Asante mkuuKalpana na BonventureSr karibuni kwenye uchambuzi wa machache niliyoyaona
Nimecheka sana sikutegemea kukuta uchambuzi mfupi kama historia ya utopolo ligi ya mabingwa hahahahaahKalpana na BonventureSr karibuni kwenye uchambuzi wa machache niliyoyaona
Mbona machache sana mkuuuπKwasababu ni machache
Mbona kifupi sana......ongeza nyama sasa
Timu ndogo inapocheza huwezi kutegemea kuona mambo mengiMbona kifupi sana......ongeza nyama sasa
Kina Evelyn Salt Numbisa zipompa joseph1989 wataelewa nini sasa hapa....πππ
Mbona kifupi sana......ongeza nyama sasa
Kina Evelyn Salt Numbisa zipompa joseph1989 wataelewa nini sasa hapa....πππ
Mwakakundi naona umekufa kiume. Hongera!Yanga hii basi tu. Timu kali sana. Mwarabu ataenda kusimulia na magodoro yao waliyokuja nayo kwa mkapaView attachment 3205529
Maji yamelowaπππππππππππππππππππleo wachezaji wamecheza kifaza sana
jamaa wajinga sana wametuumiza mnooo mimi wa kufunga simu leoMaji yamelowaπππππππππππππππππππ