Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,947
- 7,939
Nguvu ya machifu wa makabila mbalimbali imekuwa kubwa kipindi hiki cha kampeni. Kila mgombea anatamani abarikiwe na hawa Jamaa.
Nisichoelewa ni kama uchifu bado unatambulika kwa kiwango gani cha kisiasa kiserekali na kijamii.
Je, hawa jamaa wanaoonekana majukwaa ya kampeni ni machifu kweli wa makabila au ni wasanii.
Je, kabila linaweza kuamua au kuamuliwa na chifu liwe chama Fulani? Je Nyerere angalifurahi kuona uchifu ukienziwa kipindi Kama hiki cha uchaguzi.
Nisichoelewa ni kama uchifu bado unatambulika kwa kiwango gani cha kisiasa kiserekali na kijamii.
Je, hawa jamaa wanaoonekana majukwaa ya kampeni ni machifu kweli wa makabila au ni wasanii.
Je, kabila linaweza kuamua au kuamuliwa na chifu liwe chama Fulani? Je Nyerere angalifurahi kuona uchifu ukienziwa kipindi Kama hiki cha uchaguzi.