Machafuko Gaza: Ulaya sasa 'Kimeumana Rasmi'

Asee wazo zuri sana...kwann Wapalestina wasipewe hizo ardhi?
 
Ki
Waandamanaji sio wapalestina ni raia wanaoumizwa na vitendo vya Israel
Kosa la isriel liko wapi yaani wahuni warushe makombora ya kuuwa watu waachwe tuu unadhani hata baadhi ya wapalestina hawapendi hao wanamgambo sijui wewe mtanzania unapenda kwa lipi na huruma iko wapi wanajificha katika ya watoto sasa wanashughulikiwa nyumba hadi nyumba
 
Asilimia 95% ya hao waandamanaji ni Waislamu. Sijui kwa nini hawaandamani ISIS Alshabab na Boko Haram wanavyochinja Waislamu wenzao. Ni wanafiki tu.

Israel zidisha dozi.

NO MERCY

RTI
Mi naona sisi kama wanaadamu tunapaswa sasa kurudi kwenye kupima mambo kibinaadamu na sio vinginevyo cs tunaathiriwa saana na dini kiasi cha kushindwa kuchunga baina ya kupenda na kuchukia
 
Asilimia 95% ya hao waandamanaji ni Waislamu. Sijui kwa nini hawaandamani ISIS Alshabab na Boko Haram wanavyochinja Waislamu wenzao. Ni wanafiki tu.

Israel zidisha dozi.

NO MERCY

RTI
Acha ujinga wewe. Kwasababu wewe ni pumba,usidhani dunia zima ni mapunda wafia dini kama wewe
 
Ujue tu kuwa mwasiasa ndiye Mungu wa dunia hii. Yote haya tunayojadili ni kutokana na miungi hiyo yenye maamuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…