Machafuko Gaza: Ulaya sasa 'Kimeumana Rasmi'

Machafuko Gaza: Ulaya sasa 'Kimeumana Rasmi'

Wanaojua kuunganisha nyuzi humu.Kuna watu walifungua uzi majuzi hapa wanashangilia mno hawa ni Hamas wa hapa Jf .

Sasa nisichoelewa inakuwaje tena watu wanalalamikia Israel wanachokifanya huko?

Hamas last 2 weeks walirusha Rockets za kufa mtu kule Israel je wale waliokuwa wanakufa Israel hawapaswi kuandamaniwa?Au ni mizoga tu?

Ukisoma mihemko ya Dunia awali wakati hii kitu inaanza ni kama Palestine walikuwa wameshachukua kombe alfajiri hao ndio waliowaponza wenzao sasa.
 
Labda kwako. Bila wao hata hii jamii FORUM ISINGEKUWEPO. kututawala walitutawala skupingi. Ila maendeleo ya dunian asilimia kubwa yameletwa na ngozi nyeupe.
WAKATI ISAAC NEWTON ANAGUNDUA FIRST LAW OF MOTION. BABU ZETU WALIGUNDUA POPO MBILI ZAVUKA MTO.
Fikiri
Aaii kweli POPO MBILI ZAVUKA MTO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanafiki kweli kweli..... Kuna wakati Boko Haramu waliteka wanafunzi huko Nigeria... Zaidi ya mabinti 200 walitekwa... Lakini hatukuona haya maandamano.... Unafiki sana huu....
Tena wanafiki wakubwa kweli!
 
Hili swali hutojibiwa,hata wanaorusha mawe wanadream kwenda kuishi Marekani,hapa ndipo tatizo linapoanzia.
Yaani hapo ndipo huwa nashangaa kila siku wanalalamika lakini wanazama baharini ukiwauliza wanaenda wapi ulaya nakuomba kuingia USA, kwanini asiende Morocco, Sudan huko hata Somalia haa haa haa haaa
 
Hakuna cha taifa teule ni mtindio wako wa ubongo ulivyoaminishwa na vitabu walivyokuja navyo Africa, na kutuambia tufumbe macho kuja kufumbua wakawa wamebeba Mali zote, na bado unapigishwa magoti na kufumba macho na ubongo wako pamoja na kujua kusoma na kuandika lugha kadhaa. Hivi vyakula vya kizungu vimeleta athali Sana mutindio wa ubongo na nguvu za kiume na kutofikiri kabisa.
Eti mtindio wa Ubongo,wako wapi mataifa ya kugusa Israel ? Wapalestina wanaisha wote huku Dunia ikiona,kila Taifa linaogopa kwenda kuwasaidia Wapalestina,mkiambiwa Israel na Marekani ni hatari Dunia nzima hamtaki, ngoja waishe sasa ndo mtajua
 
Hakuna cha taifa teule ni mtindio wako wa ubongo ulivyoaminishwa na vitabu walivyokuja navyo Africa, na kutuambia tufumbe macho kuja kufumbua wakawa wamebeba Mali zote, na bado unapigishwa magoti na kufumba macho na ubongo wako pamoja na kujua kusoma na kuandika lugha kadhaa. Hivi vyakula vya kizungu vimeleta athali Sana mutindio wa ubongo na nguvu za kiume na kutofikiri kabisa.
Eti vyakula vya kizungu vimeleta athari ya Ubongo,kwa hiyo wazungu huwa wanakula vyakula vya kiafrika ndo maana wanatengeneza ndege na wako juu kiuchumi si ndiyo.?,
Hivi kabla ya kuandika.unafikiri hata kidogo?
 
Kwa mujibu wa elimu dunia sio maneno yangu. kama kweli umeenda shule hautakuwa na ubishi kwenye swala hili.
Hiyo siku sokwe wengine wanapobadilika kuwa binadamu kwanini wengine hawakubadilika?
 
Binadamu tuna akili za kipumbavu sana,

Dunia nzima imejaa Mapori kibao afu eti twapigana kisa ardhi
Hivi kule Antarctica si ile ardhi kubwa kushinda Israel, hehe, wapewe bure kabisa. 😂 😂 😂
 
Hivi kule Antarctica si ile ardhi kubwa kushinda Israel, hehe, wapewe bure kabisa. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mi mwenyewe nashangaa,

Nchi ya Australia TU kule wanamiliki bara Zima peke yao, wameshindwa ata kuiendeleza ardhi (10% TU ndo imetumika).

Ni mapori juu ya mapori wanakaa kangaroo na nyoka TU kule.

Ukienda Brazil, Amazon Ni mapori juu ya mapori.

Ukienda Canada, Ni nchi KUBWA mno karibia nusu nzima ya bara la AFRICA ila inazidiwa population ata na mkoa wa mwanza TU.

UNABAKI MDOMO WAZI, apa namlaumu pia aliwarudisha waisraeli pale wkt dunia Ina mapori kibao. Amekwenda kutengenezea mgogoro unaogharimu maisha ya watu sahv.

Sijui
BINADAMU TUMEKUA NA AKILI ZA NAMNA GANI kwa tamaa zetu za kipumbavu.

Afu Kuna jamaa mmoja eti sahv anafanya utafiti tukaishi Kwenye sayari nyingine, wakati hata Hii Dunia tulokuepo hatujaweza kuijaza hata nusu.
 
Mpaka tunaingia mitamboni miji hii kinawaka sasa
1. Paris
2. London
3. Berlin



Jana ilikua New York na pia Lebanon kunawaka moto kati ya polisi na waandamanaji wanaopinga uonevu wa Israel kwa Palestina

Kule kwa watani zangu karibu na Kitonga , mtu akichukizwa sana huwa anaenda anachukua kamba. Hawa wasichelewe kwa kuwa kweli jambo hili linachukiza😳
 
Binadamu tuna akili za kipumbavu sana,

Dunia nzima imejaa Mapori kibao afu eti twapigana kisa ardhi
Kwa hiyo uko tayari kuwapa wapalestina ardhi hiyo hapo mkoa wa Pwani au Morogoro?
 
Back
Top Bottom