macerebrity wanaoshi kwa mama/wazazi

macerebrity wanaoshi kwa mama/wazazi

kwa mtt wa kiume alifikisha umri wa kuoa s maadili kuendelea kuish na wazaz, ni lazma atafute jinsi ya kujitegemea. 2kumbuke maneno ya Mungu ktk Biblia takatifu kwamba mwanamme/mke atawacha wazaz na kuambata na kuwa mwl mmoja. Hvyo kuendelea kukaa chni ya wazaz ni tatizo! Nan atakuwa kichwa cha nyumba? Mama au wewe mtt! Lazma kutengeneza mji wako mtt wa kiume, chemsha akili! Mbarikiwe!
 
I'm very independent. Been on my own since I was 19. I can't even recall the last time I asked my parents for money.

I love having space in my life. I place high value on the freedom and time to do, behave, and think as I want to without having to worry about being controlled or influenced by someone else.

And the chance of that happening increases when one has to live with his or her parent(s) under the same roof.

So under normal circumstances I would not want to live with my mother, be it in her house or my house.

But then again we all have different circumstances. If someone sees it okay to live with their parent(s) even though he or she is old enough to be on his or her own, who are we to judge?

Some people are victims of circumstances and unless you know the specific details of those circumstances, it is imprudent to surmise on the reason(s) that make them live with their parents.
 
Sisi tunaoangalia basketball mamas boy kibao na ndio wanaomake things happen kuanzia le bron james, kevin durant, derick rose, ray allen etc..

Mwaka 2008 during Nba draft derick rose alifurahi sana alivyokuwa drafted na chicago bulls 1st pick kwamba atakuwa home chicago kwa mama huku anacheza NBA,, na jamaa wanalipwa hela nyingi sana lakini kuwa home ni kama blessings.. Black america loves their families a lot..

Hata mimi nimeondoka home sababu ya girlfriend tu lakini girlfriend akiwa hayupo,, nikipata time tu huyo kwa mamaaa.. Its a very nice atmosphere to be home with your precious mom.. There is no one like your mother,,,
 
Ndugu Tiqo, ujumbe umefika na umewakera watoto wa mama wengi. Ukitaka kujua hilo we hesabu wanatoa povu hapo juu. Wanaogopa kuruka kwa mbawa zao kwa visingizio lukuki. King'asti, endelea kuwapa somo, huenda wakabadili mawazo!

kuna watu hapa naona wamesimama hoja mtu aishi apendavyo kijamii haipo hivyo kabisa mtu anapotoka nje ya mstari anapaswa kurudishwa kwenye mstari, unakumbuka kesi ya Songea jamaa alikuwa anaishi na mama yake mzazi mpaka akamgeuza kuwa mke wake akawa anamlala mama yake mzazi watu hili hawalioni kama laweza tokea, mtu akiishi muda mrefu na wazazi wake zaidi 30+ hata akili huwa zinapotea hana maarifa ya kujitegemea kila kitu anapewa na wazazi watu hawa pindi wazazi wao Mungu anapo wachukua hugeuka kero mitaani mara umepigwa ngeta n.k
 
Hata mimi nimeondoka home sababu ya girlfriend tu lakini girlfriend akiwa hayupo,, nikipata time tu huyo kwa mamaaa.. Its a very nice atmosphere to be home with your precious mom.. There is no one like your mother,,,

Kwanini usikae nae hapo kwa mama ako huyo girl ukaendelea kuinjoi blessings
 
Una hakika gani kuwa yeye msanii ndio mtegemezi na si kwamba ukaaji wake ni msaada kwa huyo mama yake?

Mimi nakushauri uache umbea na kupenda kushobokea maisha ya watu usiojua mipango yao. Mimi ninaishi na mama yangu na nitakupa mfano wangu.

Kati yangu na mama hakuna asiyeweza kujilisha wala kujivalisha. Nilipomaliza chuo nikaanza kazi, nilihamia kigamboni nikapanga huko na mama tukawa tunaonana mara moja au mbili kwa mwezi. Ndani ya miezi 9 nilikuja kubaini kuwa mama afya yake inadeteriorate rapidly japo alikuwa haumwi.

