Machines za EFD ziunganishwe na systems za NIDA?? Nimewaza tu

Machines za EFD ziunganishwe na systems za NIDA?? Nimewaza tu

Nimewaza tu kwamba mtu akinunua bidhaa (mfano: smartphone ya 300,000/=) Muuza duka amuulize na Nambari yake ya NIDA ili jina la mnunuzi litokee kwenye receipt ya EFD, "automatically"

Nimewaza tu kwa sauti wadau. Please msinipige mawe..
Tayari kuna field huwa ipo ya kujaza details za mteja kuanzia jina, namba ya simu, TIN, VRN nk. Kama ukitaka
 
Unatafuta bwana eeh?? Juzi nilinunua TV na sikuulizwa kuhusu Jina langu. Wewe ulitaka nielewe vp??..
Hakuna tusi jipya, nilishatukanwa kama wewe ulivyofanya wala haikunipa shida wala fedheha yoyote hasa kwa mtu ambaye anajificha nyuma ya keyboard.
😁😁😁
 
Back
Top Bottom