Aliyekuletea dini iwe ni Ukristo au Uislamu nae ni mtu endelea kupambanaAcha
Kuabudu watu ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekuletea dini iwe ni Ukristo au Uislamu nae ni mtu endelea kupambanaAcha
Kuabudu watu ww
Aaii kweli POPO MBILI ZAVUKA MTO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda kwako. Bila wao hata hii jamii FORUM ISINGEKUWEPO. kututawala walitutawala skupingi. Ila maendeleo ya dunian asilimia kubwa yameletwa na ngozi nyeupe.
WAKATI ISAAC NEWTON ANAGUNDUA FIRST LAW OF MOTION. BABU ZETU WALIGUNDUA POPO MBILI ZAVUKA MTO.
Fikiri
Unavunjwa kiuno hata wakukupa maji ya kandoro hutapata mtu wakukugawia!Wenzenu wanathubutu kuandamana kwny nchi za wenzetu,sie tukiambiwa tuandamane tunajifungia ndani.
Tena wanafiki wakubwa kweli!Wanafiki kweli kweli..... Kuna wakati Boko Haramu waliteka wanafunzi huko Nigeria... Zaidi ya mabinti 200 walitekwa... Lakini hatukuona haya maandamano.... Unafiki sana huu....
Yaani hapo ndipo huwa nashangaa kila siku wanalalamika lakini wanazama baharini ukiwauliza wanaenda wapi ulaya nakuomba kuingia USA, kwanini asiende Morocco, Sudan huko hata Somalia haa haa haa haaaHili swali hutojibiwa,hata wanaorusha mawe wanadream kwenda kuishi Marekani,hapa ndipo tatizo linapoanzia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kila ndege muoga hukimbiza bawa lake haa haa haaUkitoa hiyo condition kesho huoni mtu barabarani.
Eti mtindio wa Ubongo,wako wapi mataifa ya kugusa Israel ? Wapalestina wanaisha wote huku Dunia ikiona,kila Taifa linaogopa kwenda kuwasaidia Wapalestina,mkiambiwa Israel na Marekani ni hatari Dunia nzima hamtaki, ngoja waishe sasa ndo mtajuaHakuna cha taifa teule ni mtindio wako wa ubongo ulivyoaminishwa na vitabu walivyokuja navyo Africa, na kutuambia tufumbe macho kuja kufumbua wakawa wamebeba Mali zote, na bado unapigishwa magoti na kufumba macho na ubongo wako pamoja na kujua kusoma na kuandika lugha kadhaa. Hivi vyakula vya kizungu vimeleta athali Sana mutindio wa ubongo na nguvu za kiume na kutofikiri kabisa.
Eti vyakula vya kizungu vimeleta athari ya Ubongo,kwa hiyo wazungu huwa wanakula vyakula vya kiafrika ndo maana wanatengeneza ndege na wako juu kiuchumi si ndiyo.?,Hakuna cha taifa teule ni mtindio wako wa ubongo ulivyoaminishwa na vitabu walivyokuja navyo Africa, na kutuambia tufumbe macho kuja kufumbua wakawa wamebeba Mali zote, na bado unapigishwa magoti na kufumba macho na ubongo wako pamoja na kujua kusoma na kuandika lugha kadhaa. Hivi vyakula vya kizungu vimeleta athali Sana mutindio wa ubongo na nguvu za kiume na kutofikiri kabisa.
Hiyo siku sokwe wengine wanapobadilika kuwa binadamu kwanini wengine hawakubadilika?Kwa mujibu wa elimu dunia sio maneno yangu. kama kweli umeenda shule hautakuwa na ubishi kwenye swala hili.
Binadamu tuna akili za kipumbavu sana,We need visitors from other palnets to remind us we are human and Earth is our home. Yaani tuna mabomu tunauana sababu ya ardhi?[emoji25].
Species ya ajabu sana. Akili tunaitumia kuunda mabomu na makombora🤣 tulipuane.Binadamu tuna akili za kipumbavu sana,
Dunia nzima imejaa Mapori kibao afu eti twapigana kisa ardhi
Hivi kule Antarctica si ile ardhi kubwa kushinda Israel, hehe, wapewe bure kabisa. 😂 😂 😂Binadamu tuna akili za kipumbavu sana,
Dunia nzima imejaa Mapori kibao afu eti twapigana kisa ardhi
Mi mwenyewe nashangaa,Hivi kule Antarctica si ile ardhi kubwa kushinda Israel, hehe, wapewe bure kabisa. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sisi Ni wapumbavu Sana,Species ya ajabu sana. Akili tunaitumia kuunda mabomu na makombora[emoji1787] tulipuane.
Mpaka tunaingia mitamboni miji hii kinawaka sasa
1. Paris
2. London
3. Berlin
Jana ilikua New York na pia Lebanon kunawaka moto kati ya polisi na waandamanaji wanaopinga uonevu wa Israel kwa Palestina