Nilichobaini ni upweke tu kwani baada ya mimi kuondoka hapo nyumbani alibaki peke yake. Ndio mke wangu akugundua tatizo na akashauri tukakae na mama na sasa hatumuoni akizeeka kwa kasi kama awali. Ile hali ya kukaa nje jioni peke yake haipo.. sasa akipatikana mwanamke mbea kama wewe atakachosema ni kwamba mimi siwezi kujilipia kodi ndio ninakaa nyumbani kwa mama. Mmbea wa namna hiyo hajui kama nimejenga au ninajenga, yeye atawahi tu kuzungumzia anayoona yanampatia riziki.

Acha umbea mwanaume, mtavishwa shanga msutwe

Kama una machungu na mwanao anayeishi kwako, na hutaki hilo, mwambie.

Habari za kupayuka kwa maisha ya ma celebrity usiowajua wasiokujua ni embarassing to say the least.

You are insulting your intelligence.

Acha hizo habari mbofu mbofu
Ukiwa maarufu BONGO haimaanishi automatically unakuwa na kipato cha kukuwezesha kujitegemea, umaarufu unakuongezea mzigo tu wa matumizi ambayo maybe yange epukika ka usingekuwa maarufu
so kuondoka kwa bi mkubwa ni BAADAE SANAAA.

Unaweza kumuondolea mtu upweke remotely?

Kwani kukaa na mama maana yake huna uwezo wa kukaa mwenyewe?

Vijana msiwe wenye kuchunguza maisha ya watu kwa namna ya ushabiki namna hii. Nani ajuaye mipango ya mwenzake mpk mumuhukumu kuwa analishwa?

If I have to declare interest, mimi nilikaa na baba yangu till 38. Alikuwa na nyumba kubwa lkn sikuona sahihi kwake kuishi all alone kwa kuwa tu mimi nina uwezo wa kupanga. Mimi na mke wangu tulikaa pale mpk baba alipofariki ndio tukahamia kwetu. Mom boys ni jina la kishambenga tu ambalo halimaanishi udhaifu in actual fact.

Kama unaishi peke yako lkn maisha yako yanatawaliwa na hofu ya nikifanya hivi majirani wataniona dhaifu, basi bado hujawa mwanaume. Jirani au jamii isiwe remote control ya kukufanya uishi usivyoweza mwishowe ukapotea

Umenichekesha sana yaani hii ndo sababu ya kukufanya uhame kwenu kisa kupisha na mama yako mlango wa chooni si heshima? kuna ubaya gani ukikaa kwenu then ukasevu money ambayo ulikuwa ulipie pango? Sioni mantiki ya kupanga kama nyumbani kwenu ni pakubwa na unaweza kaa mpaka utakapokuwa na kwako!
Kuliko nilipe kodi ya nyumba more than 1,5Million TSH kwa mwaka bora nikae kwa mama na hiyo hela nisevu.....

Mbona unajitaabisha sana kwa kutafuta sifa tu?

Hawa wote uliowataja si wewe mwenye kuwalisha wala kuwahudumia na pengine hujui ni nani huwakirimu mahitaji yao, ila umeona ni vyema tu kuweka maisha yao hadharani kwa ajili ya kujikweza kwako.

Sikia ushauri wangu ewe mwana usiye na akili ya kuwaza yaliyo yako: Maisha yako ni yako na kamwe yasiathiriwe na mijadala ya wapita njia. Hawajui ulipotoka, hawaifahamu njia uliyopitia hata unakokwenda hawakujui. Iweje leo mliokutana nao njiani wajivike umahiri wa kuyachambua maisha yako na kujifanya watabiri wa kesho yako? Ishi kwa kadiri ya mipango yako na si kwa jinsi watu wengine wanavyofikiri.

Kama mama yako hana nyumba au ni muhuni kiasi unaona aibu kukaa naye karibu, usiwachambe wenzio.

Hii ni matokeo ya kudumisha mila na desturi za kurithiana.

