Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Serikali ikiamua inakupanga vizuri tu na hakuna kitu utafanya
Nadhani swali kuu ama hoja kuu hapa ni kwamba hawa jamaa (wamachinga/marching guys ) walianza lini na lipi haswa chimbuko (mzizi) wao?
Tukipata root/mzizi wao then all will fall into place!
Mengine ni siasa kama siasa nyingine!