Simao Latino
JF-Expert Member
- Jan 11, 2025
- 477
- 608
Ukiibiwa smart TV ya 1.5m kisha ukaambiwa thibitisha kuwa ni Mali yako, utafanyaje??..Lina faida hili jambo?
Kaa utulie umetoka kudhalilisha na kuita watoto wa shule ya bunge uchafu, halafu unakuja na ishu ya nida dukani ili watu wafe njaa? Nida imewafikia asilimia ngapi ya watz, mwenzako alishawahi kusema no cheti cha kuzaliwa no ndoa, Magufuli akaipiga chini amri ya kidwanziNimewaza tu kwamba mtu akinunua bidhaa (mfano: smartphone ya 300,000/=) Muuza duka amuulize na Nambari yake ya NIDA ili jina la mnunuzi litokee kwenye receipt ya EFD, "automatically"
Nimewaza tu kwa sauti wadau. Please msinipige mawe..
Nitakuolea dada yako ili uniite shemeji..Kaa utulie umetoka kudhalilisha na kuita watoto wa shule ya bunge uchafu, halafu unakuja na ishu ya nida dukani ili watu wafe njaa? Nida imewafikia asilimia ngapi ya watz, mwenzako alishawahi kusema no cheti cha kuzaliwa no ndoa, Magufuli akaipiga chini amri ya kidwanzi
Shule ya Serikali kuiweka city center ni uchafu. Watumishi wa serikali hawajali kitu for so long as wanapokea mishahara mwisho wa mwezi..Kaa utulie umetoka kudhalilisha na kuita watoto wa shule ya bunge uchafu,
Uchafu kwa nani na kwa nini?Shule ya Serikali kuiweka city center ni uchafu.
Uwezekano wa kuandika taarifa za mnunuzi au mlipaji upo na baadhi ya machine ufanya hivo..... Infact ni muhimu receipt ionyeshe majina ya mnunuzi, muuzaji na kinachouzwa (kilichonunuliwa) pamoja na kiasi Cha fedha, tarehe nk.Nimewaza tu kwamba mtu akinunua bidhaa (mfano: smartphone ya 300,000/=) Muuza duka amuulize na Nambari yake ya NIDA ili jina la mnunuzi litokee kwenye receipt ya EFD, "automatically"
Nimewaza tu kwa sauti wadau. Please msinipige mawe..
Chamber za maji taka zinanuka balaa, madarasa chakavu..Uchafu kwa nani na kwa nini?
Kwa kawaida, mtu mwenye TIN anaponunua bidhaa, anatakiwa ampe muuzaji TIN yake ili iandikwe kwenye risitiNimewaza tu kwamba mtu akinunua bidhaa (mfano: smartphone ya 300,000/=) Muuza duka amuulize na Nambari yake ya NIDA ili jina la mnunuzi litokee kwenye receipt ya EFD, "automatically"
Nimewaza tu kwa sauti wadau. Please msinipige mawe..
Kwa hiyo uchafu si uwepo wa shule, ni miundombinu mibovu na uchakavu wa majengo.Chamber za maji taka zinanuka balaa, madarasa chakavu..
Utaoaje wakati akili huna!Nitakuolea dada yako ili uniite shemeji..
TIN namba si zipo na zina majina kamili.Ukiibiwa smart TV ya 1.5m kisha ukaambiwa thibitisha kuwa ni Mali yako, utafanyaje??..
Dada yako mbona ananipenda hivyo hivyo??..Utaoaje wakati akili huna!
Kijana wa miaka 18 anayo TIN??..TIN namba si zipo na zina majina kamili.
NIDA anayo?Kijana wa miaka 18 anayo TIN??..