Mama Condorada Ngonyani mwenye umri wa miaka 70 anaishi kinyumba kama mke na mume na mwanaye wa tatu wa kumzaa mwenyewe akidai kuwa mara baada ya kufariki mume wake, Mzee Mapunda alimchagua mtoto wake amrithi baba yake.

Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma wameiomba Serikali kupitia Wizara ya Maendelo ya Jamii, Jinsia na wtoto kuangalia kati sheria inayomruhusu Mtoto na Mama Mzazi kuweza kuishi kindoa




Umati wa watu wapatao 400 ulifurika kwa Mganga wa Jadi Flora Ndembo Namabengo wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma wakiiomba Serikali ichukue Mkondo wa Sheria dhidi ya condorada ngonyani na joseph Mapunda.

DSC08437.JPG

Joseph Mapunda mwenye umuri wa miaka 40 amesema ameweza kuishi kindoa na Mama yake Mzazi Condorada Ngonyani 70 baada ya yeye kukubaliana wenyewe yeye na mama yake mzazi kuishi kindoa kama mume na mke.


Alipo ulizwa Mama alikiri kuwa kweli wameishi kindoa kwa miaka 10 na anampenda Mume wake ambaye ni Mtoto wake Joseph Mapunda.
DSC08439.JPG
Mama Condorada Ngonyani mwenye umuri wa miaka 70 ambaye ana ishi kinyumba na mtoto wake watatu wa kumzaa mwenyewe kama Mke na Mume hapo anaonekana akisononeka kwa nini jamii iingilie ndoa yake
DSC08440.JPG
Kwa mkoa wa Ruvuma hii ni mara ya kwanza mtoto wa kiume Joseph Mapunda pichani hapo juu kutembea na mama yake mzazi.
Wana Ruvuma wanauliza tume jikwaa wapi watanzani hadi kupoteza mila desturi na maadili ya mtanzania pia kukiuka sheria za dini
DSC08435.JPG
Joseph Mapunda ana sema upendo ni upendo amempenda mama na anaishi kindoa wamependana nyie watu mnataka nini kwetu ?
DSC08436.JPG
Mama Condorada Ngonyani anasema mara baada ya kufariki mume wake Mzee Mapunda alimchagua mtoto wake amrithi baba yake
DSC08438.JPG


 
Kwanini usikae nae hapo kwa mama ako huyo girl ukaendelea kuinjoi blessings

Sio heshima kukaa na girl friend kwa mama,,, but alone kisela inapendeza sana.. Kwanza hata mazaz anafurah sana to see your son around.. Kuna watu wengi sana wanatamani wangekuwa na mama zao mpaka leo hii sema hawajapata hiyo chance..

Sasa waliopata nafasi ya kuitumia waache waitumie, maana kuna siku hiyo nafasi ya kuwa karibu na mama hutaikosa, unaweza wewe ukatungalia au mama akatangulia kuondoka duniani..

Kama mzaz wako yupo hai hasa mama na unaishi nae mji mmoja like dar why not enjoy her blessings at home?
 
Hata kiswahili hujui kazi umbea na kufuatilia mambo ya watu, next time sema MPO sio MUPO.
Hapa ndio utashindana na mimi hadi asubuhi. Kwani nani alikwambia kuwa TID anamtegemea mama yake kwa chakula na kuamua mambo yake? What if mama ndio ananufaika na msaada wa TID hapo nyumbani, au umbea wako umekushughulisha mpk ukajua nyumba ile chakula na umeme analipa nani?


Mimi nina mke na mtoto na ninakaa kwa mama. Hakuna jamii wala mwanamke yeyote wa dizain yako anayeweza kunifanya nimuache mama yangu peke yake kila siku anitumie mashtaka jirani kasogeza mpaka, bomba limepasuka maji hayafiki nyumbani, TANESCO wamekata umeme, n.k eti kisa jamii.

ANGALIZO: Wewe unayejifanya unakaa mwenyewe akili yako imekua ndio unaonekana kilaza hasa na hujiamini. Unaamini kuwa jamii ndio inakupangia la kufanya kwa hiyo unaishi kwa hofu ya fulani atanionaje. Fedha ambayo ungeitumia kumalizia nyumba uhamie kwako unaitumia kupanga kwa kuwa unaogopa jamii itakuonaje. Unaongozwa na jamii wewe, wala sio na akili yako.



