KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,789
- 4,951
Mfumo mzuri ni kutumia namba ya utambulisho ambayo haitakuwa na ukomo wa umri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi iko vuruvuru mambo shagalabagala yaani hamna utaratibu na wala watu hawajali,ni huzuni🤗Uwezekano wa kuandika taarifa za mnunuzi au mlipaji upo na baadhi ya machine ufanya hivo..... Infact ni muhimu receipt ionyeshe majina ya mnunuzi, muuzaji na kinachouzwa (kilichonunuliwa) pamoja na kiasi Cha fedha, tarehe nk.
Badala ya kunijibu swali, eti na wewe unaniuliza tena swali..NIDA anayo?
Risiti bila jina la mteja??..Hizo mashine zina zina huo mfumo unaouzungumzia ila siyo nida. Jina la mteja na namba yake simu akitaka,lakini muhimu ni risiti halali.
Ndiyo.inatoka risiti inaonesha majina ya muuzaji,tin yake,location na bidhaa iliyouzwa pamoja na bei yake,mteja akitaka majina yake yawepo kwenye risiti kuna option nyingine kwa kutumia mashine hiyo hiyo,siyo kwamba hizo mashine hazina mahali pa kuandika taarifa za mteja,zinakuwa nazo.Risiti bila jina la mteja??..
Hakuna uthibitisho,hata tukija kwako tukaamua kusema tv uliyonayo ni ya wizi sijui utasema niniUkiibiwa smart TV ya 1.5m kisha ukaambiwa thibitisha kuwa ni Mali yako, utafanyaje??..
Mawe lazma upigwe sababu hamna namna ingine. Miaka 60 ya umaskini uliokithiri na watu wanachukuaga kodi kwa mwaka mara nne. Bado uwaongezee njia za kutukamua zaidi.Nimewaza tu kwamba mtu akinunua bidhaa (mfano: smartphone ya 300,000/=) Muuza duka amuulize na Nambari yake ya NIDA ili jina la mnunuzi litokee kwenye receipt ya EFD, "automatically"
Nimewaza tu kwa sauti wadau. Please msinipige mawe..
Okay..Ndiyo.inatoka risiti inaonesha majina ya muuzaji,tin yake,location na bidhaa iliyouzwa pamoja na bei yake,mteja akitaka majina yake yawepo kwenye risiti kuna option nyingine kwa kutumia mashine hiyo hiyo,siyo kwamba hizo mashine hazina mahali pa kuandika taarifa za mteja,zinakuwa nazo.
Ndio maana mimi nikaona kuwa hili ni tatizo linalohitaji solution sahihi kwa sasa..Hakuna uthibitisho,hata tukija kwako tukaamua kusema tv uliyonayo ni ya wizi sijui utasema nini
Mana receipt hazina nyingi hazina majina
Mkuu, receipt haina jina la mteja?? Wewe unaonaje??..Mawe lazma upigwe sababu hamna namna ingine. Miaka 60 ya umaskini uliokithiri na watu wanachukuaga kodi kwa mwaka mara nne. Bado uwaongezee njia za kutukamua zaidi.
Huyu ameanzisha mada ambayo anauelewa mdogo.Hizo mashine zina zina huo mfumo unaouzungumzia ila siyo nida. Jina la mteja na namba yake simu akitaka,lakini muhimu ni risiti halali.
Juzi nilinunua TV ila sikuulizwa kuhusu TIN wala NIDA..Nikuulize ushawah nunua bidhaa ? Kama huna Tin no ana skip ana jaza taarifa zingne
Kama unayo akiingiza Tin no inasoma mpk kwa Tiharaei wenyewe
Hapo ni Tin no ndo muhimu maake siku hz hufunguwi Tin no kama huna NIDA kwahiyo tuliza akili ujue vitu!
Unatafuta bwana eeh?? Juzi nilinunua TV na sikuulizwa kuhusu Jina langu. Wewe ulitaka nielewe vp??..Huyu ameanzisha mada ambayo anauelewa mdogo.
Una hojaNimewaza tu kwamba mtu akinunua bidhaa (mfano: smartphone ya 300,000/=) Muuza duka amuulize na Nambari yake ya NIDA ili jina la mnunuzi litokee kwenye receipt ya EFD, "automatically"
Nimewaza tu kwa sauti wadau. Please msinipige mawe..in
We inaonekana ni mkwepa kodiKaa utulie umetoka kudhalilisha na kuita watoto wa shule ya bunge uchafu, halafu unakuja na ishu ya nida dukani ili watu wafe njaa? Nida imewafikia asilimia ngapi ya watz, mwenzako alishawahi kusema no cheti cha kuzaliwa no ndoa, Magufuli akaipiga chini amri ya kidwanzi
Shule ya serikali ni uchafu? Aisee mmefika mbali, we unaumwa siyo bure nimeshindwa ht Cha kuandikaShule ya Serikali kuiweka city center ni uchafu. Watumishi wa serikali hawajali kitu for so long as wanapokea mishahara mwisho wa mwezi..
Shule yoyote chafu (government or private) huo ni uchafu. Kwani serikali ni nini?? Wewe unataka mijitu ya kusifia tu na kuabudu hata mambo ya kipuuzi??..Shule ya serikali ni uchafu? Aisee mmefika mbali, we unaumwa siyo bure nimeshindwa ht Cha kuandika
Jamaa mkorofi sana ujue 😂Juzi nilinunua TV ila sikuulizwa kuhusu TIN wala NIDA..