Kabisa!Asilimia 95% ya hao waandamanaji ni Waislamu. Sijui kwa nini hawaandamani ISIS Alshabab na Boko Haram wanavyochinja Waislamu wenzao. Ni wanafiki tu.
Israel zidisha dozi.
NO MERCY
RTI
Wavae jezi!Mpaka tunaingia mitamboni miji hii kinawaka sasa
1. Paris
2. London
3. Berlin
Jana ilikua New York na pia Lebanon kunawaka moto kati ya polisi na waandamanaji wanaopinga uonevu wa Israel kwa Palestina
Umejuaje Kama ni waislamu ?Asilimia 95% ya hao waandamanaji ni Waislamu. Sijui kwa nini hawaandamani ISIS Alshabab na Boko Haram wanavyochinja Waislamu wenzao. Ni wanafiki tu.
Israel zidisha dozi.
NO MERCY
RTI
Hakuna cha taifa teule ni mtindio wako wa ubongo ulivyoaminishwa na vitabu walivyokuja navyo Africa, na kutuambia tufumbe macho kuja kufumbua wakawa wamebeba Mali zote, na bado unapigishwa magoti na kufumba macho na ubongo wako pamoja na kujua kusoma na kuandika lugha kadhaa. Hivi vyakula vya kizungu vimeleta athali Sana mutindio wa ubongo na nguvu za kiume na kutofikiri kabisa.
Labda kwako. Bila wao hata hii jamii FORUM ISINGEKUWEPO. kututawala walitutawala skupingi. Ila maendeleo ya dunian asilimia kubwa yameletwa na ngozi nyeupe.Hakuna cha taifa teule ni mtindio wako wa ubongo ulivyoaminishwa na vitabu walivyokuja navyo Africa, na kutuambia tufumbe macho kuja kufumbua wakawa wamebeba Mali zote, na bado unapigishwa magoti na kufumba macho na ubongo wako pamoja na kujua kusoma na kuandika lugha kadhaa. Hivi vyakula vya kizungu vimeleta athali Sana mutindio wa ubongo na nguvu za kiume na kutofikiri kabisa.
Wenzenu wanathubutu kuandamana kwny nchi za wenzetu,sie tukiambiwa tuandamane tunajifungia ndani.Kwanini wana andamana kwenye nchi za watu kwanini wasiandamane kwenye nchi za karibu hapo! Kwahiyo wanawaogopa boko haram, alshabab maana hatujasikia hata siku moja
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Wanafiki kweli kweli..... Kuna wakati Boko Haramu waliteka wanafunzi huko Nigeria... Zaidi ya mabinti 200 walitekwa... Lakini hatukuona haya maandamano.... Unafiki sana huu....Asilimia 95% ya hao waandamanaji ni Waislamu. Sijui kwa nini hawaandamani ISIS Alshabab na Boko Haram wanavyochinja Waislamu wenzao. Ni wanafiki tu.
Israel zidisha dozi.
NO MERCY
RTI
Dunia imeamua kuwatetea mana waarabu wenzao wanafiki
Kwanini wana andamana kwenye nchi za watu kwanini wasiandamane kwenye nchi za karibu hapo! Kwahiyo wanawaogopa boko haram, alshabab maana hatujasikia hata siku moja
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Wawarudishe huko kwao wakawasaidiye wenzao kupigana na Israel
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23]Wee muumini wa Mudy uwe unakaa kimya wanaume tunapokula kitimoto
Waandamanaji sio wapalestina ni raia wanaoumizwa na vitendo vya Israel
[emoji87][emoji848][emoji85][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23]popo 2 zavuka MTO, loooLabda kwako. Bila wao hata hii jamii FORUM ISINGEKUWEPO. kututawala walitutawala skupingi. Ila maendeleo ya dunian asilimia kubwa yameletwa na ngozi nyeupe.
WAKATI ISAAC NEWTON ANAGUNDUA FIRST LAW OF MOTION. BABU ZETU WALIGUNDUA POPO MBILI ZAVUKA MTO.
Fikiri