Machafuko Gaza: Ulaya sasa 'Kimeumana Rasmi'

Machafuko Gaza: Ulaya sasa 'Kimeumana Rasmi'

Asilimia 95% ya hao waandamanaji ni Waislamu. Sijui kwa nini hawaandamani ISIS Alshabab na Boko Haram wanavyochinja Waislamu wenzao. Ni wanafiki tu.

Israel zidisha dozi.

NO MERCY

RTI
Ficha ujinga wako! Pumbaffff
 
Hakuna cha taifa teule ni mtindio wako wa ubongo ulivyoaminishwa na vitabu walivyokuja navyo Africa, na kutuambia tufumbe macho kuja kufumbua wakawa wamebeba Mali zote, na bado unapigishwa magoti na kufumba macho na ubongo wako pamoja na kujua kusoma na kuandika lugha kadhaa. Hivi vyakula vya kizungu vimeleta athali Sana mutindio wa ubongo na nguvu za kiume na kutofikiri kabisa.
Jiulize Musa wa Torati ni muarabu wa Dubai au alikuwa muisraeli ndio ataelewa
 
Labda kwako. Bila wao hata hii jamii FORUM ISINGEKUWEPO. kututawala walitutawala skupingi. Ila maendeleo ya dunian asilimia kubwa yameletwa na ngozi nyeupe.
WAKATI ISAAC NEWTON ANAGUNDUA FIRST LAW OF MOTION. BABU ZETU WALIGUNDUA POPO MBILI ZAVUKA MTO.
Fikiri
Ambacho hujui ni kwamba wamejitahidi sana usijue historia yako.. zaidi ya vita vya majimaji
 
Wenzenu wanathubutu kuandamana kwny nchi za wenzetu,sie tukiambiwa tuandamane tunajifungia ndani.
Waende Gaza wakaandamane wakione cha moto kama ni rahisi. Wanaoandamana wengi ni wahamiaji tena wanatoka nchi hizo za kiarabu Ila leo wakiambiwa warudishwe kwao watakataa ndio hapo utajua ni unafiki mtupu
 
Dunia,kwani Biden ni nani? Ana mtazamo wako kama wengine lakini dunia ikikwamulia utakubali tu.

Unakumbuka maandamano ya BLM? Si dunia iliandamana,mbona yule askari ameshtakiwa japo mzungu?
Usifananishe ISRAEL na vitu vya kipumbavu
 
Labda wewe[emoji849][emoji849][emoji2961][emoji2961]
Kwa mujibu wa elimu dunia sio maneno yangu. kama kweli umeenda shule hautakuwa na ubishi kwenye swala hili.
 
Kwa mujibu wa elimu dunia sio maneno yangu. kama kweli umeenda shule hautakuwa na ubishi kwenye swala hili.
Kama ni hivyo basi kusingekuwa na sokwe tena
 
Kama ni hivyo basi kusingekuwa na sokwe tena
Sasa usibishane na mim ilibidi ubishane na mwalimu wako wakati anakufundisha. Pengine leo hii tusingekuwa tunasoma ivyo
 
Back
Top Bottom