Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifanya hivyo, yale maeneo waliyoondoka wataingia machinga wengine. Huwezi mjengea machinga soko.Machinga complex ijengwe mbagala
Ijengwe tegeta
Ijengwe mbezi mwisho
Wakabanane hapo
Angalizo tu frame wapewe wamachinga wa ukweli
Ova
Tatizo hao so Called Machinga sio Machinga as we know them...., sijui tuwaitaje, ila ni (wafanyabiashara wasiofuata utaratibu); all in all hawa wadau ambao sasa hivi ni wengi kuwepo kwao ni matumizi mabaya ya Rasilimali Watu kwa Taifa letu lililobarikiwa maliasiliIpo hivi machinga huwezi mjengea soko wala kumpatia eneo. Machinga hafanyi biashara kwa mtindo huo. Huku kujengea machinga vibanda na kuwapa maeneo ni kupotezeana rasilimali na wakati.
Piga marufuku machinga maeneo ya masoko, mjini nk. Machinga afanye kazi yake, azunguke majumbani kuuza vitu vyake.
NB hili bomu limetengenezwa na serikali yenyewe baada ya kuwa na sera mbovu za kilimo
Na kwa Mikoa mingine Arusha, Mwanza N.k? Pia Machinga wa kweli tunampimaje ? Na Frame wapewe au wakodishwe...Machinga complex ijengwe mbagala
Ijengwe tegeta
Ijengwe mbezi mwisho
Wakabanane hapo
Angalizo tu frame wapewe wamachinga wa ukweli
Ova
Tatizo kama taifa tumebaki na kazi kama mbili ambazo kijana anakimbilia nazo ni uchuuzi na bodaboda...,Viongozi wa serikali wakae na machinga kuangalia jinsi watakavyo wasaidia. Mitano ya wamachinga imetofautiana si wote wanamudu gharama za pango.
Naam umeziita market ni uamuzi tu hata huku huwa kuna minada ya huku na kule..., hata tukiamua leo mji wa mwanza wote huwe ni mnada ni uamuzi tu ila bila kuhakikisha hatuendelei kuzalisha wabangaizaji soon or later utakuta kanda ya ziwa yote imekuwa mnada.... na watu wanachuuza na kuchuuzwa.Kule East Street Market na Walthamstow market ni barabara zinafungwa na mchana machinga wanafanya biashara.
Bado hujatatua tatizo Machinga wanataka zile road reserved ziwe mali yao kufanyia biashara hawana shida na Mallthe only solution ni kuwajengea mall yenye floor yao using the same limited space iliyopo!
Shida maana ya machinga hatujaielew vizur. Hawa jamaa wengine ni wateja wa hawa wanaopata vibanda wanatuletea mitaani hukuIpo hivi machinga huwezi mjengea soko wala kumpatia eneo. Machinga hafanyi biashara kwa mtindo huo. Huku kujengea machinga vibanda na kuwapa maeneo ni kupotezeana rasilimali na wakati.
Piga marufuku machinga maeneo ya masoko, mjini nk. Machinga afanye kazi yake, azunguke majumbani kuuza vitu vyake.
NB hili bomu limetengenezwa na serikali yenyewe baada ya kuwa na sera mbovu za kilimo