Machimbo ya Tshirt, suruali na Shirts Classic za kuvalia Tie

Machimbo ya Tshirt, suruali na Shirts Classic za kuvalia Tie

Wekeza kwenye kiatu. Tafuta Clark boots moja kali sana hapo Mwenge. Unavaa j3 hadi j2.
Hizi ndiyo zenyewe nilikuwa navaa wiki mpaka mwezi unakata wakaanza kuniita kwa cheo changu Ila wanaongezea mabuti ,sikujali nilikuja kuanza kubadili viatu siku niliposema ngoja nivue viatu kidogo nipimue nikiwa ofisini ,ofisi ikabadilika harufu ,staff mate wakakaa vikao upenuni kunisema nikaona Sasa basi
 
Ajira mpya nn?

Ushauri:

Usinunue nguo nyingi kwa pamoja, 70% utakosea zitakua fwamba. Just nunua shati 2 au moja, suruali mbili au moja.

Unaweza ukaanza na hizi special mfano ukaenda Sokoni Jeans Mawasiliano ukapata suruali 15k shati 15k etc.

Kununua nguo ni ongoing process sio siku moja umalize kila kitu.
atakuwa ajira mpya kapewa fungu la kujikimu😁
 
Hizi ndiyo zenyewe nilikuwa navaa wiki mpaka mwezi unakata wakaanza kuniita kwa cheo changu Ila wanaongezea mabuti ,sikujali nilikuja kuanza kubadili viatu siku niliposema ngoja nivue viatu kidogo nipimue nikiwa ofisini ,ofisi ikabadilika harufu ,staff mate wakakaa vikao upenuni kunisema nikaona Sasa basi
litisha😀 lakini yale si mabuti yamepanda atachomekea kweli akapendeza naona yale yanapendeza zaidi kadet na tshirt au jeans
 
Naombeni msaada wadau nahitaji shirts kadhaa za kuvaa ofisini, ziwe classic na bei iwe rafiki. Pia na tshirts kadhaa pia za Ukweli. Yaaani 7 shirts, 7 tshirts, 7 trousers na 7 Cadets.

Huku insta naona bei zimechangamka sana, shirt tsh 35,000 mpaka 45,000 moja na tshirts hivyo. Kama kuna machimbo Kariakoo tupeane location please.
Mcheki jamaa yangu anaitwa Obama 0746 901 180 anauza hizo vitu mpaka na tai zenyewe. Kila ijumaa anafungua mzigo mpya, na bei ni kitonga. Mwambie akutumie whatsapp picha za mashati ushindwe mwenyewe. Yupo kariakoo mtaa nimeusahau ila muongozo ni duka linaitwa SIACHI HELA lina bango kubwa..pembeni yake kwenye kichochoro ndio yupo yeye
 
Wekeza kwenye kiatu. Tafuta Clark boots moja kali sana hapo Mwenge. Unavaa j3 hadi j2.
Aiseeh!! Hawa Clark Ni kampuni ya nchi gani? Wako vyema Sana. Nina sandle 2 pairs za hii chapa Clark Aiseeh nazikubali mpaka kesho.

Alafu Kuna hawa wakuitwa ECCO Ni noma.
 
Back
Top Bottom