Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
akina MkudeMadhara ya kuchukua wachezaji wa bei rahisi ndiyo haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akina MkudeMadhara ya kuchukua wachezaji wa bei rahisi ndiyo haya
kwa hiyo Yanga sio kubwa tena?Timu ili iwe kubwa africa lazima uwe umeshinda champions league ata mara moja mzeya sio kufika robo
Muulize jirani yako.Kwani matokeo yakoje huko! Nilikuwa mbali na tiivii.
Lakini ndio inayoongoza katika msimamo wa ligi ya pili kwa ubora AfricaUkiangalia Game ile timu ya Costantine hata haifai kuifunga Simba ni timu ndogo
Simba kwenye kundi lake ya pili..Nyie hata point hamnaSisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.View attachment 3172623
Al hilal kamshinda TP! Si habari nzuri kwetu UtopoloKwani matokeo yakoje huko! Nilikuwa mbali na tiivii.
Hata ka goli kamoja hatujafunga! Hali si hali huku UtopoloniSimba kwenye kundi lake ya pili..Nyie hata point hamna
hana namba 10 wa kumlisha,anajipambania mwenyeww,ahoua akae nje,mavambo aende 10,alafu atafutwe no 6 dizaini ya kagoma,na no 8 mzuri wa uhakika,maana mavambo atakuwa yupo 10.Lionel Christian Atebba,hana upampanaji hafai
Simba yanga sio timu kubwa africa bwana...tuacbe tantalila za magazeti.kwa hiyo Yanga sio kubwa tena?
MVP vipi?1. Jean Charles Ahoua hana hadhi ya kuichezea Simba, dirisha dogo timu itafute playmaker mwingine
2. Upangaji wa kikosi umeendelea kuwa tatizo kwa kocha wa Simba, kuwaanzisha kwa pamoja mabeki wa kati watatu kuliwapunguzia umakini katika kutimiza majukumu yao.
3. Timu imecheza vizuri zaidi baada ya Debora Fernandez kuingia, kama kikosi kingeanza hivi huku kikishambulia na kulinda kwa tahadhali, mechi ingemalizika kwa sare au ushindi kwa Simba.
Soma Pia: Full Time: CS Constantine 2-1 Simba Sc | CAF confederation cup| December 8, 2024
4. Lionel Christian Atebba ni mshambuliaji mzuri ila muda sio mrefu ataonekana garasa kama mchezeshaji ataendelea kuwa Jean Charles Ahoua (mechi ya leo ni mwanzo wa hiki)
5.Kocha wa Simba apunguze uoga akiwa ugenini alichokifanya leo ndicho alikifanya kwenye mechi na Al ahly tripoli, walio karibu naye wamwambie Simba ni timu kubwa jina tu linatosha kuzipa hofu timu pinzani hata zikiwa kwao.
All in all Nafasi ya kufuzu bado ni kubwa.
Nyie sasa wachambuziAhoua kwa namba anayocheza hana msaada kwa timu. Ni mchezaji liable / weak sana number TEN inatakiwa uwe jitu la mavitu na utulivu wa kutosha.
Kocha ana changamoto ya kupanga kikosi na hiyo ni kwa sababu ya kuamini kulinda zaidi na kukosa umakini langoni mwa mpinzani.
Ahoua kwa sasa ni mzigo kwa Timu kitendo cha kocha kumweka nje AWESU ni kutukosea mashabiki huyu mchezaji wake hana sifa ya kucheza hata Tabora United. Mchezaji hana hatari langoni mwa mpinzani utulivu zero , Passing zero & dribbling zero so what kind of professional player is this ?
Kocha anatukosea sana Simba fans AWESU yupo Deborah ana utulivu mzuri anaanzia benchi kweli ? Ahoua must Go anawakaba wenzake.
Hiloooo mabao 4 mechi mbili sufuriSisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.View attachment 3172623
Tupo under ze teboKwani matokeo yakoje huko! Nilikuwa mbali na tiivii.
Sisi ndiyo Simba SC AKA;Simba kwenye kundi lake ya pili..Nyie hata point hamna
Sisi ndiyo Simba SC AKA;Hiloooo mabao 4 mechi mbili sufuri
Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC. View attachment 3172900