Pre GE2025 Machi 8 tunaadhimisha Siku ya Wanawake au Siku ya Samia? Picha zake kutapakaa kwenye vitenge vya maadhimisho ni ili iwe nini?

Pre GE2025 Machi 8 tunaadhimisha Siku ya Wanawake au Siku ya Samia? Picha zake kutapakaa kwenye vitenge vya maadhimisho ni ili iwe nini?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Imekuwa nchi ya machawa. Kila mtu ni chawa sasa. Imekuwa nchi ya kipumbavu sasa hata kuvuta pumzi unamshukuru Samia.

Pumbavu kabisa. Inaboa na inakera.
Ndiyo maisha mzee
Ngoja sisi tulambe asali
Mitano tena kwa Maza
Hata kipind cha mwendazake kuna watu walikuwa wana enjoy life
 
Nchi ishapoteza nguvu kazi hii yaaani n uzwazwa Tu na hospital hakuna madoctor wala dawa
 
Akubalike mara ngapi we bwege? We ndio hukubaliki ndio mana ukajiuta "cute wife" wakati tunajua we ni nungaembe flani linalodanga ndoa unaziona kwenye TV
Mzee mbona umecharuka sana
Au amegusa kinyeo chako ebu punguza kelele kidogo vumilia amalize kukojoa uvae condolences zako

Jaman msisahau mitano tena kwa Maza jembe letu
 
Mzee mbona umecharuka sana
Au amegusa kinyeo chako ebu punguza kelele kidogo vumilia amalize kukojoa uvae uondoke zako

Jaman msisahau mitano tena kwa Maza jembe letu
 
Yaani hawa Marais wa Awamu ya 5 na 6 wameleta mambo ya AJABU na AIBU kabisa nchini

Sijui nani aliwaambia ukiwa Rais wa nchi hii basi wewe ndio ALPHA na OMEGA..una haki ya kusifiwa na kupambwa asubuhi, mchana na hadi usiku..AIBU
 
Kutwa kulia lia jukwaani onyesha hicho ki......mbe kama kinafanya kazi!
Kwani chawa mnaweza nini zaidi ya matusi wakati vichwa vimejaa poda?:BearLaugh::BearLaugh::KEKLaugh: leta tusi jipya tushtuke basi😏😏
 
Kwani chawa mnaweza nini zaidi ya matusi wakati vichwa vimejaa poda?:BearLaugh::BearLaugh::KEKLaugh: leta tusi jipya tushtuke basi😏😏
Onyesha tusi kichwa chako kimejaa udwanzi wa kila atakaye andika tofautina upuuzi wako ni chawa jifunze kupokea mawazo kinzani!
 
Onyesha tusi kichwa chako kimejaa udwanzi wa kila atakaye andika tofautina upuuzi wako ni chawa jifunze kupokea mawazo kinzani!
Umeandika tofauti au matusi?🤣🤣🤣 unaamua kuwa chawa basi walau kuwa na akili ili usiwe mzigo... bure kabisa :KEKLaugh: :KEKLaugh:
 
Wakuu,

Hii ni kali. Yaani kila kitu sasa hivi ni Samia, Samia, Samia! Kwani kampeni zimeanza wengine hatuna taarifa?

Msajili wa Vyama vya Siasa ni zaidi ya 0. Kuna maana gani ya kuwa hapo ofisini kama msumeno wako unakata sehemu moja tu wengine haufiki?

Yaani utafikiri ndio tunasherekea birthday ya Samia, kujaza sura Samia halafu mseme ni Siku ya Wanawake huo ni uzindiki. Yaani mnafosi mtu akubalike mpaka mnaboa. Hata haistui zaidi ya kuonekana wajinga tu.

Halafu ikifika muda wa kutoa tathimi za uchaguzi utaona wale chuchunge wakisema uchaguzi ulikuwa wa huru na haki. Unakuaje wa haki wakati rafu zimeanza mapema hivi?

Sasa hiki ni nini?🤦‍♀️🤮🚮🚮

Ukiwa na njaa halafu ni mvivu lazima ujikombekombe. Utakula wapi bila teuzi?
 
Kamanda chukua Vitenge ukashindie mtaani.
sio kushindia mtaani tu bali pia kwenye matukio muhimu kama vile mikutano, harusi, ibada, kutembelea wakwe, safari n.k


sasa gubu, chuki binafsi na roho mbaya zitawauma mpaka lini gentleman kwa mfano?

Jamuhuri stadium Dodoma imejaa mapema ni mwendo wa uji tu Dodoma nzima dah!🐒
 
Back
Top Bottom