Confidence haijengwi na kuishi kwa kuogopa jamii. Think what is right for you regardless what voyeurs are going to say. Kama wewe umehama kwa kuwa watu wanasema basi hiyo ni dalili kuwa unaongozwa na external facts na sio akili yako. Wangapi waliuza nyumba za urithi wakaendelea kuishi kwenye maghetto na kukaa kwao mtaani hakukuwasaidia?

Mwanamke atakayeolewa na mwanaume wa dizain yako ajue anaishi na mwanamke mwenzake. Haiwezekani mwanaume ukawa una swing kwa kila majirani watakalosema. Siku watakayosema unamdekeza mwanao basi kwa kuwa huna akili utampeleka boarding hata ya hovyo na ataishiwa kubakwa.

Wakati huu unaongea umbea hapa, hujui pengine TID au hweao wengine uliowataja wanajenga mijengo yao ya hatari ila wewe unayeishi kwa mdomo na macho ya kutizama jirani anaishije unapanga na kujiita mjanja. Usipende kufuatilia maisha ya watu usiowajua. Haikusaidii maishani mwako na kamwe haikuongezei maksi mbele za wanaume wenye tabia za kiume.

Wewe una matatizo ya smiling, mom boy! Grow up! Ndiyo maana mnagongewa wake zenith. Ona ulivyo mkubwa ila wa hovyo kabisa huna lugha za kiume eti ushambenga! Inaelekea wewe ni toto la mama sana. Hama kwenye! Unapenda mtelemko kwa kisingizio eti mama anakonda ukihama dah mzee you need to grow up. Mkeo anasapoti ujinga wako ila SHE IS NOT HAPPY LIVING AT FAMILY HOUSE WITH YOUR MOMMA .
 
Kwa sababu kuishi kwa wazzi wakati una umri mkuwa si sawa.... EBU SOMA HII NA UICHUKE .........Over time, adult kids have stopped learning to solve problems and entertain themselves because adults/parents are quick to jump in and fix things for them. It’s done out of love and with the best of intentions, but over tim eadults/parents have gone from caring for their adult kids , to caretaking.

Waje matoto ya mama wasome hapa. Ukweli nashangaa kuona idadi ya vijana wanaotetea kukaa kwao inaongezeka! Hii hali sio nzuri. Kijana watakiwa kuanzisha mji wako kama babako alivyokuwa na mji wake.

Nina kaka yangu amekaa nyumba ya mzee mpaka dingi namchukua akae kwangu mzee anatanua tu kwenye nyumba ya family hajui kulipa kodi na Bahati mbaya hata kumtunza mzee hakuweza sababu alikuwa mom boy. Mpaka mzee anafariki alikuwa hamuhesabu kama mtoto wa kiume kiumeni.

Jitahidi ujenge family yako umpe furaha na heshima mkeo. Kwa mama mke anakuwa hana daytime, mlete mama kwenye mji wako naye aheshimu mji wako

Mke atakuheshimu na kukupenda kama vile mamaako alivyopata heshima alipojengewa mji wake na babaki.
 
Wewe una matatizo ya smiling, mom boy! Grow up! Ndiyo maana mnagongewa wake zenith. Ona ulivyo mkubwa ila wa hovyo kabisa huna lugha za kiume eti ushambenga! Inaelekea wewe ni toto la mama sana. Hama kwenye! Unapenda mtelemko kwa kisingizio eti mama anakonda ukihama dah mzee you need to grow up. Mkeo anasapoti ujinga wako ila SHE IS NOT HAPPY LIVING AT FAMILY HOUSE WITH YOUR MOMMA .

Yaelekea umekereka eeh! Limited thinking ...that's your problem.

Nilichojaribu kuuambia kwa mifano ni kwamba sio kila anayeishi na mama yake ni kwa sababu yeye anamtegemea mama, bali upo uwezekano mama anahitaji msaada.

