 
Hahahhahaha....asante SteveDii..umenifurahisha kwakweli.
 
Aise kumbe mbona bado ni kipofu aise Nakuambia kuanzia leo utaona mambo yake yatakuwa moto moto sana na nitahakikisha hupitii kweney mihogo wala nini tena
Kwahiyo tumefikia muafaka ama?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…