Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv tunawasingizia au ni kweli?kama ni kweli wanapinga basi hao ni machifu feki kabisa na wasichafue machifu wengine wenye akili timamu wa maeneo mengine ya Tanzania,hao sio machifu ni hasara kabisa.Dunia inaenda kasi sana Hv kweli viongozi wa wanyakyusa ndio wamefika hapo kweli chawa wamehamia kwa machifu.By any means necessary Machifu Mbeya hawataki maandamano ya Chadema👇View attachment 2907905
Sio machifu ni wachawi tu