Mama yangu hajawahi kuwa mwajiriwa, ametulea kwa kufanya biashara ndogo ndogo ambazo uwezo huo hanao tena. Maneno yako ya kukurupuka (kama alivyokurupuka huyo shostito mwenzako) hayakuweka in consideration kuwa mama naye anaweza kuwa mtegemezi.

Mama ana nyumba, so do I. Lakini nyumba yangu si kubwa kumuaccomodate na yeye kama ambavyo nyumba yetu ya urithi ilivyo ni kubwa. Sasa sioni ni akili gani unatumia kumshitaki mtu ambaye humjui mazingira yake.

Na kama ulifikiri nimeoa kiruka njia kama hicho ulichooa wewe unachozunguka huku roho juu juu basi umekosea. Kugongewa wife hakuna formula kwa hiyo kama unaishi kwa kujitutumua ili mkeo asigongwe, there is a day utajikuta unamvua nguo akagongwe kwa mikono yako.

Na kudhihirisha jinsi ulivyo mmbea, unaconclude kuwa mke wangu hana furaha kukaa na mama yangu kwa kuwa unadhani mama yangu ni kama mama yako ambaye ameshindikana mtaani. Mama yangu ni mzee (76) na si mwenye kushindania vitu kama mama yako kiasi amkere mke wangu. By the way, mke wangu ndio hasa namtegemea kuniambia shida za mama kwani wanapatana zaidi ya mama anavyopatana na dada yangu (binti yake). Usilinganishe maisha yako na tabia za mama yako na maisha ya TID na mama yake TID.

Endelea kubishana na kutoka mapovu lkn jua kuwa ni tabia ya ajabu sana kwa mwanaume kuacha shughuli zako kuanza kuangalia fulani anaishije. Humjui na wala hujui malengo yake, unawezaje kuwa mtabiri wa kesho yake?
 
kuna watu hapa naona wamesimama hoja mtu aishi apendavyo kijamii haipo hivyo kabisa mtu anapotoka nje ya mstari anapaswa kurudishwa kwenye mstari, unakumbuka kesi ya Songea jamaa alikuwa anaishi na mama yake mzazi mpaka akamgeuza kuwa mke wake akawa anamlala mama yake mzazi watu hili hawalioni kama laweza tokea, mtu akiishi muda mrefu na wazazi wake zaidi 30+ hata akili huwa zinapotea hana maarifa ya kujitegemea kila kitu anapewa na wazazi watu hawa pindi wazazi wao Mungu anapo wachukua hugeuka kero mitaani mara umepigwa ngeta n.k

Akili yako inagota mapema sana. Tena una taahira ya uelewa sio bure. Naona umeamua kutuwekea na picha ambayo bila shaka haiendani na kitu kinachozungumzwa hapa.

Juzi hapa wanafunzi wa IFM wameingiliwa na mateja, je tukio hilo moja ndio kigezo kwamba kukaa hostel ni vibaya? Tumia akili yako wewe.

Nachoweza kukueleza ni kuwa, umbea ndio unaokufanya unashindwa kutanua akili yako na kutafuta sifa kumekupofusha ukafikiri wewe ndio uko sahihi saaana. Hebu tumchukulie huyo mume wenu TID kama mfano: (Nimesema mume wenu kwa kuwa wenyewe mmeamua kufuatilia maisha yake binafsi as if mnataka awaoe):

Mtu kuishi na mama yake na mtu kumtegemea mama yake ni mambo mawili tofauti. Kama TID anamtegemea mama yake kwa mahitaji, kiukweli si jambo jema. Hata hivyo, kwa kuwa siijui hali yake na nini kitakuwa kimepelekea hilo, basi si vyema kwangu kuanza shutuma dhidi yake.

Kwa upande mwingine, TID anaweza akawa anakaa na mama, lkn ni yeye mwenye kuwasapoti hapo nyumbani kwa mahitaji muhimu. Lets say nakaa nyumbani na nina ajira ya uhakika. Nikaona ni vyema kuendelea kuwepo hapo wakati najenga nyumba yangu. Uwepo wangu pale nyumbani na uwezo wangu wa kiuchumi unanifanya mm niwe nategemewa na familia kuwapatia mahitaji (baadhi) labda ndio nalipa umeme, maji na nanunua chakula.

