Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Hakuna asiyefahamu kuwa Bara la Asia ndiye tajiri mkubwa wa imani za kidini takribani asilimia 60 ya dini zimetoka katika bara la Asia niwazi kuwa ndiyo bara lenye ustaarabu mdogo kuliko mabara mengine hapa duniani,na kwasababu hizi imetengenezwa mfumo wa dini ili kuzitawala akili mbovu za hawa viumbe imagine watoto wa kike walikuwa wanazikwa wakiwa wazima.
Kulikuwa na Mstari wa watu wakiwa uchi huku tupu zao zikiingia katika tupu ya nyuma ya watu wenye same gender, njaa ilikithiri sababu ya utu wa madaraka vita vikawa haviishi, hivyo sijashangaa kuona imani zikatengenezwa ili kuweza kuutawala ulimwengu lakini pia, kwasasa inatafutwa chochoko ya kukamilisha neno la bibilia kwamba vita ya 3 itatokea na hapo ndipo mnyama atadhihirika(NWO) kitu ambacho marekani na mshirika wake wanakifanya kwa kasi kubwa ili kulifanya hili jambo kwa haraka zaidi, juzi tumesikia vikosi vya Israel vimevamia Rafah, jana Tayari helicopter Imepata ajali kitu ambacho kwa asilimia kubwa kunakuwa na mkono wa mtu katika hili tukio.
Lengo siyo kulipiza kisasi bali ni kuleta chokochoko ili kumkaribisha huyo mnyama wao waliyomkusudia.
Pia soma: Ikitokea Ukanda wa Middle East Waarabu wakaungana wakaipiga Israel na kuiangamiza. Je, asili ya Israel itabaki pale?
Kulikuwa na Mstari wa watu wakiwa uchi huku tupu zao zikiingia katika tupu ya nyuma ya watu wenye same gender, njaa ilikithiri sababu ya utu wa madaraka vita vikawa haviishi, hivyo sijashangaa kuona imani zikatengenezwa ili kuweza kuutawala ulimwengu lakini pia, kwasasa inatafutwa chochoko ya kukamilisha neno la bibilia kwamba vita ya 3 itatokea na hapo ndipo mnyama atadhihirika(NWO) kitu ambacho marekani na mshirika wake wanakifanya kwa kasi kubwa ili kulifanya hili jambo kwa haraka zaidi, juzi tumesikia vikosi vya Israel vimevamia Rafah, jana Tayari helicopter Imepata ajali kitu ambacho kwa asilimia kubwa kunakuwa na mkono wa mtu katika hili tukio.
Lengo siyo kulipiza kisasi bali ni kuleta chokochoko ili kumkaribisha huyo mnyama wao waliyomkusudia.
Pia soma: Ikitokea Ukanda wa Middle East Waarabu wakaungana wakaipiga Israel na kuiangamiza. Je, asili ya Israel itabaki pale?