Delacruzito
Senior Member
- Aug 5, 2019
- 123
- 141
Kwasababu ni Mwanamke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda chukua Vitenge ukashindie mtaani.kwani kuna mwananke aliezuiwa kuprint kitenge chenye sura yake?🐒
Ngoja sisi tulambe asaliYaani, ipo siku watafanya jambo kubwa la kuathiri watu wengi itakuwa too late
Ndiyo maisha mzeeImekuwa nchi ya machawa. Kila mtu ni chawa sasa. Imekuwa nchi ya kipumbavu sasa hata kuvuta pumzi unamshukuru Samia.
Pumbavu kabisa. Inaboa na inakera.
Mitano tena kwa MazaKwasababu ni Mwanamke
KumtangazaMbona uzi ni mzuri tu na mleta uzi hajakosea kitu. Je lengo la kujaza mapicha ya Samia kwenye sare za siku ya wanawake ni nini?
Mapema sanaLabda ni lazima kwa sasa kuwa chawa, usipokuwa chawa unatumbuliwa.
Mzee mbona umecharuka sanaAkubalike mara ngapi we bwege? We ndio hukubaliki ndio mana ukajiuta "cute wife" wakati tunajua we ni nungaembe flani linalodanga ndoa unaziona kwenye TV
Mzee mbona umecharuka sana
Au amegusa kinyeo chako ebu punguza kelele kidogo vumilia amalize kukojoa uvae uondoke zako
Jaman msisahau mitano tena kwa Maza jembe letu
Kutwa kulia lia jukwaani onyesha hicho ki......mbe kama kinafanya kazi!We nawe ni 🚮🚮🚮 kama hivyo vitenge, useless kabisa
Ukijikomba wewe inatosha.Jikombe ww km ni rahisi
Onyesha tusi kichwa chako kimejaa udwanzi wa kila atakaye andika tofautina upuuzi wako ni chawa jifunze kupokea mawazo kinzani!Kwani chawa mnaweza nini zaidi ya matusi wakati vichwa vimejaa poda?leta tusi jipya tushtuke basi😏😏
Umeandika tofauti au matusi?🤣🤣🤣 unaamua kuwa chawa basi walau kuwa na akili ili usiwe mzigo... bure kabisaOnyesha tusi kichwa chako kimejaa udwanzi wa kila atakaye andika tofautina upuuzi wako ni chawa jifunze kupokea mawazo kinzani!

Ukiwa na njaa halafu ni mvivu lazima ujikombekombe. Utakula wapi bila teuzi?Wakuu,
Hii ni kali. Yaani kila kitu sasa hivi ni Samia, Samia, Samia! Kwani kampeni zimeanza wengine hatuna taarifa?
Msajili wa Vyama vya Siasa ni zaidi ya 0. Kuna maana gani ya kuwa hapo ofisini kama msumeno wako unakata sehemu moja tu wengine haufiki?
Yaani utafikiri ndio tunasherekea birthday ya Samia, kujaza sura Samia halafu mseme ni Siku ya Wanawake huo ni uzindiki. Yaani mnafosi mtu akubalike mpaka mnaboa. Hata haistui zaidi ya kuonekana wajinga tu.
Halafu ikifika muda wa kutoa tathimi za uchaguzi utaona wale chuchunge wakisema uchaguzi ulikuwa wa huru na haki. Unakuaje wa haki wakati rafu zimeanza mapema hivi?
Sasa hiki ni nini?🤦♀️🤮🚮🚮
Nafikiri wewe ndio unatukana ila jitahidi sana kuwa na heshima sawa!Umeandika tofauti au matusi?🤣🤣🤣 unaamua kuwa chawa basi walau kuwa na akili ili usiwe mzigo... bure kabisa![]()
![]()
sio kushindia mtaani tu bali pia kwenye matukio muhimu kama vile mikutano, harusi, ibada, kutembelea wakwe, safari n.kKamanda chukua Vitenge ukashindie mtaani.