Sasa katika hali ya kushangaza, wanaume (mnaojiita wanaume) tayari mmekurupuka na kukonkludi kuwa TID analelewa. Je huwa mnakuwepo kwao asubuhi wanapopanga bajeti za matumizi yao au ndio mnawashwa?

Na hizi tabia zenu ni matokeo ya kukulia kwenye nyumba za kupanga, tena uswahilini. Huko ndio mmejifunza umbea kwa mama zenu kiasi sasa maisha ya watu wengine ndio mada zenu.

Naanza kupata picha za maisha yenu kwa maneno yenu kwani mwenzako amesema ni mbaya kupishana na mama koridoni na taulo. Hapo napata picha ya nyumba ya kupanga ile ya kushea choo nje sasa mnadhani watu wote wanaishi hivyo. Wenzenu tuna nyumba zenye vyoo ndani kwa hauna nafasi ya mimi kukutana na mama na taulo wakati nina choo ndani kwangu. Halafu inaonesha ndio dizain zile za kutoka na taulo uwanjani kupiga mswaki na mitongotongo yako huku unasubiri foleni yako ya kuoga...poor you!

Acheni umbea wanaume
 
Akili yako inagota mapema sana. Tena una taahira ya uelewa sio bure. Naona umeamua kutuwekea na picha ambayo bila shaka haiendani na kitu kinachozungumzwa hapa.

Juzi hapa wanafunzi wa IFM wameingiliwa na mateja, je tukio hilo moja ndio kigezo kwamba kukaa hostel ni vibaya? Tumia akili yako wewe.

Nachoweza kukueleza ni kuwa, umbea ndio unaokufanya unashindwa kutanua akili yako na kutafuta sifa kumekupofusha ukafikiri wewe ndio uko sahihi saaana. Hebu tumchukulie huyo mume wenu TID kama mfano: (Nimesema mume wenu kwa kuwa wenyewe mmeamua kufuatilia maisha yake binafsi as if mnataka awaoe):

Mtu kuishi na mama yake na mtu kumtegemea mama yake ni mambo mawili tofauti. Kama TID anamtegemea mama yake kwa mahitaji, kiukweli si jambo jema. Hata hivyo, kwa kuwa siijui hali yake na nini kitakuwa kimepelekea hilo, basi si vyema kwangu kuanza shutuma dhidi yake.

Kwa upande mwingine, TID anaweza akawa anakaa na mama, lkn ni yeye mwenye kuwasapoti hapo nyumbani kwa mahitaji muhimu. Lets say nakaa nyumbani na nina ajira ya uhakika. Nikaona ni vyema kuendelea kuwepo hapo wakati najenga nyumba yangu. Uwepo wangu pale nyumbani na uwezo wangu wa kiuchumi unanifanya mm niwe nategemewa na familia kuwapatia mahitaji (baadhi) labda ndio nalipa umeme, maji na nanunua chakula.

Sasa katika hali ya kushangaza, wanaume (mnaojiita wanaume) tayari mmekurupuka na kukonkludi kuwa TID analelewa. Je huwa mnakuwepo kwao asubuhi wanapopanga bajeti za matumizi yao au ndio mnawashwa?

Na hizi tabia zenu ni matokeo ya kukulia kwenye nyumba za kupanga, tena uswahilini. Huko ndio mmejifunza umbea kwa mama zenu kiasi sasa maisha ya watu wengine ndio mada zenu.

Naanza kupata picha za maisha yenu kwa maneno yenu kwani mwenzako amesema ni mbaya kupishana na mama koridoni na taulo. Hapo napata picha ya nyumba ya kupanga ile ya kushea choo nje sasa mnadhani watu wote wanaishi hivyo. Wenzenu tuna nyumba zenye vyoo ndani kwa hauna nafasi ya mimi kukutana na mama na taulo wakati nina choo ndani kwangu. Halafu inaonesha ndio dizain zile za kutoka na taulo uwanjani kupiga mswaki na mitongotongo yako huku unasubiri foleni yako ya kuoga...poor you!

