kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
1. Nafasi ya kiungo mshambuliaji no. 10 imeendelea kuwa ni tatizo kwa Simba, ni aibu timu kama Azam ina Feitoto halafu Simba haina mtu wa maana nafasi ile.
2. Simba inatakiwa ifanyie kazi eneo la pumzi kwa wachezaji , mara nyingi inataka kuanzia dk ya 60 nakuendelea.
3. Yusuph Kagoma ni kiungo mkabaji sahihi kwa timu ya Simba
Kama angeanza naamini angekua man of the match.
3. Inawezekana kocha hajajua stability na weakness za wachezaji wake, refer wanavyorudia kufanya makosa yaleyale, na substitution zake.
4. Che fondor Malone apunguze kujiamini kupitiliza, makosa madogo madogo yanaweza kusababisha kelele za mashabiki zimuondoe mchezoni.
5. Iangaliwe namna Valente Nouma acheze kama winga, kwani amewazidi vingi mawinga waliopo simba.
6. Kinachoigharimu Na kitakachoendelea kuigharimu Simba ni eneo la kiungo no. 10 pamoja na winga zote mbili 7 na 11 kwani hakuna wachezaji wa maana wa kucheza nafasi hizo. Kama ndio mfumo wa kocha basi umefeli ajaribu mwingine.
Soma Pia: Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024
Kiujumla Simba haijacheza vizuri kimfumo ila ni juhudi binafsi za wachezaji kulazimisha matokeo dakika za mwisho.
2. Simba inatakiwa ifanyie kazi eneo la pumzi kwa wachezaji , mara nyingi inataka kuanzia dk ya 60 nakuendelea.
3. Yusuph Kagoma ni kiungo mkabaji sahihi kwa timu ya Simba
Kama angeanza naamini angekua man of the match.
3. Inawezekana kocha hajajua stability na weakness za wachezaji wake, refer wanavyorudia kufanya makosa yaleyale, na substitution zake.
4. Che fondor Malone apunguze kujiamini kupitiliza, makosa madogo madogo yanaweza kusababisha kelele za mashabiki zimuondoe mchezoni.
5. Iangaliwe namna Valente Nouma acheze kama winga, kwani amewazidi vingi mawinga waliopo simba.
6. Kinachoigharimu Na kitakachoendelea kuigharimu Simba ni eneo la kiungo no. 10 pamoja na winga zote mbili 7 na 11 kwani hakuna wachezaji wa maana wa kucheza nafasi hizo. Kama ndio mfumo wa kocha basi umefeli ajaribu mwingine.
Soma Pia: Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024
Kiujumla Simba haijacheza vizuri kimfumo ila ni juhudi binafsi za wachezaji kulazimisha matokeo dakika za mwisho.