Acheni umbea wanaume

mkuu pole sana,naona jamaa wamepiga chini ya mkanda!
 
mkuu pole sana,naona jamaa wamepiga chini ya mkanda!

Kwa akili yako utaona hivyo, lkn ukiwa na fikra zilizonyooka kidogo utagundua kuwa hauko sahihi.
1. Nisingekuwa na haja ya kusema especially yanayonihusu
2. Nani anayemjua mwenzake hapa; HAKUNA

Inasikitisha tu kuona watoto wa kiume wana mambo ya mabinti ya kuchunguza wanaume wenzao wamevaa nini na wanakula nini.

Style hizi ndio maana unaona leo hii teja anaweza kumlawiti mtoto wa kiume sababu ya uwepo wa wanaume-mashostito wanaovaa hereni.

Na mtalawitiwa sana, mpaka mjue matendo ya kiume ni yepi na nguo za kiume ni zipi.
 
Kuna wakati huwa nawaza, kwa nini mtu ni maarufu halafu bado anaishi kwa wazazi? Kwa mfano, Mlelwa kwa umaarufu wako hustahili kuishi kwa mama, Baraka wa 69 records kwa nini bado upo kwa mama? TID, unaishi hananasifu kwa mama hivi kweli unachangia chakula na mama? Yaani mama akufungulie mlango ukitoka kwenye show? Msechu unaishi kwa mama mdogo? Mnanishangaza maceleb wetu...

Duh! Umbea uliopitiliza mahitaji ya umbea ya nchi nzima.

Hivi wanawake mmeumbwaje, loh! Au ni wa kiume wewe umeshakaziwa demu wako ndio umekuja kupaka?!

Kukaa kwa mama si lazima ulelewe, yawezekana we ndio mlezi wa mama au unakaa kwao kiasi unawajua kuwa wananunuliwa dawa ya mswaki? Siku moja mtajasutwa hadharani
 
Kuna wakati huwa nawaza, kwa nini mtu ni maarufu halafu bado anaishi kwa wazazi? Kwa mfano, Mlelwa kwa umaarufu wako hustahili kuishi kwa mama, Baraka wa 69 records kwa nini bado upo kwa mama? TID, unaishi hananasifu kwa mama hivi kweli unachangia chakula na mama? Yaani mama akufungulie mlango ukitoka kwenye show? Msechu unaishi kwa mama mdogo? Mnanishangaza maceleb wetu...

life tight mazee , uwezekano upo kuwa wao ndio waanahudumia familia . So bora akae nao kupunguza gharama .
 
Family always comes first .. sioni tatizo kuishi na wazazi...
 
Baba V kapita, naenda kumpokea jomba toka FRENSI
 
Last edited by a moderator:
Kila mtu na maisha yake kimpango wake.Mbona wengine wanaishi ferry kule kwenye mitumbwi na wala sio wavuvi.
Na nyie mekaa kuchunguzana mpaka chupi.
 
ndo uuamini sasa......

Mambo ya ndani ya familia hakuna ajuae isipokuwa alovaa hicho kiatu...........

Kwanza hawa wasanii wana kipato gani?
Hizo milioni 5-6 za kuoanga nyumba mbagala si bora wakanunue miguu 20 kwa 20 vikindu wapachuke tofali waishi humo?????
Ukizingatia usupastaz bongi ni wa msimu? Muda wako ukipita tu umeumia....

La sivyo kesho na keshokutwa wakija kuomba msaada kwenye tv msiwanyanyapae...

Mkuu umenifurahisha sana na hiyo miguu 20x 20 vikindu!!ushauri mzuri kabisaaaaa.usupasta bongo ni sawa na Big G..wapi Mr Nice a.k.a kuku kapanda baiskel,wapi mamaa Mwasiti nalivua pendo,Juma nature?Chidi Benzino?wakati ukuta..sasa zamu ya Diamond domo na Linah
 
Back
Top Bottom